Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

hapa nazungumzia nilichoambiwa na huyo dada, alitembea nae kisa alitaka hiki na kile, na jamaa alimuahidi kumfanyia hiki na kile,tamaa mbele, na hakufanyiwa hata kimoja,labda kama alimchuna za mfukoni tu, nilimtesa yule dada mpaka nikaridhika na nafsi yangu mwenyewe, alivyokuwa ananitobolea masiri yao ndio nilikuwa nakasirika zaidi, na jamaa home anatubu yale yale niliyoambiwa, hahah mke mtamu ati, aliomba msamaha akiusindikiza na haleluya kuu, yule dada alikuwa mchumba wa mtu, nilimfata mpaka yule mchumba wake ofisini na nikamcal mdada nikamwambia nipo kwa mume wako mtarajiwa, nikuharibie? aliteseka yule dada, alilia mpaka basi, natembea na picha za mchumba wake kama bible vile kwenye pochi yangu,hahaha kila mmoja nilimtesa kivyake,tukija kwenye ishu ya performance hapo ndio ntajua mwanaume nilienae anaweza hata kuombwa na wanaume wenzie akawapa pia kisa "wanajiweza" hapo tena ni kesi nyingine na naomba isinifike mana atanitia kinyaa cha milele, kwamba anatumika na wanaojiweza kisa performance yake? uuuuh, ipitie mbali kwa sasa.

Umenikumbusha baba mmoja wa kichaga hapo Temboni amedumu na nyumba ndogo miaka 8 baba akaamua kuzama Mlimani City kununua mazagazaga kama ya m.5 kumwezesha nyumba ndogo ile nyumba ndogo ikabidi impe jamaa tiGo kama shukrani dah mzee alivyo zama akakuta shimo pana tiGo imekuwa overused alisikitika yule mzee akasema miaka yote 8 ilikuwa unaninyima huduma hii kumbe ulikuwa unawapa wengine kuanzia leo sikutaki tena basi akamtosa na kumwachia vitu pale pale.
 
Amakweli mambo hadharani siku hizi afrodenzi unajuwa mwanzoni nilijua umekosea na utarudi kuedit...LoL...kumbe mie ndio nimekosea!!...Ivi tujiulize why all this? Kwamba hatuna akili kiasi hiki? au ninyi wenyewe mnapenda kudanganywa na ndio maana tunajitahidi kusema lolote ili tupate tunachohitaji?? Why? Why? why?

Kama njia hiyo ingekuwa inaprove failure si wanaume wangeiacha??

cc snowhite.


Wewe sasa unataka kunivunha mbavu....

Ulishaona wapi bubu akawa MC???


Babu DC!!
 
Hapana ..
solution hapo si nyumba ndogo.
Nyumba ndogo ni magojwa.

sasa hata mkeo anatumia damu si petrol anaruhusiwa kuchoka .
na kama kweli kazi za nyumbani zinamuelea ni kumtafutia mtu wa
kumsaidia mfano mfanyakazi wa ndani..

mi nakwambia umuoonyeshee bibie manjonjo yote jinsi gani
una hamu naye, unamtoa out mnaenda holiday, unambusu bila
kufikiria mmmmhhhhh atageuka kukupa kila unachotaka na kukutimizia
kila haja yako.. hadi ukisikia nyumba ndogo unawaza "ndo ini tu"??

Na ubunifu wa mambo matamu ni kazi ya wawili so mamake tu..

:becky::becky::becky: lakini afrodenzi kazi si kusaidiana?
 
Last edited by a moderator:
Unataka kuwa mjane ukingali bado wadai??

Telling a man kwamba unafikiria tu wala siyo kufanya ni sawa na kumpa kidonge cha cyanide....

Msamehe mzee mwenzangu........

Babu DC!!!

mie siku zile ya usuluhishi nilimaliza nyongo yangu yote, yaani niliongea mpaka mama nyamayao aliweka mkono kichwani, hahaha ananinyamazisha kinyumbani wapii, sema kuna yaliyomkaa rohoni mpaka leo, mana nilimuuliza kama ananiona mie kiazi kiasi hicho kumuheshimu au anadhani mie nikitoka asubuhi home na kurudi mausiku nakutana na vipofu tu? basi ujue naonwa, na najaribiwa sana tena sana kuliko unavyofikiri, na unajua mkeo bado nalipa sana tu pamoja na watoto wawili,usinishawishi kabisa kabisa,mana utaucheza mnanda na nikifikia huko ujue nipo tayari kwa lolote ndio mana nimeamua kufanya, so usinishawishi mana hata marafiki zako nikikutajia hapa utazirai wewe, uuhhh, niliongea kupitiliza, hayo yamemkaa kichwani haswaaaaaa, nilisema simalizi kesi kwa kuumia mwenyewe, tuumie wote then tulisongeshe.
 
