Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Kati ya threads mbovu na inatia kichefuchefu kwa mwaka huu 2015 hii haitakosa kuwepo kwenye Top 3.
Kama msomi kama huyu anaandika upuuzi kama huu,sitaruhusu mwanangu miaka ya baadaye akasome UDSM
 
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!

Hivi ni kwanini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Maana hali ndo ilivyo jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka aibu yani.

Hopeless kabisa. What a shame!!!
 
duuuuu...mtoa uzi ww ni binti au jemba? nipe jibu ndo ni comment!
 
i'am matured enough even to be called your husband.

sishangazwi8 kuanzia post yako inajieleza we ni mtoto kiasi gani

so i just ignore u,nikikutukana ntaonekana niko on the same level u r, so "thankssssss""
 
Wakina Dr. Benson Banna wameharibu kabisa dhana ya "utafiti" .
 
Mbona mimi sisom udsm na sikataliwi!! umetia aibu sana na inaonekana unatokea kijijini sana au mtaa wenye mademu washamba sana....ukijaa mtaani kwetu hupati demu na hiyo udsm yako.maana mademu hapa kitaa wengi wanasoma vyuo America Canada England na Australia huko wachache ndio wenye bahat mbaya wapo udsm kama ww na sure hata hawa kilaza kama ww huwez kuwapata maana utakuja na swaga zako za udsm ujione msomi kumbe jana yake katongozwa na msela karudi likizo from Princeton university!! pia inaonekana huna sumu ww unategemeaa status ya udsm......mm.sipo udsm wala nje ya nchi but napitia udsm to canada. kwa sumu zangu kalii... na kachuo kangu unpopular
 
Na Mimi Nimesoma Udsm Hebu Ngoja Nione Nitapendwa Na Demu Hapa.Namba Zangu 0684789817
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…