Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nae huyo, jip Hilo , mwambie sinaanakuwa binde kuniruusu niende kwake
hahahahNami nikuulize kitu kijana,hivi ni halali kumla huyo girlfriend wako kabla ya ndoa?
yaan mkuuu apo umeongea point moja kubwa sana labda aseme nimsaidie ila sio anipe jukumu hilo kabla sijamwoa angekuja kwa point nimsaidie ningemsaidia sababu kakwamaSio halali labda akuombe umsaidie
We lipa tu si ukitaka unapata hata kama kawapa wengine kizuri kula na wenzioWanaJF, nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu. Nafikiria mbali sana lakini sina imani nae naweza nikawa nalipa hiyo kodi then wanavua chupi wengine
Kama na wewe umeishamkula humo, lipia hela ya "lodge".WanaJF, nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu. Nafikiria mbali sana lakini sina imani nae naweza nikawa nalipa hiyo kodi then wanavua chupi wengine
doh mi ninamlipia binti mmoja hivi kwa zaidi ya miaka 2 ila naona siku izi mashauzi kama yamezidi namsubiri tu najua kodi inaisha mwez wa saba apo ndo atajua cha mtema kuniWanaJF, nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu. Nafikiria mbali sana lakini sina imani nae naweza nikawa nalipa hiyo kodi then wanavua chupi wengine
hahahadoh mi ninamlipia binti mmoja hivi kwa zaidi ya miaka 2 ila naona siku izi mashauzi kama yamezidi namsubiri tu najua kodi inaisha mwez wa saba apo ndo atajua cha mtema kuni
SioWanaJF, nisaidieni kwa hili maana amekomalia apo tu. Nafikiria mbali sana lakini sina imani nae naweza nikawa nalipa hiyo kodi then wanavua chupi wengine