Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

[emoji16] Wanakuwa na bashasha kweli ila ukimpa mawili matatu ndivyosivyo tofauti na alivotegemea lazima asepe! Lakini ndo vizuri maana maswali mengi kama unajaza fomu ya Nida bhana!.
Sasa mkuu heb washauri wafanyaje maan wakiondoka mnawasema wakibaki mnawasema [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongereni sana ambao pm zenu zinafanya kazi wengine toka tufungue account miaka sasa zipo vile vile Kama tulivyokabidhiwa account na jf hata salamu tu kutoka kwa moderators hakuna🤔🤔
Mkuu kama PM ikifanya kazi wakati Acc yako ya Bank haifanyi kazi it won't do you any good.! Ridhika na khali yako.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…