Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k?

Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k?

Watu wa masaki hawawezi kuelewa haso au nasema uwongo viongozi?
Pale coco beach wanakabwa sana pale karibu na Falme za kiarabu Emmerate au lile eneo kupita Golden Tulip Kuna pori moja hatari sana ,Oysterbay yale maeneo nyuma ya Ubalozi wa kenya mpaka shule ya msingi Oysterbay kuna bodaboda hao noma wanakushukia kabisa wanakufuata na kisu Mkononi wanakupora wanawasha boda wanatembea .Yaani hapa Bongo Ukiona ulinzi ni Mkali zaidi ujue hilo eneo muda wowote linavamiwa .Wakabaji Bongo wapo kila eneo kama unabisha waulize hao wa madai na Oysterbay
 
Pale coco beach wanakabwa sana pale karibu na Falme za kiarabu Emmerate au lile eneo kupita Golden Tulip Kuna pori moja hatari sana ,Oysterbay yale maeneo nyuma ya Ubalozi wa kenya mpaka shule ya msingi Oysterbay kuna bodaboda hao noma wanakushukia kabisa wanakufuata na kisu Mkononi wanakupora wanawasha boda wanatembea .Yaani hapa Bongo Ukiona ulinzi ni Mkali zaidi ujue hilo eneo muda wowote linavamiwa .Wakabaji Bongo wapo kila eneo kama unabisha waulize hao wa masaki na Oysterbay
 
Mimi huwa nacheza nao sana lakini huwa natazama Wana silaha gani mkononi, natizama stance zao yaani namna gani wanavyorusha ngumi au silaha huwa inanisaidia na kujua kuwa Hawa Wana mafunzo ya karatee au laa.

Nikisha jua hawana mafunzo huwa nawatembezea sana kipigo Cha mbwa mwitu yaani napiga mno.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pale coco beach wanakabwa sana pale karibu na Falme za kiarabu Emmerate au lile eneo kupita Golden Tulip Kuna pori moja hatari sana ,Oysterbay yale maeneo nyuma ya Ubalozi wa kenya mpaka shule ya msingi Oysterbay kuna bodaboda hao noma wanakushukia kabisa wanakufuata na kisu Mkononi wanakupora wanawasha boda wanatembea .Yaani hapa Bongo Ukiona ulinzi ni Mkali zaidi ujue hilo eneo muda wowote linavamiwa .Wakabaji Bongo wapo kila eneo kama unabisha waulize hao wa madai na Oysterbay
wanatukaba sisi waja tunaoenda kwa miguu na boda
wenye kwao wanakaaga mbele kule cliffside residence na mitaa ya Chole huko
 
wanatukaba sisi waja tunaoenda kwa miguu na boda
wenye kwao wanakaaga mbele kule cliffside residence na mitaa ya Chole huko
Wewewe wazungu wanaburuzwa mule mpaka wnakuwa wekundu ingawa wanaishi kwenye appartment za mule mule masaki .Si unajua tena wazungu na misomi inavyopenda picha picha na utalii wa kutembea yaani mwamba wanakaba anawavua mpaka nguo kisha wanatembea zao .
 
Kama hawajakugusa makalio na hapo pengine katikati wala huna haja kupigana nao. Waachie wachukue kama ni simu, hela au chochote (material wise). Wajinga wanaweza kukuchoma bisibisi ukaoza utumbo sababu ya itel.

Kama wana mawazo ya kijinga na makalio yako basi pigana hadi jasho na damu vya mwisho kabisa vitoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] aisee kila mtu ana mawazo yake humu sikupingi mkuu
 
Zali kama hizi natamani zinitokee lakini zinawatokea wengine. Kila siku usiku natembea maksudi keko magurmbasi, temeke mikoroshini, buza, mbagala yani napishana nao tu tunakodoleana macho yananipita kimoyomoyo nasema tu si walianzishe waniv.amia yani huo mkono ntakavoutembeza
Inatagemea muonekano wako upoje co Km vimbaombao na wafupi wengine lol
 
Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?

Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Kama wapo zaidi ya kumi kimbia, ila kama wapo chini ya watu kumi watembezee kichapo
 
Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?

Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Mwaka kati ya mwaka 2011-12 kuna rafiki yangu alikua anatoka chuo kurudi nyumbani mida ya usiku, njiani akakutana na vibaka wakamwambia awape simu, katika harakati za kujibizana kibaka mmoja akamchoma bisibisi ya moyo, akafariki pale pale.
Sometimes kuwapa wanachohitaji inaweza okoa maisha yako.

Rest in peace Oscar.
 
Mimi huwa nacheza nao sana lakini huwa natazama Wana silaha gani mkononi, natizama stance zao yaani namna gani wanavyorusha ngumi au silaha huwa inanisaidia na kujua kuwa Hawa Wana mafunzo ya karatee au laa.

Nikisha jua hawana mafunzo huwa nawatembezea sana kipigo Cha mbwa mwitu yaani napiga mno.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Hujui kupiga wewe!
Hivi huo muda unawatazama wakirusha ngumi ama silaha mfano panga na wamelielekeza kichwani mwako unautoa wapi na saa ngapi? Wapo sita mmoja kashekulamba bisibisi ya mbavu hata, kama hawana mafunzo karatee zako haziwezi kukusaidia kuwapiga!
Isitoshe tu hata wanajeshi wenyewe wakiwa hawana gwanda, wanaumia!
 
ACHA UZWAZWA MWANAUM UNATAKIWA UPAMBANE.

UMENIKUMBUSHA MWAKA JANA NILIWATANDIKA VIBAKA 6 WALITAKA KUNIIBIAA,HAWATARUDIA

KUNA MMOJA MPKA LEO HANA JINO LA MBELE NILIMTANDIKA NA LEFT WING SAI-WONG

HAWEZ SAHAU
 
Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?

Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Pokea msaada wa Wahenga huu,huenda ukakufaa...
"Ukishikwa na mwenye nguvu legea"
"Kwa Mjinga kwenda kicheko kwa Mwerevu kwenda kilio"
"Asiekubali kushindwa si mshindani"
"Muoga hufa mara nyingi kabla ya kifo chake cha kweli hakijamfika, Jasiri hufa mara moja tu, kifo cha kweli".
 
Bora uwaachie tu ukikaa vibaya unaeza poteza uhai!
 
Mimi huwa nacheza nao sana lakini huwa natazama Wana silaha gani mkononi, natizama stance zao yaani namna gani wanavyorusha ngumi au silaha huwa inanisaidia na kujua kuwa Hawa Wana mafunzo ya karatee au laa.

Nikisha jua hawana mafunzo huwa nawatembezea sana kipigo Cha mbwa mwitu yaani napiga mno.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ngo
 
Back
Top Bottom