Hivi ni halali kweli kumlipia girlfriend wako kodi wakati bado hujamuoa na kazi anayo?

Hivi ni halali kweli kumlipia girlfriend wako kodi wakati bado hujamuoa na kazi anayo?

francis kibiki

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
477
Reaction score
516
WanaJF, nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu. Nafikiria mbali sana lakini sina imani nae naweza nikawa nalipa hiyo kodi then wanavua chupi wengine
 
wana jf nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu....... Nafikilia mbali sana lakin sina imani nae naweza nikawa nalipa iyo kodi then wanavua chupi wengine
Wengine wakivua chupi we vua samaki ule bana.....

Wait, kwenye hilo geto lake huwa unaenda kulala? Kama unalala mpe hata nusu jameni mwambie ndio umepata, kama huwa hakuruhusu kwenda mwambie hauna kabisa.
 
mkuu asa apo ntakuwa nimeoa sasa
Kupiga si unapiga pia au unachomeshwa mahindi?

Ushauri wangu unategemea wewe na huyo mwanamke mko vipi, kama ni mpenzi wako kwa maana mpenzi unaplan nae mchangie tu hakuna ubaya, kama unasuuza rungu siku zote mchangie pia japo kidogo kuliko mpenzi kama unachomeshwa mahindi hajawahi kukupa mwambie akukome!!!
 
Iko namna hii,kama ulishamkula mkiwa getoni kwake zaidi ya mara moja,mchangie kidogo,kama unamkulia getoni kwako au nyumba ya kulala wenyeji usimlipie,tell her bajeti yake itakuepo pale utakapochukua jumla tu.
Kama dem wa kuzugia na ushasuuza sana rungu,mwambie sina.
Akisepa poa,unakamatia koloni jipya.
 
Back
Top Bottom