Ni maamuzi mazuri mkuu.!Ila mi naona mkuu walifanya maamuz mazur au wewe ulitaka waendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wape credit zao kwa kukuondolea usumbufNi maamuzi mazuri mkuu.!
Waendelee ili wagundue amri ya ngapi?
sisi wanaume bana, huwa ninatumia Acc ya Girl wangu ya Insta kuangalia picha basi huwa naona texts za mijamaa inazomtumia nashangaa sana, kuna mmoja toka mwaka 2017 anatuma tu texts na hajibiwi za kuomba namba na kutongozaHivi kuna na wanaume wana tabia kama hizo?
Na wanaliaga kwa sauti mpaka kila mtu anajua mlango wa safina umefungwa[emoji38]Hawatonyamaza imagine, watakuja hapa wakilia lia Nuhu awafungulie safina.!
Sasa mkuu heb washauri wafanyaje maan wakiondoka mnawasema wakibaki mnawasema [emoji16][emoji16][emoji16] Wanakuwa na bashasha kweli ila ukimpa mawili matatu ndivyosivyo tofauti na alivotegemea lazima asepe! Lakini ndo vizuri maana maswali mengi kama unajaza fomu ya Nida bhana!.
Mimi sijawahi kujibiwa vibaya. Ila nikiomba picha ikija kinyume ma matarajio yangu, nasepa kimya kimya.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpaka unajibiwa vibaya tazama sana approach yako aiseeh mkuu.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nikiamua kukupata siji hata piemu!
Naenda kwa mshana!,akinyoosha litunguli lake nakuona kwenye litvii la ukutani,litivii la kitambaa chekundu[emoji12]
Akinipa li hirizi linalopumua nikija huko piemu hupumui nakuchukua kama mtoto mbele ya pipi..!
Watakukosa waliokosa mbinu mbadala ila tulionazo na tunaojua tunaishi kidogo na kufa kwingi lazima niutumie huo muda mchache kula vingi[emoji12][emoji12]
Just a joke [emoji115][emoji115]
Lakini kwanini unawajibu hovyo..?
Mkuu kama PM ikifanya kazi wakati Acc yako ya Bank haifanyi kazi it won't do you any good.! Ridhika na khali yako.!!Hongereni sana ambao pm zenu zinafanya kazi wengine toka tufungue account miaka sasa zipo vile vile Kama tulivyokabidhiwa account na jf hata salamu tu kutoka kwa moderators hakuna🤔🤔
ni watoro🤣,mimi katika vitu nimeshindwa kwenye maisha ni kumkurupukia mwanamke,na nimegundua sisi tunao balance shobo huwa mnatukubali, mnatoa namba wenyeweWengine nadhani huwa hawahudhurii vikao vyenu vya mara kwa mara.!