Hivi ni halali kweli kumlipia girlfriend wako kodi wakati bado hujamuoa na kazi anayo?

Hivi ni halali kweli kumlipia girlfriend wako kodi wakati bado hujamuoa na kazi anayo?

Wengine wakivua chupi we vua samaki ule bana.....

Wait, kwenye hilo geto lake huwa unaenda kulala? Kama unalala mpe hata nusu jameni mwambie ndio umepata, kama huwa hakuruhusu kwenda mwambie hauna kabisa.
Haaa shida sana!!!
 
Hahahaha jiulize Ana deserve? Kama Ana deserve mlipie nusu na nusu alipe mwenyewe...

Mi binafsi kodi namlipia nusu ila narudia tena ILA anastahili hiyo pesa coz tumetoka nae mbali sana na nimempima kwenye vipimo vya ISO naona kabisa Ni haki yake.Ameshawishi moyo na akili yangu kwa kiwango flani kikubwa tu.

Kwanini silipi kodi yote sababu najua mshahara wake sio mdogo kiasi Cha kushindwa kupata hiyo nusu ya Kodi sitaki kudekezana coz nina malengo nae.

Kama una date na kimeo na moyo na akili zinaona Ni kimeo usifanye huo ungese,not worth investing[emoji4][emoji4]
 
Kama mnaishi mji mmoja na unamalengo naye kwann msivutane mkakaa sehemu moja hayo makodi mkafanyia mambo mengine!!!?
 
Amigo naomba unichangie robo tu ntakukaribisha kunywa maji

Yaani mimi nikiwa na mchepuko, kitu cha kwanza kukubaliana ni pango, hata yote naweza kulipa kama nikipewa mamlaka ya kufika hapo bila kipingamizi.

Unaepuka garama za gest, imagine kama mnakutana mara 4 ndani ya mwezi, kila mkikutana kuna 25-30 ya chumba, mara 4 ni 100,000/-, hapo kuna issue za nauli (kifuta jasho), mnaweza kula au kunywa. Kwa hiyo kila mkutano gharama ni 60+ kwa mwezi 300+ imeondoka.

Wakati nikilipa chumba, siku ya kuja nabeba pombe tu, msosi tutapika home. Hapo nakuwa nimekwepa gharama kibao.
 
Yaani mimi nikiwa na mchepuko, kitu cha kwanza kukubaliana ni pango, hata yote naweza kulipa kama nikipewa mamlaka ya kufika hapo bila kipingamizi.

Unaepuka garama za gest, imagine kama mnakutana mara 4 ndani ya mwezi, kila mkikutana kuna 25-30 ya chumba, mara 4 ni 100,000/-, hapo kuna issue za nauli (kifuta jasho), mnaweza kula au kunywa. Kwa hiyo kila mkutano gharama ni 60+ kwa mwezi 300+ imeondoka.

Wakati nikilipa chumba, siku ya kuja nabeba pombe tu, msosi tutapika home. Hapo nakuwa nimekwepa gharama kibao.
Perfect gentleman...
 
Mkuu nakushauri kiutu uzima, kama una malengo nahuyo demu mlipie wala usiwaze marambili ila kama huna malengonae unataka kujifurahisha tuu usimlipie, kwanini upoteze garama kubwa kwamtu ambae huna malengonae???????
mkuu nina malengo naye mazuri tu lakin yeye hanichukuliii kiivo ananidanga tu huyu
 
Hahahaha jiulize Ana deserve? Kama Ana deserve mlipie nusu na nusu alipe mwenyewe...

Mi binafsi kodi namlipia nusu ila narudia tena ILA anastahili hiyo pesa coz tumetoka nae mbali sana na nimempima kwenye vipimo vya ISO naona kabisa Ni haki yake.Ameshawishi moyo na akili yangu kwa kiwango flani kikubwa tu.

Kwanini silipi kodi yote sababu najua mshahara wake sio mdogo kiasi Cha kushindwa kupata hiyo nusu ya Kodi sitaki kudekezana coz nina malengo nae.

Kama una date na kimeo na moyo na akili zinaona Ni kimeo usifanye huo ungese,not worth investing[emoji4][emoji4]
kweli mkuu
 
Yaani mimi nikiwa na mchepuko, kitu cha kwanza kukubaliana ni pango, hata yote naweza kulipa kama nikipewa mamlaka ya kufika hapo bila kipingamizi.

Unaepuka garama za gest, imagine kama mnakutana mara 4 ndani ya mwezi, kila mkikutana kuna 25-30 ya chumba, mara 4 ni 100,000/-, hapo kuna issue za nauli (kifuta jasho), mnaweza kula au kunywa. Kwa hiyo kila mkutano gharama ni 60+ kwa mwezi 300+ imeondoka.

Wakati nikilipa chumba, siku ya kuja nabeba pombe tu, msosi tutapika home. Hapo nakuwa nimekwepa gharama kibao.
hahahah
 
Back
Top Bottom