Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Si kweli nyie ndo huanza kuyumbisha ndoa hasa mkishapata hela mnajiona majogoo mashenzi mnatesa wanawake wenu sasa zikiisha mnajifanya malaika kurudi mapema sasa na wanawake mda huo tunawanyoosha.

Hyo ya kwenda Kwa RC ni wanawake wamekuwa na ujasiri nyie sihuwa mnakimbilia kutekeleza watoto na kuwa street children na hamkomi wallah kujali, mngekuwa mnajali msingekimbia na kuacha wanenu wateseke. Hafu single father hawafiki laki moja maana huwa hamjali.

Hyo ya matajiri wakike ni hamna hata matajiri weusi nchi alikuwa mengi na mwingine kwahyo na wao unataka kusema na wao ni wanawake vile wako wachache.

Wanawake tunapambana kufika juu zaidi hata tukiwa na vipato lazima tutafte aliyevzuri maana vijana wasasa hampendi kazi ni kulelewa tu, yani vyote tufanye nyie mubaki tu
Basi hongereni na kila lenye heri kufanikisha hilo, lakini ngoja nikuulize yafuatayo.

Kama kweli nyie mko vizuri kiuchumi kuliko wanaume na mzidi kujiimarisha ni kwanini sana kwenye ndoa nyingi mwanaume akiyumba kiuchumi basi hata ndoa yenyewe inayumba?

-Ni kwanini aslimia kubwa ya wazazi waliotelekezewa watoto wanaopelekaga malalamiko kwa RC ni wanawake tu wakati hata wanaume pia wapo wanaotelekezewa watoto?

-Ni kwanini kuiangalia top ten ya matajiri bongo hapa hakuna mwanamke hata mmoja?
-Kwanini nyie mabinti hili uweze kunikubalia mimi niwe bwana yako lazima niwe nakuzidi kipato ilihali nyie sasa hivi ndio mnatuzidi vipato?

Je wewe unaona bado kuna discrimination gani iliyobaki wakati tayari target zenu za kuwa na uhuru hasa kiuchumi mmeshazifikia mpaka mnatuzidi na sisi wanaume?
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]hakika wanawake ni jeshi kubwa nilitaka nimkazanie hapo ila nikaona nimuache maana comment yangu ingekuwa ndefu lakini asante umenisaidia na hata mimi nasubiri jibu lake hapo
Kanipa jibu nikasome mwanzo nikitulia ntaenda nisome na ntaandika hicho kifungu kwenye reply yake ntakutag usijali

Pole kwa shughuli nzito hii mi nilivyo mvivu kutype ooooooh hiki kikombe sikiwezi aisee
 
Mimi heshima kwangu ni jambo la msingi mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, mzee, kijana mama n.k
Bado hujatoa maana ainishi zaidi ya kurudia kile ambacho kipo wazi na tulicho kizoea.


Sio kila siku kuona wanawake ni wahanga wa wanaume wapuuzi waliojihalalishia uonevu in the name of mila, sijui Mimi kichwa cha Nyumba wakati hata mbuzi ana kichwa vile vile
Maana naona bibie kama unalalamika bila kujenga hoja,ngoja nikusaidie kwa mtindo huu,hivi wewe unaijuaje haki yako ? Kwamba unatumia nini kuijua kwamba hii ni haki yako ?
 
Kanipa jibu nikasome mwanzo nikitulia ntaenda nisome na ntaandika hicho kifungu kwenye reply yake ntakutag usijali

Pole kwa shughuli nzito hii mi nilivyo mvivu kutype ooooooh hiki kikombe sikiwezi aisee
Huwa wanabishana Hadi usiku wa manane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si kweli kila mtu ni superior Kwa nafasi yake so kusema men ni superior unakosea hyo ni hasty generalization ya jambo, ni sawa na wewe mwanaume ni Ku judge kuhusu kubeba mimba nakuwa wrong, au kumhukumu samaki Kwa kushindwa kupanda mti itashangaza sana
I'm afraid you got me wrong again. I'm not sold on the notion that men are superior to women a teeny weeny more than you . However, I vehemently believe that men are more efficient in different aspects of life than women. You seem to have confounded efficiency with superiority.
 
Leo umewakalia sawasawa na cariha nae kuna mwingine nimemuona nimesahau ID yake mi kazi yangu kutembeza like tu na kusoma comment kwa comment
Yaani hata mimi leo ndiyo nimejua kuwa wanaume wanayajua maandiko kuna mmoja kila nikibishana naye kwenye nyuzi huwa namwambia aniletee maandiko kuthibitisha anachosema anakataa ila leo kayateremsha vizuri yaani kwenye maswala ya utawala ndiyo wanayajua maandiko ila kwenye maswala ya umalaya wanajifanya ni wapagani
 
Uzi unakimbia ni hatari,nilitamani niongee lakini roho inaniuma
Anyway siku ikitokea nikaoa mwanamke mwenye mrengo kama wa mleta mada nitaua! Mungu anisaidie uwa sipendi ujinga kabisa
 
Nami namalizia kwa kusema binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu na tumewekewa sheria za kufuata hatujaumbwa kwa mfano wa vitu wala wanyama
Naona uzi umejijadili wenyewe , naona sina cha kuchangia , namaliza kwa kusema "Funguo inayofungua milango yote ina thamani kubwa sana , inamilikiwa na wenye pesa nyingi, ila kufuli inayofunguliwa na kila funguo ni useless utaikuta jalalani"
 
Uzi unakimbia ni hatari,nilitamani niongee lakini roho inaniuma
Anyway siku ikitokea nikaoa mwanamke mwenye mrengo kama wa mleta mada nitaua! Mungu anisaidie uwa sipendi ujinga kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mi najua comment za mtu hulingana na experience alizopitia. inaonekana wewe umefanyiwa uchafu mwingi sana na wanaume. unaongea kwa uchungu sana. pole
Sio kwamba ana ile inayoitwa "exposure" mkipata mwanamke anaejua kupinga kwa hoja mnaanzaga kujifanya watabiri wa maisha yao ilhali hata sauti yake tu huijui,,, nyie mnatuoneaga tu sie waporipori kumbe, leo mmekuwa wadogo kama sisimizi
 
Back
Top Bottom