Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Jemedari ni sawa na kuiga kunya kwa tembo atapasuka msamba mwenyewe, Yanga wameamua kumpuuza kwa maana wanamchukulia kama mpuuzi mmoja hivi anayejaribu kupambana na taasisi kubwa inayomzidi ukubwa, na hasira zake tunajua zinakotokea kwaiyo acha aendelee kujianika na nyie madunduka wenzake mpeni sana sapoti mkija kushtuka mtaisoma nambaKwasababu utopolo ni wajinga wasiojua mambo ya mikataba, kumchukia Jemedari ni sawa na kuendekeza ujinga.
Uyo jamaa acha nae ni miongoni mwa wale ambao wapo kwenye orodha ya rageWewe ndio mjinga na jemedari Kama anajua Mambo ya mikataba mbona hawashauri Simba wamwambie Mo atoe pesa za udhamini na mabango yake kwenye jezi?.
Ni kama ambavyo hakuna anayejua ni kwann umeandika kwa herufi kubwaNI KWA SABABU HAONGELEI SANA ZA MANCHESTER.DAWA YAKE NI WEWE KUONGELEA ZA KWAKE KAMA AMBAVYO UNAMUONGELEA KATIKA KUMPANGIA CHA KUZUNGUMZIA.
Muanzishie uzi wake special, kama una ushahidi.Hivi kwa nini maulidi kitenge anaongelea sana mambo ya simba
Thawa thawa avae.Ni kama ambavyo hakuna anayejua ni kwann umeandika kwa herufi kubwa
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Unaakili wewe???Manzoki kuitembelea Simba sio ishu ya kujadili, ni kama vile Aziz Ki alivyoitembelea ASEC, utajadili nini sasa? Hili la Yanga na SportPesa kuna mambo mengi ya kuyaangalia maana halihusu mtu mmoja mmoja (Manzoki au Aziz Ki) bali linahusu klabu yenye wapenzi na wanachama nchini kote ambao wangependa kujua kinachofanywa na uongozi wao kwa niaba yao
Nina Mashaka na IQ zenu Aziz kwenda Asec ni poa kacheza pale Manzoki kacheza Simba???Kaka achana na mashabiki wa yanga kule wenye akili ni wawili tu.hiyo chura haiwezi kukuelewa
Tufanye hivi. Nenda Jamhuri ya Kati ambako ndiko Manzoki ana uraia, mtafute na umuulize, kwa nini ulienda kwenye mkutano wa Simba wakati sisi Yanga hatupendi?Issue ya Manzoki na Aziz Ki zinafanana??
Aziz Ki kacheza Asec Je Manzoki kacheza Simba?? Na Ni Lini??
Huyo sisi hatushtui,ni form six failure kama vilaza wengine tuKama kuna mtu anajua kilichopo nyuma ya pazia basi atujuze. Huyu mchambuzi amekuwa anaongea sana pale kunapotokea sintofahamu kwenye timu ya Yanga. Lkn mtu huyu amekuwa kimya kwa baadhi ya issues zenye sintofahamu pale Simba.
Mfano ni ukimya wake kwenye issue ya Manzoki kualikwa kwenye uchaguzi wa Simba akiwa ni mchezaji wa timu nyingine. Jambo hili lingefanywa na Yanga angetokwa povu wiki nzima. Aliwahi kunyamazia faulo mbaya aliyocheza Inonga kwa Sureboy lkn akaja juu sana faulo ya Morrison kwenye mechi ya Azam. Yanga wanapaswa kukosolewa pale wanapokosea. Lkn wengine je?
Naomba kujua kama jamaa ana sababu binafsi za ku-behave the way he does. Naona kama nchi inapoteza vijana wazuri
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Unaona ulivyo Mbumbu imeshindwa ku Justify si ulikua unasema Aziz Kaenda Asec ninekuuliza Manzoki Kacheza Simba??Tufanye hivi. Nenda Jamhuri ya Kati ambako ndiko Manzoki ana uraia, mtafute na umuulize, kwa nini ulienda kwenye mkutano wa Simba wakati sisi Yanga hatupendi?
Hana akili huyoUnaakili wewe???
Issue ya Manzoki na Aziz Ki zinafanana??
Aziz Ki kacheza Asec Je Manzoki kacheza Simba?? Na Ni Lini??
Acha kushadadia ujinga Mkuu sema hilo simba walipuyanga.
Na Kwa Ujumla soka la Bongo lina Uzwazwa Mwingi Kama Huu wako unalinganisha Mchezaji aliechezea Team Flan na mchezaji ambae hata hana Ushikaji na Captain wa Team hio??
Anaboa sanaJamaa chawa wa makolo kitambo tu. Anachanganya kazi na mapenzi
AhaaaHuyo sisi hatushtui,ni form six failure kama vilaza wengine tu
Kwa hiyo kufuatilia kilicholmeta Manzoki kwenye mkutano ndio kuwa na akili? Labda za kuvukia barabaraUnaona ulivyo Mbumbu imeshindwa ku Justify si ulikua unasema Aziz Kaenda Asec ninekuuliza Manzoki Kacheza Simba??
Coz hata Ulaya hio ni kawaida kwenda Team ambayo umecheza hapo zaman.
JIBU KIRAHISI TU NA UTAFANYA UONEKANE UNAA AKILI MKUU!
Watoto wa mjini??wahuni??Hersi na Manara ni watoto wa mjini Sasa wamesha mfanyia umafya wa kutosha, Kwaiyo jamaa Kila akipata nafasi kwenye kipaza sauti yeye anatema Nyongo.
Manara uwa wanajibishana ila Hersi kwakua ashajua Jemedari ni mchimba chumvi uwa anampotezea hajawahi kumjibu.