I wanted to post the same thingndo akili za first year hizi, sishangai
siibiwi kweliCha nini tena hubby
siibiwi kweli
Watoto wa mjiniUnadhani ni nani mwenye ujasiri wa kukuibia wewe
Watoto wa mjini
sawa mpenziHawana hiyo jeuri niamini mimi
Unanikumbusha mwanamke mmoja aliekuwa hajui kuandika lakini aligraduate ud 2014, na sasa ni muajiriwa hapo, nilipofuatilia nikagundua ni channel nyingi zinapeleka watu vyuoni, kuna ndugu, marafiki na hata mama sa*ma na waathirika wake!
nimegundua wengi mnaonishambulia hamkubahatika kusoma mlimani,kwa hiyo kwenye hii thread ndo mmepata pa kutolea hasira zenu za kupakosa.
Hahahha nisaidie tu kucheka. Kwa hiyo sasa hivi inabidi kabla ya tongozo kidume kiweke cheti cha udsm mweeee
Teh kama hujasoma udsm hata usinichekee mpendwa[emoji13] [emoji13] [emoji13]hahahaha mbavu zangu mie
Hajui kuandika kivipi?
Mbona hata wewe comment yako inaonesha hujui kuandika? Kwa sababu hueleweki hata unachokimaanisha!
Wonders shall never end!