Hivi ni kwanini ukimchekea chekea mwanamke kwenye biashara, anawaza kukufirisi tu?

Hivi ni kwanini ukimchekea chekea mwanamke kwenye biashara, anawaza kukufirisi tu?

Ushambandua au bado?
Nimbandue niringe, nliomba date ya kumpeleka mjini akale burger akaringa, nlipiga vocal akaniambia atanipa jibu baada ya siku 3, siku ya 5 nakuja kutana nae hana la kuongea, nkaona hapa hamna kitu, nkapata safari ya mbali, haikupita miezi 5 nkaja sikia kapewa ujauzito na mtu ambae looh nikijangalia mimi na huyo mwanaume bora mimi, sio mimi tu hadi vijana pale mtaani walishangaa imekuaje akamkubali huyo mhuni

Alipewa ujauzito na kijana flani mla mirungi, naskia huyo kijana ana mangeu usoni, nlishangaa sana.

Bora angepewa ujauzito hata na kijana wa maana, mademu wengine bana wana choices za ajabu sana linapokuja swala la mtu wa kuzaa nae, 😁 situation yangu ilikuwa ni sawa na demu amkatae Millard ayo halafu azae na hamorapa. Extrovert
 
Wanaume mnaomlaumu sana mtoa mada na kutoa kauli za kishujaa kana kwamba nyie ni miamba sana msiodatishwa na wadada, humjakutana na pisi nyie, toto la 2006 hajazaa bado, kiuno nyigu, chuchu konzi saa sita, hips hadi kwa nyuma akivaa nguo ya kubana anakuwa na shepu kama ya love, tako lina shepu nzuri iliyochomoza unaweza weka kikombe juu ya tako na kikakaa, mguu wa bia, rangi moja mwili mzima, tena ya andazi/maji ya kunde

Kwa haraka haraka mwanaume rijali unaweza tamani kuhonga mshahara wote na mtaji.

Kuna binti mmoja huyo nlikutana nae mgahawani mida ya asubuhi, alikuwa mhudumu, nlikuwa na njaa ila nlivoona shepu yake kwa ukaribu zaidi njaa iliisha ghafla kap, nlihisi tumbo limeshiba, hata hamu ya chai sikuwa nayo tena DR HAYA LAND Extrovert Melki Wamatukio Tlaatlaah stephot Hannah Sappire
Balqior kumbe ulimuangusha DR HAYA LAND kitambo sana leo kabora atoe la moyoni na thread yake ya weakness of our fellow niggas 🤣🤣🤣
 
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho

Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza wanafungua kijimgahawa pale. Nilikuwa mteja wa kawaida ambaye sikutaka hisia zangu ziwe wazi kwa muda ule, kutokana na tabasamu lake, anavyokarimia wateja, sauti yake, mtrako ule, dah! Nikashindwa kuvumilia kabisa. Kuna muda wakina baba walikuwa wanamvuta mvuta huku na kule baada ya kutengewa chakula, hali ile ilikuwa ikiniumiza sana

Mungu si Selemani! Siku ikafika, nikafumwa na binti nikiwa namtazama kwa matamanio makubwa sana mpaka binti akawa anajishtukia sana labda huendi sketi yake imetoboka matrakoniii niniii! Kwa kuwa tayari pembe la ng'ombe limefichuka, ikabidi niimbe nae tu

Siku ya pili baada ya mtongozo ule binti akanizoea kupita kiasi, kila route ni lazima apitie kwangu kusign. Mazoea yakamzidi ikafikia kipindi anakuja kushinda kwenye kiduka changu. Akazidisha kipimo, akaanza kuja kujipimia mahitaji yeye kama yeye, yaani ile mnapiga story, unageuka huku, ukirudisha shingo unakuta ana chupa la fanta anashushia, akiona unataka kumkaripia ama kukasirika anapanua mapaja! Ikafikia kipindi ukisema uende mariwatoni unakuta kapima kasukari, anapeleka kwenye chai ya wateja

Hivi wanawake wakoje ndugu zanguni? Mimi nikifirisika yeye atapata faida gani?
😆😆😆😆 Nawe uwe unamwagiza chakula mgahawani kwao halafu hulipi
 
Nimbandue niringe, nliomba date ya kumpeleka mjini akale burger akaringa, nlipiga vocal akaniambia atanipa jibu baada ya siku 3, siku ya 5 nakuja kutana nae hana la kuongea, nkaona hapa hamna kitu, nkapata safari ya mbali, haikupita miezi 5 nkaja sikia kapewa ujauzito na mtu ambae looh nikijangalia mimi na huyo mwanaume bora mimi, sio mimi tu hadi vijana pale mtaani walishangaa imekuaje akamkubali huyo mhuni

Alipewa ujauzito na kijana flani mla mirungi, naskia huyo kijana ana mangeu usoni, nlishangaa sana.

