Hivi ni kwanini ukimchekea chekea mwanamke kwenye biashara, anawaza kukufirisi tu?

Hivi ni kwanini ukimchekea chekea mwanamke kwenye biashara, anawaza kukufirisi tu?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
 
1729905284180.jpg
 
Wala wanawake hatuna shida ila kwa hiyo case yako wewe ndio una shida.
Unachukuaje mtu akapanulie panulie mapaja kwenye biashara yako? Yaani wewe unaona sehemu yako ya biashara upeleke kimada mshikane sikane huko halafu unasema wanawake wana shida?
Smh!
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
Cheka na nyani uvune mabua,
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
Swali.
Mgunda ana sh 10000 ,ghafla mwajuma anamchekea, Mgunda atabakiwa na sh ngapi?
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
Iko wazi,
wema usizidi uwezo, na
Penzi ni kitovu cha uzembe 🐒
 
Yaani unalalama na Fanta 3 na vikilo vya sukari.Usiyavulie nguo maji usiyoweza kuyakoga.
Ubahli na kupenda haviendani.Yaani unakwenda kuvua chambo ikiliwa unalalama?Huyo samaki utampata vipi?
Chukua sheria mkononi mapenzi hayakufai.
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
Jina lako tu linasadifu maisha yako
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
Mabinti mmekutana. Hakuna mwanaume rijali ataandika matrakoni. NASISITIZA HAMNA. WEWE EITHER BWABWA AU BINTI JINGA
 
African men are very weak

Wanaume mnaomlaumu sana mtoa mada na kutoa kauli za kishujaa kana kwamba nyie ni miamba sana msiodatishwa na wadada, humjakutana na pisi nyie, toto la 2006 hajazaa bado, kiuno nyigu, chuchu konzi saa sita, hips hadi kwa nyuma akivaa nguo ya kubana anakuwa na shepu kama ya love, tako lina shepu nzuri iliyochomoza unaweza weka kikombe juu ya tako na kikakaa, mguu wa bia, rangi moja mwili mzima, tena ya andazi/maji ya kunde

Kwa haraka haraka mwanaume rijali unaweza tamani kuhonga mshahara wote na mtaji.

Kuna binti mmoja huyo nlikutana nae mgahawani mida ya asubuhi, alikuwa mhudumu, nlikuwa na njaa ila nlivoona shepu yake kwa ukaribu zaidi njaa iliisha ghafla kap, nlihisi tumbo limeshiba, hata hamu ya chai sikuwa nayo tena DR HAYA LAND Extrovert Melki Wamatukio Tlaatlaah stephot Hannah Sappire
 
Wanaume mnaomlaumu sana mtoa mada na kutoa kauli za kishujaa kana kwamba nyie ni miamba sana msiodatishwa na wadada, humjakutana na pisi nyie, toto la 2006 hajazaa bado, kiuno nyigu, chuchu konzi saa sita, hips hadi kwa nyuma akivaa nguo ya kubana anakuwa na shepu kama ya love, tako lina shepu nzuri iliyochomoza unaweza weka kikombe juu ya tako na kikakaa, mguu wa bia, rangi moja mwili mzima, tena ya andazi/maji ya kunde

Kwa haraka haraka mwanaume rijali unaweza tamani kuhonga mshahara wote na mtaji.

Kuna binti mmoja huyo nlikutana nae mgahawani mida ya asubuhi, alikuwa mhudumu, nlikuwa na njaa ila nlivoona shepu yake kwa ukaribu zaidi njaa iliisha ghafla kap, nlihisi tumbo limeshiba, hata hamu ya chai sikuwa nayo tena DR HAYA LAND Extrovert Melki Wamatukio Tlaatlaah stephot Hannah Sappire
Ushambandua au bado?
 
Wala wanawake hatuna shida ila kwa hiyo case yako wewe ndio una shida.
Unachukuaje mtu akapanulie panulie mapaja kwenye biashara yako? Yaani wewe unaona sehemu yako ya biashara upeleke kimada mshikane sikane huko halafu unasema wanawake wana shida?
Smh!
Kuna kuzidiwa
 
Back
Top Bottom