Sihami mada Niko palepale wewe achievement yako nini maana mabilionea wengi huwezi kukuta wanadharau wanawake ka nyie. Only wanaume wasio na mbele na nyuma hufanya wanawake punching bag zao za inferiority complex
Haina haja ya kutaja achievements zangu mm mchonga viazi masangati na mkaranga kuku basi.
Mimi sijadharau mwanamke lakini suala la ww kusema kuwa tuko sawa ni urongo mkubwa ahlan wa sahlan.
Hatuko sawa kabbisa.
Unachotakiwa kusema ni kwamba wanawake mkiwezeshwa mnaweza na huwenda mkaweza kumzidi mwanaume ktk nyanja flani ila sio kiujumla ila swala la sisi kuwa sawa na ninyi ni big false statement cariha.
Hata mm simdharau mama watoto kwasababu din yetu inasema kuwa mwanaume ni kiongozi wa mwanamke basi mm humuongoza na kumuonesha wapi akanyage wapi atizame na nn afanye.
Na kila mtu huheshimu nafasi ya mwenziwe.
Mwanamke ni mlezi bora wa watoto kwahiyo atawaangalia watoto kabla hajatoka ndiyo mengine yafuate.
Namimi kazi yangu kuhakikisha nakaanga chipsi na kuku ziuzike niilishe familia.
Ila suala la 50/50 ni false statement kwasababu kwa kiasi kikubwa wanawake hamuwezi kusimama bila usimamizi na uongozi wa mwanaume.
Hata ww boyfriend wako usikute ndiye akupaye mawazo ya mantiki kukuzidi ama kuliko ww utoavyo kwake.
Wala sijanyanyasa na kuwaweka wanawake inferior laa ghasaa mashmukh.
Bali ni ukweli kuwa wanawake hata mfanyaje mko chini yetu Cariha.
Umeshawahi kusikia wanaume wanaandamana kutokuridhishwa na wanawake ktk mgegedo?!!!
Ila wanawake wameandamana huko Kenya.
Umeshawahi skia wanaume wanaandamana hawapati wake wa kuoa ???
Ila jamaa kaleta habari tena ipo humu humu JF wanawake wanaandamana hawapati wa kuwaoa "hivyo husababisha wao kutoweza kujitimilizia mahitaji yao mengine ".
Kwa hii statement dada angu mpendwa mamdud,jayyidan jiddah,jamiilah Cariha tuko sawaa kweli ???!!!!
It means that in any ways u can't stand without us men.