BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hapa sijaona jibu la kumfukzisha mtu!..labda walikua wanajaribu tu.Hi guys,
Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile huja kupotea ndo wanashangaza na jukwaani unawaona unaishia tu kucheka hiiii'...!!
Huyu wa kwanza alikuja mbwembwe kibao, akauliza umri nikajibu 41, hajawahi kurudi na hata hiyo PM hakujibu, akajionea tu hii kikongwe nimetokana nayo wapi? akatoka ndukii akaniachia mpaka vumbi walaqhi'..!!
Huyu mwingine naye kaja na mbwembwe kama ngombea wa uenyekiti wa Vicoba, akataka kujua nipo wapi, nikamtajia kijiji ambacho hakipo hata kwenye ramani ya Tanzania, akajibu tu 'I thought upo dar nikutafute, nice day', akanipotezea mazima, nikaona ile namna wa mikoani hutengwa waziwazi, hahaa.!!
Huyu mwingine naye eti akaniongelesha busara siku mbili tatu,story za hapa na pale, baadaye akataka kujua nafanya kazi gani, nikamjibu mkulima, I swear mpaka Leo akanipotezea na ile PM hakujibu na huku jukwaani tunakutana zetu kiroho safi,
Hivyo kila nikionaga ID ya miminimkulimaakachekasana naishiaga tu kucheka, huwa natamani iwe 'miminimkulimaetiakanichunia'..!
Hivii huwa mnakutana nahizi sarakasi ama hizi ni kwa ajili yetu tu sisi wabarikiwa?
#nohardfeelings# tupunguze tu stress za corona,
Stay safe guys..!!
ππππ sawa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana upendeleo sana watu wa humu. Hata mimi sijawahi kutumiwa pm, ngoja niizindue kwa kukutumia wewe mpendwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We bibie niliekufata pm ukaniita roboti nilivozidi kukuchombeza ukanambia japo hinijui ntakuwa na sura kama mbwa kabeba kiporo cha ugali na nilivotaka kukutumia picha kuthibitisha kuwa unizaniavyo sivyo ukanifungia pm naomba kupitia uzi huu nikwambie kuwa kwa kweli ulinikomesha. Umenifanya niziogope pm za warembo wa humu. Mpaka leo najiuliza hivi we ni msichana gani una matusi ya vijiweni namna hiyo, nyockle zako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pm ya mwisho ilikua Feb..
Nilimwambia nimekumiss sikuoni jukwaani..Akasema Kamiss dada zako
[emoji47][emoji47][emoji42][emoji42]
ππππWe bibie niliekufata pm ukaniita roboti nilivozidi kukuchombeza ukanambia japo hinijui ntakuwa na sura kama mbwa kabeba kiporo cha ugali na nilivotaka kukutumia picha kuthibitisha kuwa unizaniavyo sivyo ukanifungia pm naomba kupitia uzi huu nikwambie kuwa kwa kweli ulinikomesha. Umenifanya niziogope pm za warembo wa humu. Mpaka leo najiuliza hivi we ni msichana gani una matusi ya vijiweni namna hiyo, nyockle zako
Nashukuru umegundua hilo..!!Hapa sijaona jibu la kumfukzisha mtu!..labda walikua wanajaribu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππWe bibie niliekufata pm ukaniita roboti nilivozidi kukuchombeza ukanambia japo hinijui ntakuwa na sura kama mbwa kabeba kiporo cha ugali na nilivotaka kukutumia picha kuthibitisha kuwa unizaniavyo sivyo ukanifungia pm naomba kupitia uzi huu nikwambie kuwa kwa kweli ulinikomesha. Umenifanya niziogope pm za warembo wa humu. Mpaka leo najiuliza hivi we ni msichana gani una matusi ya vijiweni namna hiyo, nyockle zako
Yaan nashangaa sis. Ila hyo mtu aliyemjibu hvyo BUSH BIN LADEN aki haendi mbinguniπππHivii nilisahauje kukutag mdogo wangu??
Waambie ulivyonijibu PM nikakuchunia[emoji6]Mabaharia ambao humjawahi kumfata mdada PM kichwa kichwa bila kuwa na mazoea kwanza ,nawasalimia ,tuzidi kusimama na miongozo yetu
πππππ noma sana
babe zile ni siri zetu wawiliπ₯° alafu tabia ya kunikalia kimya miezi yote hiyo mi ntapata mwingine