Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hahaha..!
Walaqhi mdogo wangu niliandika kimalkia pekee sikumix na kitu oote.!!

Ushaskia wasanii wa bongo miss carly
Anaweza asiongee kiingereza ila ile slang anayotumia kuongea kiswahili utajua huyu anakijua kiinglishi
 
Hakuna jibu la kunikatisha matumaini. Nikitaka kukupata lazima nikutafute kwa udi na uvumba

Ikiwezekana nakuambukiza corona halafu nakuja kukuuguza. Ukipona tu naweka mazingira ya kukupata kimasihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…