Kuku huchosha kila siku kwa hiyo wanamme huenda kuonja dagaa kwa majirani


Hivi unajua waweza jikuta umeolewa na zombie? afu wa ukweee yupo yupo tu?

ahhhhhh we bibie wee..
kuku hachoshi kabisa yaani..
we kama unachemsha kila siku uache ..

unatakiwa uanze kugundua njia zingine za kupika kuku.
chicken parmesan, chicken taquitos and tacos , chicken spaghetti, Italian chicken, teriyaki chicken, chicken stir fry, bbq chicken, breaded chicken sandwiches, carving board chicken sandwiches, chicken nuggets and strips , chicken soup, chicken casserole, baked chicken and foil ....

ushindwe mwenyewe......
 
Umenikumbusha baba mmoja wa kichaga hapo Temboni amedumu na nyumba ndogo miaka 8 baba akaamua kuzama Mlimani City kununua mazagazaga kama ya m.5 kumwezesha nyumba ndogo ile nyumba ndogo ikabidi impe jamaa tiGo kama shukrani dah mzee alivyo zama akakuta shimo pana tiGo imekuwa overused alisikitika yule mzee akasema miaka yote 8 ilikuwa unaninyima huduma hii kumbe ulikuwa unawapa wengine kuanzia leo sikutaki tena basi akamtosa na kumwachia vitu pale pale.


Kwa vituko sikuwezi.....

Mzee hayo mauchafu anahangaika nayo ili iweje??

Haya bwana,

Ngoja nikapate lunch kwa Bibi...

Babu DC!!
 
Kwa vituko sikuwezi.....

Mzee hayo mauchafu anahangaika nayo ili iweje??

Haya bwana,

Ngoja nikapate lunch kwa Bibi...

Babu DC!!

hahahaha mzee wa watu kawekeza m.5 kwa nyumba ndogo kwa ajili ya kubadili radha :becky::becky:
 
ahhhhhh we bibie wee..
kuku hachoshi kabisa yaani..
we kama unachemsha kila siku uache ..

unatakiwa uanze kugundua njia zingine za kupika kuku.
chicken parmesan, chicken taquitos and tacos , chicken spaghetti, Italian chicken, teriyaki chicken, chicken stir fry, bbq chicken, breaded chicken sandwiches, carving board chicken sandwiches, chicken nuggets and strips , chicken soup, chicken casserole, baked chicken and foil ....

ushindwe mwenyewe......

mchele mmoja mapishi mbali mbali kuna kitumbua, pilau, wali mweupe n.k swala la radha uliangalie hapo
 
Nitaanza kufanya haya pia


Ina na dagaa tuwaonee huruma, watakosa soko ujue?

ahhhhhh we bibie wee..
kuku hachoshi kabisa yaani..
we kama unachemsha kila siku uache ..

unatakiwa uanze kugundua njia zingine za kupika kuku.
chicken parmesan, chicken taquitos and tacos , chicken spaghetti, Italian chicken, teriyaki chicken, chicken stir fry, bbq chicken, breaded chicken sandwiches, carving board chicken sandwiches, chicken nuggets and strips , chicken soup, chicken casserole, baked chicken and foil ....

ushindwe mwenyewe......
 
mie siku zile ya usuluhishi nilimaliza nyongo yangu yote, yaani niliongea mpaka mama nyamayao aliweka mkono kichwani, hahaha ananinyamazisha kinyumbani wapii, sema kuna yaliyomkaa rohoni mpaka leo, mana nilimuuliza kama ananiona mie kiazi kiasi hicho kumuheshimu au anadhani mie nikitoka asubuhi home na kurudi mausiku nakutana na vipofu tu? basi ujue naonwa, na najaribiwa sana tena sana kuliko unavyofikiri, na unajua mkeo bado nalipa sana tu pamoja na watoto wawili,usinishawishi kabisa kabisa,mana utaucheza mnanda na nikifikia huko ujue nipo tayari kwa lolote ndio mana nimeamua kufanya, so usinishawishi mana hata marafiki zako nikikutajia hapa utazirai wewe, uuhhh, niliongea kupitiliza, hayo yamemkaa kichwani haswaaaaaa, nilisema simalizi kesi kwa kuumia mwenyewe, tuumie wote then tulisongeshe.

Hilo tishio lilikuwa zaidi ya lile la G Bush Jr kwa Sadam Hussein......

Ila naamini hukumwambia kwamba umeshaanza mchakato wa kuwaonjesha...

Kwani sasa hivi angekuwa ni historia............

Men are soft kuliko kitu chochote ninachokijua.........

CC... Dena Amsi,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom