Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Nimekosea wapi nyonga mkalia ini usie na vipini ila mwili laini..?
Niambie tabibu nijipange ili nikung'oe Toto laini unaelindimisha wangu mpini..
Aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ndio maana shairi lako kwenye mtihani lilishangaza wenzio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom