Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Childish mind, weka thread yenye akili, ukisoma UD, UDOM, SAUT, TEKU, degree ni moja tu.
 
Mmmh sio vizuri kusema siri za nyumbani kwenu.Unamuaibisha mama na baba yako.
 
hahahahahahaha sijamaliza kucheka naweka akiba mtu anikere nimtafutie kicheko
 
Wewe huo utafiti umeufanyia wapi, na umetumia methodology gani na sample zipi, vitu vingine muwe mnaacha sio lazma uandike ushaniharibia weekend
 
Mbona Nko mwaka wa pili na wananikataa tu, mapenzi pesa bana
 
Hivi Diamond Amesoma Wapi? Maana Leo Yuko Na Wema Kesho Yuko Na Zali
 
Ebwana hizi post utaambulia matusi maana ma special one wa udsm ni wachache hapa compare na vyuo vya kata.
 
Back
Top Bottom