Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

h ha haaaaaa, sasa my dear wasipowadanganya hivyo watawapataje?
yaani mtu aje akuambie naishi kwa raha mustarehe na mke wangu ila nataka nikutumie tu mara mojamoja nikijisikia kubadilisha mtajisikiaje?
lazima akuweke kwenye anga za kukufanya ujione una thamani machoni mwake ili apate anachotaka, na ndo maana hamwachi mkewe sababu anajua hapo anapita tu........
ukiwasikiliza vizuri hao watu story nyingi huwa ni za uongo, ni gia tu ya kumpata mdada. Smile hii nimeandika kama nakuambia wewe lakini siyo..... ni kwamba tu nimeshindwa niiwekaje, lakini inamaanisha wale wanaofwatwa kuwa mpango wa kando......

Mie nilidhani hiyo nyumba ndogo ikijua kuwa hauna tatizo lolote na mkeo and yet unaenda kwake Ndio atajiona wa maana I.e uko naye si kwa ajili ya kupunguza stress za home bali kwa kuwa unajiskia kuwa naye. Kama mie ni nyumba ndogo na unaniambia kasoro za mkeo nitakukimbiza maana unachoniambia ni kuwa mkeo asingekuwa na hizo kasoro wala usingeniona, na pia unasema kuwa mkeo akijirekebisha utaniacha. Ni mtazamo wangu tu.
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................

Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI

A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"
 
Last edited by a moderator:
Acheni kujidanganya nyie wanawake! Mi ninauzoefu sana na hizi nyumba ndogo na zinasaidia sana! Kuna mambo mengi hamyajui. Mwanamke ukiolewa unabweteka na hufundishiki kabisa. Unaziba maskio hata chakula cha mmeo unashindwa kupika, japo kukionja kabla hajala. Kwanini nisiwe na NN? Pia majibu mtu unajijibia tu kama mme ni mtu mwezako bila kujua kwamba ni kichwa cha pentagon.... Sasa kule kwenye nyumba ndogo kuna unyenyekevu wa hali ya juu sana! Kama ni kuhamia mi nilihamisha roho, kule home kunalala kiwiliwili tu!

ulichosahau kusema ni kuwa na nyie Mkienda kwenye hizo nyumba ndogo mnabembeleza. NN lazima ikunyenyekee maana kila inachoomba inapewa au hata kama haipewi inaambiwa kwa lugha nzuri na ya upendo na inapewa ahadi nzuri. Sasa mkeo home hata hela ya kununua luku hadi aandike proposal, unadhani atakunyenyekea? Hebu behave kwa NN kama unavyobehave kwa mkeo uone kama hajakukimbia kama si kukukimbiza. Na Karibu kubehave kwa mkeo kama unavyobehave kwa NN uone kama naye hajakutreat vizuri tena hata zaidi ya hiyo NN.

Na kumbuka kuna NN vichomi vilevile na bado huwa hambanduki, anakuendesha kama gari bovu na bado upo tu, hadi watu wanaanza kuamini kuwa umelishwa kitu. So sio ukweli asilimia Mia kuwa NN zinanyenyekea kihiiivyo.
 
kuna mahali umenipoteza kidogo lakini nimejitahidi kukusoma...Kumbe Mpango kando ni maslahi otherwise hakuna kitu? Lakini Nyamayao labda unazungumzia kwa asilimia...ipo mipango kando mingine inajiweza na kujiendesha saana inataka kuwa na wewe pengine performance ni nzuri nk, nk....hapo unasemaje?

na mipango kando mingine ni wae za watu, hao wamekimbia stress home, hao wafanyeje?
 
Last edited by a moderator:
na ntakusuta, ooh yeah anajua jinsi ya ku deal na mie haswaa, kwamba kama ni lazima akidue nje basi na atoe dudu tu mana akimaliza nguo zote nahisi atahisi nipo nyuma yake namuangalia, na hivyo nilivyomuwekea mkakati mgumu/mzito kwamba ikitokea tena, huo mkakati anao mukichwa.


Haya bwana Nyamayo,

I hope and do pray that your trategies are working....

Ila hongera sana kwani umeonesha kuwa maisha ni mapambano na vitu vizuri lazima mtu avipate kwa jasho...

Ingawa kuna watu wanavipata si kwa jasho bali hata damu..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mie nadhani kikubwa wataalamu wanafuata beki, wengi wakiomba kwa stelingi inakuwaga ngumu maswali kibao. Halafu pia mikunjo aina yote inawezekana, ndani huwa ni missionary zaidi ambayo unakojoa haraka kabla stelingi hata hajajiandaa. Nje hunyimwi hata mara moja, stelingi atakuambia tufanye asubuhi.
 
Wanawake will always be wanawake
Yani theme ya swali lako(thread) inajibiwa hivi kama awali
Mwanaume kuwa na mtu wa pembeni wa kike au hawara ni lazZmA! Piga uA!
Inatusaidia kujua nini tatizo ndan ya nyumba
FULLstoP
Ata kama akuna tatizo! Nyumba ndogo Pia ni laZMa
Inasaidia kujua kama perfection ya ndani ipo sawa au nje tuu ndo napo pata usawa
 
Mtagongwa na kila wanaume hadi muwe na mashimo makubwa kwa tamaa zenu
 
tabia ya mtu ndio chanzo cha kucheat tubadilikeni na tumuongopeni Mungu
 
Wanawake will always be wanawake
Yani theme ya swali lako(thread) inajibiwa hivi kama awali
Mwanaume kuwa na mtu wa pembeni wa kike au hawara ni lazZmA! Piga uA!
Inatusaidia kujua nini tatizo ndan ya nyumba
FULLstoP
Ata kama akuna tatizo! Nyumba ndogo Pia ni laZMa
Inasaidia kujua kama perfection ya ndani ipo sawa au nje tuu ndo napo pata usawa

So umekamilisha sentensi kuwa hata nikubebe mgongoni nyumba ndogo lazima as per ur comment?
 
Haya bwana Nyamayo,

I hope and do pray that your trategies are working....

Ila hongera sana kwani umeonesha kuwa maisha ni mapambano na vitu vizuri lazima mtu avipate kwa jasho...

Ingawa kuna watu wanavipata si kwa jasho bali hata damu..lol!!

Babu DC!!

my Bro,kwasasa hata nipate jaribu gani ntapambana nalo , kifo tu ndio hakiwezekaniki, lile lilikuwa somo kwangu kiasi cha kutosha,lakini mwenyewe alikuja kuniambia mie nina roho ngumu sana, "yaani nina kurudia asubuhi nakuta nimeandaliwa kila kitu na mie nilivyo fendee na breakfast napata bila kufikiria huyu mwanamke anafikiria nini kichwani kwake kunifanyia haya" hahaha baada ya kasheshe kuasha yeye ndio alikuwa anapata tabu ya kutaka kujua nilikuwa "naishije" kwenye hiyo miezi 6.
 
Back
Top Bottom