Hivi ndoa huwa zinasajiliwa kwenye mfumo?

Hivi ndoa huwa zinasajiliwa kwenye mfumo?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kurahisisha swali langu tutolee mfano umefunga ndoa ya kiserikali kwa jina lako halisi then ukaenda kanisa fulani ukataka ufunge tena ndoa je watu wa kanisani huwa wana utaratibu wa ku check kwenye mfumo huo ili wagundue kuwa uliwahi kufunga ndoa??nachojua ni uzazi na vifo ndo labda RITA wana sajili kimfumo je na ndoa vipi?
 
Kurahisisha swali langu tutolee mfano umefunga ndoa ya kiserikali kwa jina lako halisi then ukaenda kanisa fulani ukataka ufunge tena ndoa je watu wa kanisani huwa wana utaratibu wa ku check kwenye mfumo huo ili wagundue kuwa uliwahi kufunga ndoa??nachojua ni uzazi na vifo ndo labda RITA wana sajili kimfumo je na ndoa vipi?
swali la hovyo sana - "Nape Nnauye"
 
Ndio zinasajiliwa kwenye mfumo rasmi wa serikali.
Na ndio sababu kila dhehebu linapewa kitabu chake maalum kwaajili ya kutolea vyeti kwa wana ndoa, na vyeti vile vinakua registered kupitia serial numbers.
 
Rita wanasajili ndoa za kanisani kwa yale makanisa yanayotoa vyeti vya rita kwani kitabu cha vyeti kikiisha kinatakiwa kirudishwe rita .
Kuna baadhi ya makanisa hawatoi vyeti vya serikali .
Kuhusu makanisa kuhakiki mfumo wa rita hawana hiyo access .
Sisi RC kuna utaratibu wa kutangaza mara 3 kama kuna mtu anapingamizi. asipojitokeza basi ndoa inafungwa
 
Kurahisisha swali langu tutolee mfano umefunga ndoa ya kiserikali kwa jina lako halisi then ukaenda kanisa fulani ukataka ufunge tena ndoa je watu wa kanisani huwa wana utaratibu wa ku check kwenye mfumo huo ili wagundue kuwa uliwahi kufunga ndoa??nachojua ni uzazi na vifo ndo labda RITA wana sajili kimfumo je na ndoa vipi?
Hamna huo mfumo, kuna mtu namjua alifunga ndoa ya pili zote kanisani tena dhehebu moja bila talaka kwenye ndoa ya mwanzo, japo walikua wametengana.
 
Kurahisisha swali langu tutolee mfano umefunga ndoa ya kiserikali kwa jina lako halisi then ukaenda kanisa fulani ukataka ufunge tena ndoa je watu wa kanisani huwa wana utaratibu wa ku check kwenye mfumo huo ili wagundue kuwa uliwahi kufunga ndoa??nachojua ni uzazi na vifo ndo labda RITA wana sajili kimfumo je na ndoa vipi?
Acha waje wanaofahamu nami nipate kujua , sina hakika kama serikali pia wanafanya hivyo
 
Rita wanasajili ndoa za kanisani kwa yale makanisa yanayotoa vyeti vya rita kwani kitabu cha vyeti kikiisha kinatakiwa kirudishwe rita .
Kuna baadhi ya makanisa hawatoi vyeti vya serikali .
Kuhusu makanisa kuhakiki mfumo wa rita hawana hiyo access .
Sisi RC kuna utaratibu wa kutangaza mara 3 kama kuna mtu anapingamizi. asipojitokeza basi ndoa inafungwa
Kwa nini msiende Rita kuhakiki.
 
Back
Top Bottom