Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Wanawake huwa wanawapenda wanaume dhaifu na washamba ambao wanaweza kuwapelekesha wanavyo taka wao,sasa ud wanafunzi wao wengi ni wale wakuda ambao walikuwa kina john kisomo toka enzi hizo wao bata hawajui,hawajawahi kudate na wanawake tofauti tofauti,wao ni shule na wao,sasa watu kama hawa wakiingia uraiani wanakuwa na elimu kubwa,kazi nzuri,mshahara mzuri but washamba,kwahiyo lazima wanawake wawapende sababu wanauhakika wa kuwashika pembe,kwahiyo usidhani labda mnapendwa sababu ure so special sababu ni hiyo nyinyi ni rahisi kuchunwa na kushikwa pembe kirahisi sababu ni washamba.
 
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!

Hivi ni kwanini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Maana hali ndo ilivyo jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka aibu yani.

we jamaa utakua umezaliwa kijijin.umesomea kijijin.umekulia kijijin.mjin umekuja siku ulipoenda kuripot apo chuon kwako udsm....japo hujaonesha unasoma chuo gn....shule bila kuishi mjini ata kidogo ni tatizo asee hahahahahahahahhaah
 
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!

Hivi ni kwanini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Maana hali ndo ilivyo jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka aibu yani.

hakuna kitu kama hcho, fanya utafiti wako upya
 
hizi ndo topic ambzo mods wanaziacha. Ukiandka kitu cha msingi wanaedit edit wee waki0na haijawakalia sawa wanaifuta. Upuuzi mtupu. Miaka ya 2009-2012 kulikuwa na vitu vya msingi sana. Vitu vilivyonishawish kufungua account 2011. Ila nwdays pumba za form 6 ndo topic eti.
 
Ngoja nijitahid kumjibu, Wanawapenda kwa sababu ukiwa udsm unakuwa ushafika dar.
 
Toa data, wale wanaume wa vyuo vingine hawapendwi?
 
Huyu itakuwa kaiba akili ya mtu miaka ya 1990 na miaka ya 2000 mpaka 2009 mwanzo ukiwa handsome ndo unapendwa ila mabinti hawa waliovunja ungo 2010 na kuendelea sjui wanann aisee pesaa tuuu kwenda mbele
 
kama haisimami haisimami tu kubaliana na hali sio kujifariji eti kwakuwa unasoma udsm utapata utayemuwekea mkono tu kama anakiri ibani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…