FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa umbo la Dunia jinsi lilivyo, hapo uliposimama wewe, muelekeo wa kichwa chako ndio unapaita juu, na muelekeo wa miguu yako ndio unapaita chini. Lakini, kwa alie upande wa pili wa dunia, kule wewe unapopaita chini, kwake yeye ndio anapaita juu,na kule wewe unapopaita juu, yeye huko ndio muelekeo wa miguu yake hivyo anapaita chini. Kwahiyo in principle hapa ulimwenguni hakuna juu wala chini bali ni endless in all directions possible! sasa kama hakuna juu wala chini maana yake kauli ya 'Juu mbinguni' vilevile haipo, halikadhalika mbinguni kwenyewe.
DON FRANCIS
DON FRANCIS