Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
h ha haaaaaa, sasa my dear wasipowadanganya hivyo watawapataje?
yaani mtu aje akuambie naishi kwa raha mustarehe na mke wangu ila nataka nikutumie tu mara mojamoja nikijisikia kubadilisha mtajisikiaje?
lazima akuweke kwenye anga za kukufanya ujione una thamani machoni mwake ili apate anachotaka, na ndo maana hamwachi mkewe sababu anajua hapo anapita tu........
ukiwasikiliza vizuri hao watu story nyingi huwa ni za uongo, ni gia tu ya kumpata mdada. Smile hii nimeandika kama nakuambia wewe lakini siyo..... ni kwamba tu nimeshindwa niiwekaje, lakini inamaanisha wale wanaofwatwa kuwa mpango wa kando......
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................
Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
Acheni kujidanganya nyie wanawake! Mi ninauzoefu sana na hizi nyumba ndogo na zinasaidia sana! Kuna mambo mengi hamyajui. Mwanamke ukiolewa unabweteka na hufundishiki kabisa. Unaziba maskio hata chakula cha mmeo unashindwa kupika, japo kukionja kabla hajala. Kwanini nisiwe na NN? Pia majibu mtu unajijibia tu kama mme ni mtu mwezako bila kujua kwamba ni kichwa cha pentagon.... Sasa kule kwenye nyumba ndogo kuna unyenyekevu wa hali ya juu sana! Kama ni kuhamia mi nilihamisha roho, kule home kunalala kiwiliwili tu!
kuna mahali umenipoteza kidogo lakini nimejitahidi kukusoma...Kumbe Mpango kando ni maslahi otherwise hakuna kitu? Lakini Nyamayao labda unazungumzia kwa asilimia...ipo mipango kando mingine inajiweza na kujiendesha saana inataka kuwa na wewe pengine performance ni nzuri nk, nk....hapo unasemaje?
na ntakusuta, ooh yeah anajua jinsi ya ku deal na mie haswaa, kwamba kama ni lazima akidue nje basi na atoe dudu tu mana akimaliza nguo zote nahisi atahisi nipo nyuma yake namuangalia, na hivyo nilivyomuwekea mkakati mgumu/mzito kwamba ikitokea tena, huo mkakati anao mukichwa.
Happy Valentines day to you too my dear .
Vipi leo cha wapi??
Wewe njoo tu utakuona
Wanawake will always be wanawake
Yani theme ya swali lako(thread) inajibiwa hivi kama awali
Mwanaume kuwa na mtu wa pembeni wa kike au hawara ni lazZmA! Piga uA!
Inatusaidia kujua nini tatizo ndan ya nyumba
FULLstoP
Ata kama akuna tatizo! Nyumba ndogo Pia ni laZMa
Inasaidia kujua kama perfection ya ndani ipo sawa au nje tuu ndo napo pata usawa
Haya bwana Nyamayo,
I hope and do pray that your trategies are working....
Ila hongera sana kwani umeonesha kuwa maisha ni mapambano na vitu vizuri lazima mtu avipate kwa jasho...
Ingawa kuna watu wanavipata si kwa jasho bali hata damu..lol!!
Babu DC!!