rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Jua linawaka mda wote ila usiku linakuwa linawaka upande mwengine wa dunia ikiwa ni matokeo ya dunia kujizungushaunapoint mkuu hata mimi hua najiuliza sana kwanini jua linawaka mchana wakati kuna mwanga badala liwake usiku wakati wa giza
Umejibu vyema.Mfano ni toch inavyokumilka, chukua mpo watu wawili umbali wa mita 100 then toch imlenge mmoja, obviously mtu wa pili ambaye hajalengwa (pembeni) ataona mwanga hafifu (joto) tofauti na aliyemulikwa centre.
Siku upande ndege na ww ufanye utalii wa anga. Haya mawingu ya mvua yapo karibu mno na dunia na unaruka na kuyaona kwa chini yako. Kwahiyo yakitanda yanazuia mwanga kupenyaNauliza tu wakati wa kipindi cha mvua jua huwa linazuiwa na kitu gani?
Ndio ipi?
Dah! Umenikumbusha mambo ya rayleigh scattering kwenye course ya hydrometeorology. Umeeleza vyema sana.Jua linapochomoza au linapokaribia kuzama, nuru yake inapitia katika tabaka kubwa zaidi la angahewa kuliko wakati wa mchana.
Wakati wa mchana, nuru ya jua inapita katika tabaka la chini zaidi la angahewa, ambalo linasababisha nuru yake kupunguzwa kwa kiasi kikubwa zaidi.
Tabaka hili la chini la angahewa linasababisha nuru ya jua kugongana na chembe ndogo za vumbi na molekuli za hewa, hivyo kufanya nuru iwe kali zaidi na kusababisha anga kuonekana kuwa bluu.
Lakini wakati jua linapochomoza au linapokaribia kuzama, nuru yake inapita kwenye tabaka kubwa zaidi la angahewa. Kwa kuwa nuru inapitia umbali mrefu zaidi katika angahewa, chembe za vumbi na molekuli za hewa zina nafasi zaidi ya kuyatawanya mwanga mwekundu na rangi nyingine zenye mawimbi marefu.
Hii husababisha jua kuonekana kuwa na rangi ya machungwa au nyekundu, na pia kufanya nuru yake isiwe kali sana ukilinganisha na wakati wa mchana.
Ikiwa miale ya point a,hufika duniani ikiwa dhaifu zaidi kutokana na umbali zaidi mpaka kusababisha barafu wakati mwingi eneo hilo,basi hata point C niliyoweka alama inaathirika kwa mtindo ule ule wakati jua litakapokuwa limesogea kuzunguka upande wa nyuma.
Tofauti ya C na A ni kwamba c inakuwa na vipindi vyote kwa masaa 24 tu,ila a haifikiwa na miale jua sawa sawa zaidi ya mwanga hafifu tu.
Labda swali gumu ni kujiuliza kwanini huwa linaonekana ni kubwa zaidi.View attachment 2975139
Sio kweli kama mtaalamuJua linapochomoza au linapokaribia kuzama, nuru yake inapitia katika tabaka kubwa zaidi la angahewa kuliko wakati wa mchana.
Wakati wa mchana, nuru ya jua inapita katika tabaka la chini zaidi la angahewa, ambalo linasababisha nuru yake kupunguzwa kwa kiasi kikubwa zaidi.
Tabaka hili la chini la angahewa linasababisha nuru ya jua kugongana na chembe ndogo za vumbi na molekuli za hewa, hivyo kufanya nuru iwe kali zaidi na kusababisha anga kuonekana kuwa bluu.
Lakini wakati jua linapochomoza au linapokaribia kuzama, nuru yake inapita kwenye tabaka kubwa zaidi la angahewa. Kwa kuwa nuru inapitia umbali mrefu zaidi katika angahewa, chembe za vumbi na molekuli za hewa zina nafasi zaidi ya kuyatawanya mwanga mwekundu na rangi nyingine zenye mawimbi marefu.
Hii husababisha jua kuonekana kuwa na rangi ya machungwa au nyekundu, na pia kufanya nuru yake isiwe kali sana ukilinganisha na wakati wa mchana.
Umeelezea concept ya usiku na mchana. Sio intensity of Sunrays during the day time.Hujajibu swali.
0.5/10
Ni very simple kufahamu. Kuna aina za mawingu na sifa zake. Lakini pia kiasi cha humidity huweza kupunguza miale ya jua hado 60%. Dust on atmosphere, quantity of water vapour.nk Lakini hali hii haifany joto kupotea. Dunia ikipoteza joto lake kwa dk 3 hakuna maisha katika dunia.Nauliza tu wakati wa kipindi cha mvua jua huwa linazuiwa na kitu gani?
Imani ni shambulio la akili.Ikupe kufahamu kuwa, Dunia haizunguki, ila jua na mwezi huzunguka kufanya movement.
Shule zimewajaza matango pori,
BIBLIA ilishasema wazi, jua na mwezi huzunguka.