innocentmark
Member
- Aug 7, 2020
- 56
- 75
1. Makanisa mengi ni taasisi za kimataifa yanapata misaada toka njeHivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo v Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au maana anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
Kanisa gani linapata ruzuku aisee na Mimi nianzishe langu. Maana inaonekana serikali Ina fedha za kutosha yani1. Makanisa mengi ni taasisi za kimataifa yanapata misaada toka nje
2. Makanisa yanapata Ruzuku toka serikalini.
Taasisi za kiisilamu ambazo ni za Kimataifa kama Feza, Istiqama, Aga Khan, Bohra, DYCC etc huwezi kuta misikiti yao wanachangisha sadaka sababu ni Taasisi za Kimataifa zenye Uchumi mkubwa.
Taasisi ya Bakwata na inavyovisimamia kama Misikiti ya mtaani ndio unakuta Njaa nyingi. Kifupi Bakwata ni failure kwenye Usimamizi wa Mali za Waisilamu.
1. Makanisa mengi ni taasisi za kimataifa yanapata misaada toka nje
2. Makanisa yanapata Ruzuku toka serikalini.
Taasisi za kiisilamu ambazo ni za Kimataifa kama Feza, Istiqama, Aga Khan, Bohra, DYCC etc huwezi kuta misikiti yao wanachangisha sadaka sababu ni Taasisi za Kimataifa zenye Uchumi mkubwa.
Taasisi ya Bakwata na inavyovisimamia kama Misikiti ya mtaani ndio unakuta Njaa nyingi. Kifupi Bakwata ni failure kwenye Usimamizi kwahi
Kwanini1. Makanisa mengi ni taasisi za kimataifa yanapata misaada toka nje
2. Makanisa yanapata Ruzuku toka serikalini.
Taasisi za kiisilamu ambazo ni za Kimataifa kama Feza, Istiqama, Aga Khan, Bohra, DYCC etc huwezi kuta misikiti yao wanachangisha sadaka sababu ni Taasisi za Kimataifa zenye Uchumi mkubwa.
Taasisi ya Bakwata na inavyovisimamia kama Misikiti ya mtaani ndio unakuta Njaa nyingi. Kifupi Bakwata ni failure kwenye Usimamizi wa Mali za Waisilamu.
Hawakupa masharti ya fremu usiuze sigara ama pombe?Nikutumiaa tu fursa Ili kuongeza kipato Cha msikiti....
PesaHivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
aNgesema hospital za makanisa zinapata ruzuku ningemwelewaKanisa gani linapata ruzuku aisee na Mimi nianzishe langu. Maana inaonekana serikali Ina fedha za kutosha yani
Kwanini wakristo mnapenda kuteseka na mambo ya waislamu lkn?Hivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
Labda swali liwe, kwa nini wanajenga fremu eneo la msikiti?Ulitaka frem wafugie nguruwe au wafu gue bucha kitimoto?
So msikiti unaiga yanayofanywa na kanisa?Makanisa yana miliki nyumba za kulala wageni...
Makanisa wamejenga vyumba vya biashara kuzunguka kanisa...
Mnalipwa huko makanisani kuujadili na kuwajadili waislamHivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
Pale Msimbazi centre zile fremu sio biashara? Au ni msikiti ule? Na Kanisa Katoliki Magomeni zile fremu za nini kama sio biashara?Hivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
Makanisa wanapesa na wazungu ya kuendesheaHivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu?
Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
Kwako wewe parking siyo biashara?...Ndiyo mwisho wa upeo wao wa kufikiri. Hiyo biashara haihitaji kutumia akili zaidi ya kujenga tu fence au hata bila kujenga fence.
Kuanzisha hata maktaba inataka utumie akili za ziada kitu ambacho wengi wanaoanzalisha parking za kulaza magari hawataki kusumbua akili zao
Msimbazi centre pale kumejaaa frame mbonaaaMalapa, Mtaa wa Arusha, na Msimbazi Centre naona frame za makanisa.