Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yanachop chop money hayoooo,full uzamini,kodi ya nyumba,matibabu ada ya shule ,wazazi kijijini full insuarance,yaani unapiga umaskini tekekutoka nje ya ndoa ni tabia ya mtu na si ugomvi wa ndani, ila nawauliza wanawake hivi kweli unajua ndani kuna mwanamke mwenzio unatokewa na unakubali,hivi hapo mwenye matatizo ni mwanaume au mwanamke? Kwa nini usiwaonee huruma mwanamke mwenzio na vitoto vyake ukalikataa hilo dubwana?
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................
Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
hahahaha hujui mchele mmoja ila mapishi mbali mbali kuna bokoboko, pilau, wali mweupe, kuna ukoko n.k sasa nyumba kubwa inazidiwa maujuzi na nyumba ndogo fikiria ukifika mlangoni unabebwa mgongoni nyumba kubwa hata karibu tu hakuna :becky::becky:
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................
Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
siku hizi imegeuka kuwa story, ananiambiaga kweli nimeoa kichaa, sasa siku zile mami ndio ulikuwa unataka kuniua kwa kunirushia zile chupa mume wako? ungekuwa mjane saa hivi na hizi raha(kitanda) usingekaa upate kama ninavyokupa, hahaha, historia hiyo, tunalisongesha kwa amani sasa, yalikuwa ni majaribu/mapito tu yale.
Dada Dena kwa hiyo hapa aeende tu ila asimueleze nyumba ndogo matatizo yako kama nimeelewa vizuriNajiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
The Boss kuja hapa!hii dhambi we si ndio bangusilo wao kwa ule MTAGUSO ULIOTOA kipind kile!wakumbushe wenzio ulisema sheria namba ngapi ibara ya ngapi kifungu cha ngapi kinasema nini kuhusu hii?
Wasipochafuka watajifunzaje.......???
He now knows jinsi ya kudeal na Nyamayao.....
Naomba niishie hapa, nisijekusutwa kwamba mie ni mchokozi....
Na umri huu wote....ngoja nikapige hadithi na Bibi....
Karibu mdogo wangu...
Babu DC!!