Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

my Bro,kwasasa hata nipate jaribu gani ntapambana nalo , kifo tu ndio hakiwezekaniki, lile lilikuwa somo kwangu kiasi cha kutosha,lakini mwenyewe alikuja kuniambia mie nina roho ngumu sana, "yaani nina kurudia asubuhi nakuta nimeandaliwa kila kitu na mie nilivyo fendee na breakfast napata bila kufikiria huyu mwanamke anafikiria nini kichwani kwake kunifanyia haya" hahaha baada ya kasheshe kuasha yeye ndio alikuwa anapata tabu ya kutaka kujua nilikuwa "naishije" kwenye hiyo miezi 6.

Experience ndiye mwalimu bora.....

Naomba Mungu akikujalia ukaanza kukunja mgongo na kushika mkongojo basi utuwekee uzoefu wako kwenye kitabu..

Babu DC!!
 
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................

Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI

Jibu la swali lako la kwanza ni NDIYO. Kumuoa "mpango wa kando" haiwezekani kwa sababu "mpango wa kando" ni kama dawa, si chakula. Dawa tunakunywa tunapoumwa tu, lakini chakula ni routine. Na anaelezwa matatizo ili aweze kutoa tiba sahihi.
Huwezi kuniambia eti kama panadol ni nzuri basi nile hiyo badala ya ugali! Panadol nameza, kichwa kikishatulia naendelea na mengine. Maumivu yakizidi naenda kwa daktari, lakini nikishatibiwa narudi nyumbani. Hata daktari akinipa "admission" kulazwa, nikishapona ananipa "discharge" narudi nyumbani.
"Mpango wa kando" ni kwa ajili ya kuondolea stress tu, bila stress mpango huo hauhitajiki. Natumaini nimekujibu.
 
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................

Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
Pole
 
Back
Top Bottom