Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Mkuu kama PM ikifanya kazi wakati Acc yako ya Bank haifanyi kazi it won't do you any good.! Ridhika na khali yako.!!
Haikumaanisha sijaridhika mkuu nadhani umenielewa vibaya nilimaanisha kwamba kumbe kuna watu ambao pm zinaflow kama customer care wakat wengine tupo humu kwa ajili ya kupata habari tu. Anyway hongera sana mkuu kuwa na hot pm
 
Hahaha tumeanza toka enzi hizo za phonerotica,hata waptrick walikua na kapengele kao...mpka sasa tupo na kina brazzers mkuu tunapasa mawimbi tu[emoji16]
mkuu utakua ni mfuasi wa ile mitandao pendwa, mtu wa kawaida ni vigumu kujua hilo neno[emoji23] we ni mzee wa BRAZZELS nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom