Mimi ni kenzy mbona huelewi..Mzee wa mashairi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Nimekosea wapi nyonga mkalia ini usie na vipini ila mwili laini..?
Niambie tabibu nijipange ili nikung'oe Toto laini unaelindimisha wangu mpini..
Na kama mlianza kwa mbwembwe, ndo kabisaa hayachukui hata round[emoji3][emoji3][emoji3] Mapenzi ya kimtandao huisha kimtandao tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni kenzy mbona huelewi..
Mi sitanii ndo nakutongoza! Ole wako unikatae mbele ya hadhira nitajinyonga kwa kamba ya mpira!..Aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ndio maana shairi lako kwenye mtihani lilishangaza wenzio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo mbwembwe uwa nyingi sana na Ile kubebishana na kunyegeshana kama kote ila mwisho wake sasaNa kama mlianza kwa mbwembwe, ndo kabisaa hayachukui hata round
Wengine nadhani huwa hawahudhurii vikao vyenu vya mara kwa mara.!
Hajawahi kumuelewa kiumbe Mwanamke anajua kweli ni halisiKwani hakuna picha za watu huko duniani?? Kwanini tutume zetu za ukweli muda wote!! Aibu me nataka.!!
Ila huwa mnawaumiza sanaa wakurungwa kwa majibu yenu hayo, mbona mmekosa huruma nyie. πMimi mwenyewe sielewi hata mla bata.!!
Aibu nimeona Mimi.! Nitaweka wapi uso wangu? Nilisahauje jambo muhimu hivii.?Hauna habari mikusanyiko imepigwa marufuku?
Idadi ya vikao imepungua na kwa sasa imesitishwa hadi itakapotangazwa na waheshimiwa.
Kuna mmoja nilimfuma anajiliza kisa bibie karudisha muamala aliomtumia πhahahaha sanaa, wakurungwa sio watu wazuri kabisa wamejaa insta na FB
Hahahah ππ kabisa ,yani akili zingine banaHaha.!.
Anakuwa kama Adelle anabaki akisema 'Hello, its Me' siku zote za maisha yake..!!
Huko pm ningekuja mm am sure ningeku mudu kwa maelezo hayoo.Haha..
Me too.!!
Kuna ile kuboreka sjui ndo kukinai. Hadi unaanza kumuona kero akikutafutaMwanzo mbwembwe uwa nyingi sana na Ile kubebishana na kunyegeshana kama kote ila mwisho wake sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi sitanii ndo nakutongoza! Ole wako unikatae mbele ya hadhira nitajinyonga kwa kamba ya mpira!..