Hivi ni kwamba Watanzania hatuko busy sana au inakuwaje?, labda tuseme ni maendeleo ya Teknolojia kuliko nchi zingine

Hivi ni kwamba Watanzania hatuko busy sana au inakuwaje?, labda tuseme ni maendeleo ya Teknolojia kuliko nchi zingine

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
 
Wabongo wengi ni washamba kwenye mitandao kwahyo wanaamua kufuatilia mambo ya nje zaidi ili waonekane na wahusika.😁😁😁😁
 
Umeona tu mwenyewe hapo, unatumia instagram, jf na whatsapp. Ulichokiuliza utaona jibu umelipata kupitia maelezo yako. Unatumia 2hrs kuingia mtandaoni baada ya kazi zako za asubuhi, tayari jibu unalo. Sasa huenda sio 2hrs tu, huenda kwa siku una average ya 5hrs mtandaoni.

Mleta mada nadhani jibu unalo.
 
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
Wewe ni mfano hai mtanzania mpenda mitandao. Hilo swali jiulize wewe kwanza
 
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram
1. FOMO(Fear Of Missing Out) muda mwingi unakuwa unahamu ujue nini kinaendelea mitandaoni hutaki kikupite eg. Lissu kasema nini kipya, moto wa LA umezima?
...
2. Easy Access: zama hizi as long as una simu ya smartphone na una bando ni rahisi kujikuta unaperuzi hata 4hrs mpaka unajisahau kufanya kazi za muhimu.
...
3. Addiction/PsychologicalTrap
Social engineers wa mitandao ya simu wamebobea katika kuhakikisha mtumiaji wa simu haachi kuitumia app husika, wameweka rangi-shawishi (nyekundu) kwaajili ya notifications/DM/PM maana ubongo wa binadamu uko sensitive kwa hio rangi, wameweka njia ya kupata mambo mapya iwe rahisi ukitaka habari mpya unaslide tu kuja chin inarefresh huna haja ya kubonyeza sehemu yoyote wameshateka akili yako
 
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
Comment nyingi ni wafanyakazi wa ofisi za serikali ambapo ukienda unawekwa foleni wewe unamwona aliyekuweka foleni yuko bsy na computer unadhani au anashughulikia jambo lako au la wale uliowakuta kumbe yuko bsy anacomment instagram.
Kuna siku nimekutana hali hii wizara ya ardhi. Tumejazana nje dada ukiangalia kwenye computer unaona kafungua ukurasa wa facebook.
 
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
Badala ya kusema watanzania hawako busy, Ungesema wewe binafsi hauko busy maana kama asubuhi unaamkia kwenye mitandao yote hiyo kwa saa 3+ halafu unainclude watanzania wengine ni upumbav
 
1. FOMO(Fear Of Missing Out) muda mwingi unakuwa unahamu ujue nini kinaendelea mitandaoni hutaki kikupite eg. Lissu kasema nini kipya, moto wa LA umezima?
...
2. Easy Access: zama hizi as long as una simu ya smartphone na una bando ni rahisi kujikuta unaperuzi hata 4hrs mpaka unajisahau kufanya kazi za muhimu.
...
3. Addiction/PsychologicalTrap
Social engineers wa mitandao ya simu wamebobea katika kuhakikisha mtumiaji wa simu haachi kuitumia app husika, wameweka rangi-shawishi (nyekundu) kwaajili ya notifications/DM/PM maana ubongo wa binadamu uko sensitive kwa hio rangi, wameweka njia ya kupata mambo mapya iwe rahisi ukitaka habari mpya unaslide tu kuja chin inarefresh huna haja ya kubonyeza sehemu yoyote wameshateka akili yako
Point kubwa Mkuu... Ni kama mimi hapa... Nipo bize sana lakini kila baada ya nusu saa nachungulia humu, watu wamejibuje?? Daah😀😀
 
Comment nyingi ni wafanyakazi wa ofisi za serikali ambapo ukienda unawekwa foleni wewe unamwona aliyekuweka foleni yuko bsy na computer unadhani au anashughulikia jambo lako au la wale uliowakuta kumbe yuko bsy anacomment instagram.
Kuna siku nimekutana hali hii wizara ya ardhi. Tumejazana nje dada ukiangalia kwenye computer unaona kafungua ukurasa wa facebook.
Kwa taasisi za uma tuwarekodi tu. Huo ndo mfumo wa sasa
 
Badala ya kusema watanzania hawako busy, Ungesema wewe binafsi hauko busy maana kama asubuhi unaamkia kwenye mitandao yote hiyo kwa saa 3+ halafu unainclude watanzania wengine ni upumbav
Asee
 
Kwetu maisha cheap Sana. Kama mtu anaamka asubuhi Tena ndani ya jiji la Dar es salaam Hana hata shilingi mia na Hana hata sehemu ya kulala lakini anauhakika wa kula asubh mchana na jioni sasa hapo atajihangaisha Kwa lipi. Mtu Hana mboga lakini anajua jirani akipika mchana atagombea mboga kazi kwake imebakia kusonga ugali tu
 
Kwetu maisha cheap Sana. Kama mtu anaamka asubuhi Tena ndani ya jiji la Dar es salaam Hana hata shilingi mia na Hana hata sehemu ya kulala lakini anauhakika wa kula asubh mchana na jioni sasa hapo atajihangaisha Kwa lipi. Mtu Hana mboga lakini anajua jirani akipika mchana atagombea mboga kazi kwake imebakia kusonga ugali tu
Mji wa mawinga
 
Back
Top Bottom