Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Mimi kaka yako wa damu ?

Katika kazi kubwa ni kujadiliana na watoto wa kike,yaani huwa hamjui vitu na mkibanwa pia mtasema tunawaonea,yaani kulia lia.
Yaishe nawe hujui utani sio kaka yangu wa damu ni mume wa dada yangu hii nayo kataa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Sihami mada Niko palepale wewe achievement yako nini maana mabilionea wengi huwezi kukuta wanadharau wanawake ka nyie. Only wanaume wasio na mbele na nyuma hufanya wanawake punching bag zao za inferiority complex
Haina haja ya kutaja achievements zangu mm mchonga viazi masangati na mkaranga kuku basi.
Mimi sijadharau mwanamke lakini suala la ww kusema kuwa tuko sawa ni urongo mkubwa ahlan wa sahlan.
Hatuko sawa kabbisa.
Unachotakiwa kusema ni kwamba wanawake mkiwezeshwa mnaweza na huwenda mkaweza kumzidi mwanaume ktk nyanja flani ila sio kiujumla ila swala la sisi kuwa sawa na ninyi ni big false statement cariha.
Hata mm simdharau mama watoto kwasababu din yetu inasema kuwa mwanaume ni kiongozi wa mwanamke basi mm humuongoza na kumuonesha wapi akanyage wapi atizame na nn afanye.
Na kila mtu huheshimu nafasi ya mwenziwe.
Mwanamke ni mlezi bora wa watoto kwahiyo atawaangalia watoto kabla hajatoka ndiyo mengine yafuate.
Namimi kazi yangu kuhakikisha nakaanga chipsi na kuku ziuzike niilishe familia.
Ila suala la 50/50 ni false statement kwasababu kwa kiasi kikubwa wanawake hamuwezi kusimama bila usimamizi na uongozi wa mwanaume.
Hata ww boyfriend wako usikute ndiye akupaye mawazo ya mantiki kukuzidi ama kuliko ww utoavyo kwake.
Wala sijanyanyasa na kuwaweka wanawake inferior laa ghasaa mashmukh.
Bali ni ukweli kuwa wanawake hata mfanyaje mko chini yetu Cariha.
Umeshawahi kusikia wanaume wanaandamana kutokuridhishwa na wanawake ktk mgegedo?!!!
Ila wanawake wameandamana huko Kenya.
Umeshawahi skia wanaume wanaandamana hawapati wake wa kuoa ???
Ila jamaa kaleta habari tena ipo humu humu JF wanawake wanaandamana hawapati wa kuwaoa "hivyo husababisha wao kutoweza kujitimilizia mahitaji yao mengine ".
Kwa hii statement dada angu mpendwa mamdud,jayyidan jiddah,jamiilah Cariha tuko sawaa kweli ???!!!!
It means that in any ways u can't stand without us men.
 
Eti dr mwaka bingwa huyo.mwenye division four had alifungiwa hafu point of correction sio kijimwanamke ni mwanamke, kumbe na argue na mwanaume zero IQ full of prejudices aisee. Wewe hata ctaki kukujibu umefungiwa Kwa box koma kabisa eti kijimwanamke
 
Eti dr mwaka bingwa huyo.mwenye division four had alifungiwa hafu point of correction sio kijimwanamke ni mwanamke, kumbe na argue na mwanaume zero IQ full of prejudices aisee. Wewe hata ctaki kukujibu umefungiwa Kwa box koma kabisa eti kijimwanamke
Nimepima uelewa wako nikagundua tu huko myopic dada angu.
Mtu mwenye uelewa na alo na busara na upeo mkubwa hurekebisha na kukosoa sio kutoa mipasho.
Ebu mwangalia Marianah anavyokosoa kwa hoja na kurekebisha kwa hoja.
Wewe unakuja na mipasho tena!!!!!!!????
KWAHERI MM MENYEWE SIWAWEZ WATU WA MIPASHO.
Dada saint anne hiv ndivyo mnavyotakaga kujitetea kwa mipasho badala ya hoja??!!
Kwa mtindo huu mtafika mbali kweli??
 
Wewe unakwepa hoja ya misingi Kwa Ku stick eti najuaje haki yangu mbona shakueleza tangu mwanzo a to z.
Mimi huwa ni mwepesi sana wakuelewa,lazima nijikite kwenye mzizi wa hoja yako,kama hujui haki ni nini huwezi kuitetea na kupatia na kuijua haki yako,ndio maana unatapa tapa na kukosa pa kushika ,hujaonyesha unajuaje haki zaidi ya kudai na kutoa kauli mbiu.

Natilia mkazo tu,hakuna jengo bila ya msingi,kwahiyo kwenye msingi lazima nijikite hapo,sababu hapo ndipo kila kitu hutokea.

