Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?
Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?