Bora angepewa ujauzito hata na kijana wa maana, mademu wengine bana wana choices za ajabu sana linapokuja swala la mtu wa kuzaa nae, 😁 situation yangu ilikuwa ni sawa na demu amkatae Millard ayo halafu azae na hamorapa. Extrovert
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wako loyal to their feelings sana, sometimes wanakuwa empathetic sana maybe alihisi anaweza akambadilisha mkali kwanza kuwa Juma Jux😁
 
Mwanamke hawezi Kukufilisi Mwanaume,,Labda wanawake ndio wanaweza Kukufilisi Mwanaume.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wako loyal to their feelings sana, sometimes wanakuwa empathetic sana maybe alihisi anaweza akambadilisha mkali kwanza kuwa Juma Jux😁
Hamna cha feelings bana, saa ingine nahisi ni ujinga binafsi wa demu, unajua mfano mimi demu akinikataa halafu akaenda mkubalia mtu kama jux mfano au kijana mwingine ambae yoko responsible, sitoshangaa ntasema ni haki ya huyo mdada sababu huyo mwanaume mfano jux kanizidi, status, muonekano, finance. Au kama ni kijana mwingine wa maana maana alie responsible ntawatakia kila la heri kwenye mahusiano Yao, coz beauty is in eyes of beholder

Sasa mtu ni pisi tena yuko kwenye prime years anaenda chukua mla mirungi au anaenda zaa na mme wa mtu, alooh..

Unaweza shangaa hao wanaume wa hovyo wanawadanganya hao wadada kuwa Wana Mali kiasi kadhaa, au wanawadanganya na swaga za kuwapa elf 20 au 30 sasa huo si ujinga binafsi 😁 Extrovert
 
Wanaume mnaomlaumu sana mtoa mada na kutoa kauli za kishujaa kana kwamba nyie ni miamba sana msiodatishwa na wadada, humjakutana na pisi nyie, toto la 2006 hajazaa bado, kiuno nyigu, chuchu konzi saa sita, hips hadi kwa nyuma akivaa nguo ya kubana anakuwa na shepu kama ya love, tako lina shepu nzuri iliyochomoza unaweza weka kikombe juu ya tako na kikakaa, mguu wa bia, rangi moja mwili mzima, tena ya andazi/maji ya kunde

Kwa haraka haraka mwanaume rijali unaweza tamani kuhonga mshahara wote na mtaji.

Kuna binti mmoja huyo nlikutana nae mgahawani mida ya asubuhi, alikuwa mhudumu, nlikuwa na njaa ila nlivoona shepu yake kwa ukaribu zaidi njaa iliisha ghafla kap, nlihisi tumbo limeshiba, hata hamu ya chai sikuwa nayo tena DR HAYA LAND Extrovert Melki Wamatukio Tlaatlaah stephot Hannah Sappire
Aiseee,ni kweli kuna mabinti ule wakat wa kubarehe linakuwa limenona ni hatari afu inatokea linakuzoea hatari lazima uwe kama umepigwa shot
 
Kuna mjinga mmoja kanizoea hvyo yaan hata akinikuta kwenye biashara yoyote analeta mazoea ya kijinga,ni mke wa mtu ila nataka nimpige tu pipe

yAan anajipangia bei na nikimkazia atakaa mlangoni hata nusu saa kunibembeleza tu nimzie anavyotaka
 
Yaani unalalama na Fanta 3 na vikilo vya sukari.Usiyavulie nguo maji usiyoweza kuyakoga.
Ubahli na kupenda haviendani.Yaani unakwenda kuvua chambo ikiliwa unalalama?Huyo samaki utampata vipi?
Chukua sheria mkononi mapenzi hayakufai.
Sawa Dully Sykes

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Nimbandue niringe, nliomba date ya kumpeleka mjini akale burger akaringa, nlipiga vocal akaniambia atanipa jibu baada ya siku 3, siku ya 5 nakuja kutana nae hana la kuongea, nkaona hapa hamna kitu, nkapata safari ya mbali, haikupita miezi 5 nkaja sikia kapewa ujauzito na mtu ambae looh nikijangalia mimi na huyo mwanaume bora mimi, sio mimi tu hadi vijana pale mtaani walishangaa imekuaje akamkubali huyo mhuni

Alipewa ujauzito na kijana flani mla mirungi, naskia huyo kijana ana mangeu usoni, nlishangaa sana.

Bora angepewa ujauzito hata na kijana wa maana, mademu wengine bana wana choices za ajabu sana linapokuja swala la mtu wa kuzaa nae, [emoji16] situation yangu ilikuwa ni sawa na demu amkatae Millard ayo halafu azae na hamorapa. Extrovert
Ahah mkuu we siulitaka umbandue tu, mweznio kapata wa kuzaa nae kabisa.

Afu hizo ngeu na mann sijui ni non hereditary materials

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Amekuja kwa kazi maalum. hakuachi mpaka akufilisi.
 
Ukimchekea anaona amepata upenyo wa kuingia kwako,kumbuka ukicheka na nyani utavuna mabua
 
Back
Top Bottom