Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Tukutane 2025 🤪🤪Kinyerezi Kuelekea Saranga kuna tatizo gani?
Hili eneo lina mgogoro mkubwa sana si bure.
Kucha kutwa watoto, wamama na ndoo za maji kichwani au huku ni nje ya nchi?
Au wamekosea nini hawa raia? Bila shaka mtandao wa maji kutokea kimara una kasoro...wahusika fuatilieni.
Tuache siasa. Maji hakuna kabisa...na huyu anayejiita Mbunge wa maeneo ya segerea mwakan labda aibe kura..bungeni aage kabisa maana hatarudiTukutane 2025 🤪🤪
Mama Edina!Kinyerezi Kuelekea Saranga kuna tatizo gani?
Hili eneo lina mgogoro mkubwa sana si bure.
Kucha kutwa watoto, wamama na ndoo za maji kichwani au huku ni nje ya nchi?
Au wamekosea nini hawa raia? Bila shaka mtandao wa maji kutokea kimara una kasoro...wahusika fuatilieni.
DOKEZO - Malalamiko yanayotoka ndani ya DAWASA
Nawasalimu katika Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, DAWASA ni Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam pamoja na baadhi ya maeneo ya Pwani. Nianze kwa kupongea juhudi inafsi zinazofanywa na serikali yetu ya kumtua mama ndoo kichwani, na juhudi za kuhakikisha kua...www.jamiiforums.com