Mbona mimi sisom udsm na sikataliwi!! umetia aibu sana na inaonekana unatokea kijijini sana au mtaa wenye mademu washamba sana....ukijaa mtaani kwetu hupati demu na hiyo udsm yako.maana mademu hapa kitaa wengi wanasoma vyuo America Canada England na Australia huko wachache ndio wenye bahat mbaya wapo udsm kama ww na sure hata hawa kilaza kama ww huwez kuwapata maana utakuja na swaga zako za udsm ujione msomi kumbe jana yake katongozwa na msela karudi likizo from Princeton university!! pia inaonekana huna sumu ww unategemeaa status ya udsm......mm.sipo udsm wala nje ya nchi but napitia udsm to canada. kwa sumu zangu kalii... na kachuo kangu unpopular