Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k?

Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k?

Kuna mwamba mmoja soweto Moshi aliamua kama baridi baridi kama moto moto ila sio vuguvugu, alizichapa ngumi mpaka wakasimama kuangaliana, wakaanza kuongea mwisho wa tukio wakaomba pesa ya bangi na jamaa akawapa 10,000 wakaondoka.
Baadae wakawa marafiki.
Umenikumbusha kisa kimoja,mwanangu mmoja yeye akilewa ukimgusa bahati mbaya anaamsha siyo poa kisa anao mkanda mweusi.
Siku moja akajichanganya kwa boda mmoja zilipigwa mbaya kabisa aligongwa mpaka aibu sasa hivi amekuwa kaacha uduanzi..
 
Its not about knowing ur enemy...its about knowing urself😊😊.......kama una ngoz ya bullet proof basi pambana ila kama huna wape vibaka riziki ili kesho uendelee na mishe zako😩😩😩
 
Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?

Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Kama unawamudu ni busara
 
Back
Top Bottom