Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Mkuu kama ni usiku, wameshika silaha na wamekuwahi kwenye suala la timing, ni kheri kutulia tu kuliko kusababisha madhara makubwa.Ivi ni busara kupigana na vibaka Km watatu au zaidi Km wanataka kukuibia cm, hela n.k au bora uwaachie Km unajua umezidiwa? Hili kwa wanaume hata Km unajua kupigana unafanyaje?
Una nn tena?😂Wanaume wa Dar...
Huu msemo usipousikia hapa [emoji23]
Nimewaona mnaogopa kudundwa[emoji23][emoji23]Una nn tena?[emoji23]
Ni kuongea nao kihuni tu mbona ni waelewa tu unawaachia ya sigara tuMkuu kama ni usiku, wameshika silaha na wamekuwahi kwenye suala la timing, ni kheri kutulia tu kuliko kusababisha madhara makubwa.
Huwez kuwatoa swala?Ivi ni busara kupigana na vibaka Km watatu au zaidi Km wanataka kukuibia cm, hela n.k au bora uwaachie Km unajua umezidiwa? Hili kwa wanaume hata Km unajua kupigana unafanyaje?
Wakabaji lazima wana visu au bisibisi kiunoni. Huwa hawategemei kupigana ngumi, wanachojali wao ni kumaliza tukio haraka iwezekanavyo na kuondoka salama. Na hpo sasa ndio hutumia silaha bila kujali madhara yake sababu anajua wananchi wakimdaka kaisha!Hamna kuachia simu wala kupigana...
Tumia miguu yako vizuriii.
Kwenye hio secta sijawahi kujiangusha,
Mmoja au wawili wepesi wasio na siraha, Pambana kiume wasikuzoee.
Kwa yeyote anayejua kupigana anakwepa maeneo yote hatarishi . Ila vibaka wakikujaza kwenye 18 unaangalia upepo mfano panya road uwape usiwape lazima ule panga tumia mbinu zote za self defence ikibidi mbio au uzichape kisha mbio ila vibaka wa kawaida hawa wanaowania pesa ruhusu tu wachukue uwe salama.Hivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?
Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Unapigana ukiwaacha watajenga mazoeaHivi ni busara kupigana na vibaka kama watatu au zaidi kama wanataka kukuibia simu, hela n.k au bora uwaachie kama unajua umezidiwa?
Hili kwa wanaume hata kama unajua kupigana unafanyaje?
Zali kama hizi natamani zinitokee lakini zinawatokea wengine. Kila siku usiku natembea maksudi keko magurmbasi, temeke mikoroshini, buza, mbagala yani napishana nao tu tunakodoleana macho yananipita kimoyomoyo nasema tu si walianzishe waniv.amia yani huo mkono ntakavoutembezaMkuu kama ni usiku, wameshika silaha na wamekuwahi kwenye suala la timing, ni kheri kutulia tu kuliko kusababisha madhara makubwa.