Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

We bibie niliekufata pm ukaniita roboti nilivozidi kukuchombeza ukanambia japo hinijui ntakuwa na sura kama mbwa kabeba kiporo cha ugali na nilivotaka kukutumia picha kuthibitisha kuwa unizaniavyo sivyo ukanifungia pm naomba kupitia uzi huu nikwambie kuwa kwa kweli ulinikomesha. Umenifanya niziogope pm za warembo wa humu. Mpaka leo najiuliza hivi we ni msichana gani una matusi ya vijiweni namna hiyo, nyockle zako
 
Hapa sijaona jibu la kumfukzisha mtu!..labda walikua wanajaribu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pm ya mwisho ilikua Feb..
Nilimwambia nimekumiss sikuoni jukwaani..Akasema Kamiss dada zako
[emoji47][emoji47][emoji42][emoji42]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna MTU aliniambia yupo Dom.atansaidia jambo Fulani ila naona mikausho mikali
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
C'ssy Shadeeya na mdogo wangu Depal walaqhi' nimeshindwa kucheka 'monyewe'..!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…