Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Zidumu daima

Hivi hata wanawake si wana nyumba ndogo? au zao zinaitwa nyumba kubwa?

:becky::becky: hapo nimeelewa kumbe nyumba ndogo zinaisadia nyumba kubwa kutoa huduma ya PENZI tatizo ni muda na mahali tu , zidumu daima nyumba ndogo :clap2:
 
Nyumba ndogo ina muda

Hukosi vikorombwezo kama masage, kuogeshwa, manjonjo ya hapa na pale


Saa hizo nyumba kubwa inafagia banda la ng'ombe, ikimaliza ikamue, ukirudi imechooka

Atakuwa anajifunza kuchit matokeo yake ndo hayo na nyumba ndogo janja sana zikuona mtu wa design hiyo wanamwonjesha tiGo jamaa apagawe kabisa kama hajaitelekeza familia sijui
 
he he heeeeeeeee, nina uhakika rafiki Dena Amsi katupata....
acha kulia songa mbele shosti.....
ni upepo tu utapita
TENA ATUPATE ATUSIKIE UZURI!
shurti achutame akae chini na kitako asikie!
HAKUNA KULIA LIA OH MPANGO WA KANDO!AWE MTAANI IWE MNASHARE BAFU!
piga hamsa zako hudumia familia yako plus mumeo bibi!uone mwisho was siku kitakuwa nini!
mpango wa kando ungekuwa kuntu cleopatra angekuwa hai mpka leo jama!oh!
 
Mkirua tena ukifanya hilo kosa nikikukuta mie mkeo kweli nafungasha naondoka
ala inakuwa zarau ukachukue mtu hatanifikia hata akipaka enjo feisi siwezi kukuelewa.
Mkirua hivi kweli unaniita brother kweli?

Kumradhi Mamndenyi.....Avatar zako zinatuchanginyi aisee mleu...
 
Last edited by a moderator:
BTW: The so called "Matatizo ya Wanawake" yanafanana sana...! Ndiyo maana mwanaume akienda nyumba ndogo anasimulia "matatizo" ya mkewe na akirudi kwa mkewe anasimulia "matatizo" ya nyumba ndogo - kwa kauli tofauti lakini zinazo maanisha jambo lile lile..."

Kwa mkewe..." Kuna dada mmoja pale ofisini, hajui hata kusafisha kikombee baada ya kunywa chai, yaani yeye uwa anakiacha mezani hadi kesho yake napokuja "dada wa usafi"...!

Kwa nyumba ndogo... " Mke wangu hawezi kunifanyia jambo lolote, hata kunipakulia chakula, uwa anasubiri "housigeli" apakue"...!
 
Nyumba ndogo ina muda

Hukosi vikorombwezo kama masage, kuogeshwa, manjonjo ya hapa na pale


Saa hizo nyumba kubwa inafagia banda la ng'ombe, ikimaliza ikamue, ukirudi imechooka

Mi nikifika mlangoni tu nyumba ndogo inanibeba mgongoni mpaka chumbani kicha navuliwa nguo vitu kama hivi nilikuwa sivipati baada ya kuweka nyumba kubwa ndani enzi za uchumba nilikuwa napakatwa kama mtoto na kuogeshwa
 
He he he he, ze profesa said so

I hate you kwa kuwa mkweli kupita kiasi

BTW: The so called "Matatizo ya Wanawake" yanafanana sana...! Ndiyo maana mwanaume akienda nyumba ndogo anasimulia "matatizo" ya mkewe na akirudi kwa mkewe anasimulia "matatizo" ya nyumba ndogo - kwa kauli tofauti lakini zinazo maanisha jambo lile lile..."

Kwa mkewe..." Kuna dada mmoja pale ofisini, hajui hata kusafisha kikombee baada ya kunywa chai, yaani yeye uwa anakiacha mezani hadi kesho yake napokuja "dada wa usafi"...!

Kwa nyumba ndogo... " Mke wangu awezi hata kunipakulia chakula, uwa anasubiri "housigeli" apakue"...!
 
Back
Top Bottom