Based on this, you are trying to tell us something. Not otherwise.
Samahani kwa kutoka nje ya mada, naomba kujua una asili ya kutoka mji gani wa Kenya?
Maana una dalili zote za kuwa mTz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo vizuri sanaMimi Mkenya, asili yangu Ukikuyuni, japo nimekatiza mikoa na wilaya nyingi za Tanzania, hapo kwenu napajua kwa ndani na nje.
Kule kuanza kufikiria tu kufunga mpaka ni mawazo potofu. Hilo lije tu panapokuwepo na mgogoro halisi ambao umeshindikana kutatuliwa. Mbali na hayo, kama kunakuwepo na kutoelewana hapa na pale, hiyo ni kawaida ya maisha. Tutatue hilo tatizo na kuendelea mbele. Hata kwenye familia kunakuwepo kutofautiana kati ya mume na mke au mzazi na mtoto. Huwezi kuanza kufikiria talaka au kufukuza mtoto mpaka hapo kila kitu kingine kitakapokuwa kimeshindikana.
Very good analysis.Mara nyingi tumetishiwa nyau na Watanzania kwamba tukifungiana mipaka, Wakenya tutaishia kuangamia maana tunaambiwa tunaihitaji Tanzania kwa hali na mali. Hivyo sasa hii imewapa Watanzania uhuru wa kudhihirisha chuki zao na kutuwaza kila siku.
Imewapa jeuri Watanzania ya kuibuka na kila aina ya sera za chuki dhidi yetu, Watanzania wote wameamishwa hizi chuki na kuwekwa kwenye mazingira ya kuamini kwamba nchi yao ndio hewa tunayoipumua leo, ilhali serikali yetu dhaifu ipo kimya hawajibu kwa lolote. Sasa nawaomba wachumi nguli mtusaidie kudadavua na kubaini nini ambacho tunaweza kupoteza tukipeana talaka na Watanzania kama ilivyotendeka awali maana sio mara ya kwanza kufungiana mpaka.
Ni kweli kuna vitu tutapoteza, lakini pia katika biashara lazima ukubali hasara haswa kwa wadeni jeuri "doubtful debts", au pia huruhusiwa kuachia wateja ambao japo unanufaika na biashara yao lakini wanakukwamisha kwenye mengine mengi.
Binafsi kwa mahesabu ya haraka
- Katika mataifa ambayo tunauza bidhaa zetu, Tanzania imechukua tu nafasi ya asilimia 10% hivyo, asilimia zingine 90% tunauza bila kuwategemea. Kenya imetumia nguvu nyingi sana kupata masoko kwenye mataifa tofauti duniani, leo hii hata KQ inapaa moja kwa moja kwenda Marekani.
- Likija suala la uhusiano baina ya raia wetu, ukweli ni kwamba takwimu huonyesha kwamba Watanzania wengi ndio wanakuja Kenya zaidi ya Wakenya wanaokwenda Tanzania, haswa ukizingatia sera zao dhidi ya Wakenya, ina maana hao Wakenya wachache waliopo huko kwao hawanufaiki pakubwa sana kihivyo, ilhali wao wamejaza Watanzania wao kwa maelfu huku Kenya, na wengi hawana umuhimu wowote huku bali omba omba tu.
- Tofauti baina ya uchumi wa Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka, yaani Kenya inazidi kuiacha Tanzania kwa mbali, kuna miaka ya awali tofauti yetu ilikua dola bilioni mbili za Kimarekani, leo hii tofauti imezidi dola bilioni 30, yaani ukiunganisha Uganda, Burundi, Tanzania bado hautakua umetufikia. Tofauti inaendelea kuongezeka.
- Tuna miradi mikubwa inaendelea Kenya kwa leo yaani kuitaja humu nitaishia kujaza server za watu bure.
So kwa kifupi, Kenya yetu kainchi kadogo na nusu yake kame tupu, hatuna madini lakini uwezo wetu upo kwenye nguvu kazi ya watu wetu na kujituma, hicho ni kitu hatuwezi kukipoteza na ndio kimetuwezesha kutawala ukanda wote huu kiuchumi, kijeshi, kielimu n.k.
Hehe ... Diamond Platinumz.I am not telling but asking, how worse can it get for us, will calling it quits with you guys cause mass starvation in Kenya? are the current facts and statistics denoting or indicating such a reality.
Am not interested on what Tz will gain/lose, the question is specifically from Kenyan perspective and viewpoint.
Ukikuyuni huko nyeri kwa akina @Mkikuyu Akili timamu!Mimi Mkenya, asili yangu Ukikuyuni, japo nimekatiza mikoa na wilaya nyingi za Tanzania, hapo kwenu napajua kwa ndani na nje.
Ukikuyuni huko nyeri kwa akina @Mkikuyu Akili timamu!
Nilikwambia mimi mzawa wa Murang'a. Kitovu cha wanabiashara 90% wa nairobi..Home of Equity bank and the most respected CEO's in kenya.Ukikuyuni huko nyeri kwa akina @Mkikuyu Akili timamu!
Nakuomba usihepe maswali yangu basi kama ilivyo kawaida yako.Nilikwambia mimi mzawa wa Murang'a. Kitovu cha wanabiashara 90% wa nairobi..Home of Equity bank and the most respected CEO's in kenya.
Nyeri ni ya wakikuyu ambao wamekosa ubunifu, wana utaahira fulani wa kichwa na uoga mpaka mabibi zao huwachapa vita. kila siku.
Ni bahati sana Kibaki anayetoka Othaya alipata urais..Huku ukikuyuni anajulikana kama general Kìguoya..Isingekuwa ni mkono wa the late John Michuki serikali yake ingesambaratika
Siko hapa kukujibu maswali yasio fuatana na mada. Tafuta mkikuyu wa nyeri.. Akili zao ndizo zipo hivyo..kutapatapa hovyo na fitina..Nakuomba usihepe maswali yangu basi kama ilivyo kawaida yako.
Kwenu ni murang'a wapi? Which Constituency?which ward?