Ulichokifanya wewe ni kulalama na kukataa ukweli kwa kusema wewe hufati watu wanavyotaka na mfano wa hayo. Kama unajua wewe una mapungufu usingesema hayo unayoyasema na unaonekana hujui kitu.
 
Kwa taarifa tu huko ulipo wewe na huyo bwana yako mimi nilishapita miaka 15 iliyopita, kuniona hivi nilivyo haijatokea tu ghafla ghafla.

Kabla sijawa hivi nilivyo niliwahi kuwa aina ya mwanaume ambaye jamii hii ya leo(watu wake wana mitazamo kama yako)inamtaka, nikangudua mapungufu makubwa yaliyopo kwenye hiyo version ya mwanaume kisha nikaamua kutoka haraka sana na kurudi kwenye uanaume asilia.

Kwa jinsi nilivyokuona tu hapa tangu umeanza kuchangia mada, mwanaume mwenye maturity kwako ni lazima akubali kumezwa na mfumo wa maisha unaoupigia debe(mfumo jike), mfumo ambao upo kwa ajili ya kufuata matakwa ya mwanamke kwanza kisha mwanaume baadae na mwanaume ambaye ni muhusudu wanawake (pussy worshipper au woman wrapper).

Wanaume ambao wanaojiona wako modernized mimi huwa nna washusha sana, maana wengi wao wameshapoteza uasili wao bila kujua na wamekuwa programmed kuwafurahisha watu kama Cariha.

Uzuri sio kila mwanamke anapenda kuishi kwenye huo mfumo wenu wa kisasa ambao waasisi wake wana ajenda nzito ya siri ambayo wengi hamuijui. Mwanamke wangu ni muhafidhina kama nilivyo bwana yake na ninathubutu kusema she's way smarter than you.
 
Mana unanichanganyia tu madesa hapa kurukia kila jambo Mara uzalilishaji Mara sina dini stick Kwa hoja yako please
Ona unavyopteza kumbukumbu,umesahau kwamba wewe ndio ulikuwa unalalama ya kuwa nimekimbilia kwenye dini ili kujilinda au kujihami ?

Naona umesahau kama wewe ndio ulianza kuingiza mambo ya dini,nikuonyeshe ?

Hapa sasa ndio nakuonyesha kwanini tunapaswa kurudi kwenye asili ambayo ni dini,asili ambayo kila kitu imekiweka mahala pake,sasa nyinyi mnao hisi kuonewa na kudai uhuru maegemeo yenu ni wapi ? Sasa bibie kama hujui haki inafahimika kwa lipi,huoni unapigania jambo ambalo hulijui ?

Au huko kwenye vikao vyenu huwa mnaambiwa mzungumze tu hata kwa jambo ambalo hulijui ?

Acheni kutumia akili vibaya,mmepewa bure mnazitumid ipasavyo.
 
Aliyekwambia anatafuta kuhurumiwa Ni Nani!??
Tunawafahamu nyie kina Lizarazu ..
Mkiishiwa hoja mnamuattack mtu mwenyewe Sasa...
Kama hapo mlianza kumuongelea ooh Mara anapost Instagram oh Mara Nini ..Mambo ambayo yapo nje ya mada kabisa.
Hata wewe mwenyewe hujaelewa kama yeye ambavyo yeye hajanielewa.

Usikwazike Lakin.

Naelewa ni kwanini hujanielewa.

Cheers Anne! [emoji106]
 
Nani alikwambia kwamba IQ ni kipimo cha kumjua mtu mwenye akili ?

IQ na mtu mwenye akili,ni vitu viwili tofauti,mtu mwenye akili hapimwi kwa kuulizwa maswali na kwa kutumia taratibu za kijinga,mtu mwenye akili anapimwa au tunamjua kwa :

1. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya akili yake.
2. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya mwili wake.
3. Kujizuia na yale yote yenye kuharibu mali yake.
4. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru au kuharibu nasaba/kizazi chake.

Kinyume na hapo wewe huna akili,hata kama ukiwa na IQ zote,wewe kama una IQ kubwa halafu ni mlevi wewe huna akili,wewe ukiwa na IQ kubwa unavuta sigara wewe huna akili,ukiwa una IQ kubwa halafu unaenda kinyume na Dini inavyotaka wewe huna akili.
 
Hata wewe mwenyewe hujaelewa kama yeye ambavyo yeye hajanielewa.

Usikwazike Lakin.

Naelewa ni kwanini hujanielewa.

Cheers Anne! [emoji106]
Sijaelewa Nini hapo!?
Naona siku hizi upo ubongoni mwangu Hadi unajua Nini sijaelewa na kwanini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…