Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
HahahahaUsitie hivyo 'uuma' kama vile ni kweli, me nikionekana nakunyanyasa nitamuambia nini.? Naniliu?
hahahaha sanaa, wakurungwa sio watu wazuri kabisa wamejaa insta na FBHuwa nikiona msg za namna hiyo huwa napata somo kuwa siku ya kumuwacha bibie basi kuna wakurungwa wanaenda kupewa nafasi adimu wanayoililia kila siku, kwenye ground competition ni kubwa sana chief!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ni njia nzuri kama huitaji usumbufu maana Single mnaona kama ni ulemavuKatiba ya mabaharia ukurasa wa 60 kma sio 63 single mama ni jimbo la mtu na yakupasa kukaa pemben na jimbo hilo
Mtuvumilie ni katiba yetu[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes tuende hv maana hakuna namna
mkuuπ unapaswa ku staafu sasa, waachie vijana mikoba duh!!!Hahaha tumeanza toka enzi hizo za phonerotica,hata waptrick walikua na kapengele kao...mpka sasa tupo na kina brazzers mkuu tunapasa mawimbi tu[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafukuza mtu kisayansiππππ π π
Ahsante dear kwa kubunu mbunu mpya.!!
Af huyo ndo alikuja wa kwanza kwenye mawazo yangu baada ya kuona huu uziππHahhaa..!
Usinikumbushe ya juzi mdogo wangu.!!
Baby mambo..?
Sio ulemavu shida ni kuanza mechi mwenzako anaongoza goli moja mbeleNa hii ni njia nzuri kama huitaji usumbufu maana Single mnaona kama ni ulemavu
Sijui maana sijawahi kuwauliza inawezekana majukumu
Hapo ndipo unajua kama huyu ni wa kutaka kula kimasiharaSio ulemavu shida ni kuanza mechi mwenzako anaongoza goli moja mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
π πKazi yangu niliyojipa ni kukupa likes tu mdogo wangu mleta uzi. πππ
Vp lakini hujafikiria watajisikiaje wakipita hapa?
Wewe umetoboa kabisaaNadhani huu uzi unahusu wadada kutujibu sisi vibaya na sisi kupotea mazima.
Msisahau kusema na mnavyotuma picha tunatimua vumbi hatugeuki nyuma.
Hahaa sijui hata aliwaza nini!!Kazi yangu niliyojipa ni kukupa likes tu mdogo wangu mleta uzi. πππ
Vp lakini hujafikiria watajisikiaje wakipita hapa?