Faru Tobbi
Senior Member
- Oct 29, 2018
- 195
- 201
Chuga kuba teleza anawala wake zao kila siku na mabinti wadogo wamemchindwa yuko mwenyewe tuNyie chugga ni weupe sana hao panya wakija huko kwenu jiji litabaki jeupe ndani ya nusu saa unakumbuka fiesta ya kule chugga mlivyobakwa na watoto wa umbwa!
Ila sabaya mlimmaliza?Hatari sana…..Chugga wananchi tunamalizana nao kimya kimya……hatutaki kusumbua jeshi la polisi….wana kazi nyingi za kufanya…….
Kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....kila mtu nyuma ya keyboard ni jasiriHapo umejifungia zako ndani ukisikia tu BOOM hat Kama tairi limepasuka hautoki.
Kuandika tu mtu unajiamini sana
Mwaka 2016, ilimtokea jamaa yetu mitaa ya Kigamboni. Ile kafika kwake kakuta madogo nje ya geti kama wa5 hivi 12 - 16 yrs. Ile Kuwauliza mnafanyaje hapa? Vikamwambia achana na sisi akaanza kuvizungua kumbe bana tuna visu mixer viwembe.Inaniwia vigumu kuwalaumu vijana wa Dar....maana Dar es salaam mwili wako ndio rasilimali yako pekee inayokufanya uishi na kumudu gharama za maisha ya mjini......
Hivyo huna budi kujichunga sana na majanga ambayo yanaweza kukuweka nje ya shughuli zako kwa kipindi kirefu....
Hao vijana wanaoitwa PANYA ROAD huwa wanafanya ambush na huwa wanakuwa wengi kwa wakati mmoja....jaribio lolote la wewe kujirinda au kutaka kukabiliana nao linaweza kukuletea madhara makubwa sana....au hata kugharimu maisha yako.....kwanini ujiweke hatarini ili uonekane shujaa wakati unaweza ukajiepusha na bado ukabaki salama.........
SIKU ZOTE KWA SHUJAA KUNAENDA KILIO......
NB;
Nawashauri vijana kama kuna nafasi ya kuwaepuka au hata kuwakimbia ni vyema kufanya hivyo kuliko kujaribu kuonekana shujaa......labda kama umebananishwa na wanakushambulia na unahitaji kupigania maisha yako..........
Wanajamvi hum kila mtu anajiona baunsa kwenye eneo lake, kama wasukuma na wandamba wa kule kilombero.
Hongereni kwa kuwaua, lakini damu ya mtu pamoja na nafsi sio sawa na kuku.Hv dar mna nn, huku hao tunaua tyuuuuuuuu,
Huku mara tunakamata tunachapa viboko kisha vinaenda kuchunga mbuzi
Mpaka dakika hii wanapumua? hamko serious kabisa
Hahahahaaaa hata mimi nilihisi hivoNikajua mademu
HahaasNikadhani umetupia pisi kali. mwanangu nasiki hao jamaa nikama nzige wakiingia mahali