Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ungekuwa na miaka 80 I could still choose youMimi ni bibi mwenye miaka 61 mdogo wangu.!!
thanks anyway..!!
😅 😅
Miaka 300 rafiki yangu hata ungekuwepo usingejua hilo..!!
Hakuna sekta wadada mnavimba kama haka kasekta ka kutongozwa huwa mnamaliza hasira za kutendwa zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sina cha kuwashauri wajiongeze wenyewe.
Akitaka kupotea mazima na apotee, akiridhika na chochote atakachojibiwa na aridhike iwe kweli au si kweli.
Mi mwenzako kuchangamsha pm huwa nawachek chek mods wanibadilishie ID..basi hapo mpaka Melo mwenyewe na chat nae..Hongereni sana ambao pm zenu zinafanya kazi wengine toka tufungue account miaka sasa zipo vile vile Kama tulivyokabidhiwa account na jf hata salamu tu kutoka kwa moderators hakuna🤔🤔
Haha.!Mi nikiamua kukupata siji hata piemu!
Naenda kwa mshana!,akinyoosha litunguli lake nakuona kwenye litvii la ukutani,litivii la kitambaa chekundu😜
Akinipa li hirizi linalopumua nikija huko piemu hupumui nakuchukua kama mtoto mbele ya pipi..!
Watakukosa waliokosa mbinu mbadala ila tulionazo na tunaojua tunaishi kidogo na kufa kwingi lazima niutumie huo muda mchache kula vingi😜😜
Just a joke 👆👆
Lakini kwanini unawajibu hovyo..?
Sawa ila sio poa kabisa asee😅😅
Kwanini unikimbie kisa mimi ni grannie? Si tungeongea hata biashara?
Huwa nikiona msg za namna hiyo huwa napata somo kuwa siku ya kumuwacha bibie basi kuna wakurungwa wanaenda kupewa nafasi adimu wanayoililia kila siku, kwenye ground competition ni kubwa sana chief!sana mkuu[emoji23], mrembo mrembo nyingi sana na majina matamu, yani mambo mengine ni aibu tupu aise
Katiba ya mabaharia ukurasa wa 60 kma sio 63 single mama ni jimbo la mtu na yakupasa kukaa pemben na jimbo hiloUkiandika Single Mama pm utaachiwa vumbi hutoamini.
Ukiandika Single Mama pm utaachiwa vumbi hutoamini.