Hivi ni kwanini huyu dada alifanya vile...??

Hivi ni kwanini huyu dada alifanya vile...??

mkuu labda muyo mdada alikuwa-disappointed na alichokiona. Usife moyo endelea kutafuta. Lakini next time mngebadilishiana picha may be ingeepesha yote hayo.
 
1. kwani ulimnunulia hiyo dinner? 2. Ukute matarajio yake au picha aliyovuta kichwani mwake haiendani na mtu aliyekutana naye pole sana ndugu

Mkuu Dinner hiyo bana hakutaka mwenyewe! Ila tu alinivuta niende kwake!
 
Hebu sikiliza bana.........kijana kaambiwa dinner sijala, nina njaa, Then kaambiwa njoo........Then kijana akasema ooh! late sana,...binti kamwambia kesho nipo tight njoo leo.

Kwa yeyote mwenye akili, hapo alikuwa amemaliza kila kitu! Kijana alipewa nafasi ya kumaliza yeye akachezea.....dada ameshamdharau. Ukiachilia mbali mambo ya pamba na marashi na wahtever else you young people think vinamatter kwenye hili game.
Aliambiwa this is the right time, njoo........yeye akapeleka maneno badala ya action. SOMENI KWA MAKINI.

Mzee hapo kwenye RED sijakupata vizuri, nifafanulie.
 
km alisema mi natembelea HAMMER na akaenda na mark 2 ya dadake imechooooooooooooka wat do thk?


Hahahahaha! Haya bana Rose1980 mambo ya HAMMER ndo niyapeleke huko, reality inalipa zaidi kuliko uwongo mkuu! Ila kifupi sikumwaga hayo mambo ya kumdanganya.
 
UNAULIZA JIBU BABA, HAPO HAULIPI KWAKE NA VIWANGO VYAKE....:car:


Sibabaiki na viwango! Binadamu tunabadilika leo yuko safi kesho yuko rough, tena kesho kutwa anarudi anakuwa smart tena.
 
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.

Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.

Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.

Je, hiyo ni dharau ama?
Nyie ndio mnaoharibu sifa za kiume,unaitwa na mwanamke saa 4 usiku ulifikiri anataka chakula ? hiyo ilikuwa sababu tu ulitakiwa ulete chakula na kulianzisha.Ulipomwacha kama ulivyomkuta akaona humfai a.k.a ZOBA.
 
mi sijaelewa sawa sawa hapa, mtoa mada analalamika kwamba aliandika msg kumjulisha bibie kwamba alifika salama lakini haikujibiwa. Ila sioni swali hapo kwenye msg yake sasa sijui alitegemea ajibiwe nini wakati msg ilikuwa ni ya taarifa tu na siyo swali?
 
Anajua kuzungumza kiingereza yani english au hujui ni kigezo....? huna qualification,au bado anakutafutia namba kwenye list yake???:suspicious:🙂

Hilo kiinglish tena!? Mwache na chaguo lake, unaweza ukawa unajua kiingleza na unamtaka jamaa wa dizaini hiyo lkn unakuta ni mwanga kweli au jambazi mkubwa, utafanyaje hapo?

Kama ni hilo halinihusu mimi.
 
Labda hukuwa umejiandaa kaka yangu,ukakurupuka kitandani bila hata ya kuswaki, kufika kule mdomo ukawa unatoa harufu kali na wewe umekazana unataka kumuaga kwa denda dem akajua kila siku ndo upo hivyohivyo.
Pili hiyo imekuwa kama technique ya wadada na wakaka wengi ya kujifanya kama hataki vile baada ya kuonana na mtu mara moja atajifanya kama amepotezea ili mwenzage abeg for more

Hahaha! Nilijua anatumia hiyo technique, mzee hujakosea ulichokisema hapo kwenye RED!
 
Back
Top Bottom