Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Akhsante
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu Zurri kashaona watu wanamsikiliza kwa kila kitu anaamua sasa aanze kuwa anawapiga nyundo!!
Umeona eeeh!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisinichanganyie kiarabu chake huyu.
Mimi naijua hiyo hiyo usiku wa manane.
Ina Maana Hadi wale AIC chang'ombe walioimba usiku wa manane wakaipa jina la album hakuna aliyekuwa anajua kiswahili!?
 
Udhibitisho ulioutoa ni ule wa kwenye kitabu cha Mwanzo "Mungu akasema, na tumuumbe....." Na nilikuambia Mungu alikuwa anajadiliana na nafsi zake ambazo ni Yesu na Roho mtakatifu.
Ulitoa udhibitisho mwingine upi?
 
[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Tupo wired tofauti. Tuna roles tofauti kulingana na nature. Tuna roles tofauti kulingana na dini, mila na desturi zetu.

There is one rule about life; don't fuuck with motherfuckker nature.
 
Yani since I started arguing with you sijaona jipya unapick minor words, ambayo haina mashiko kabisa
Bibi lengo langu sio wewe uone jipya bali lengo ni kukuonyesha wewe na wenzako ujinga wenu umelala wapi,kwahiyo ni juu yako kuchukua au kuniachia.

Jambo ambalo hulijui ni kuwa hakuna jipya hapa na haya mambo zaidi ya kuwakumbusha tu mrudi katika asili,na kurudi katika asili ni jambo rahisi sana.
 
Huyu zurri tangu ajue baadhi ya maneno ya kiswahili yalitoholewa kwenye kiarabu basi anaona kisa kasoma madrasa ndio ana master's degree in Swahili.
 
Ndio maana mnakuwa wajinga na kuonekana vituko,unaambiwa ukweli unaukataa kwa ujinga wako na kujitutumua,na hivi ndivyo mlivyo kwa kila jambo,yaani hamjui jambo na mnakosea mnaambiwa ukweli mnakataa.
Tatizo wanaume mnajiona mko sahihi kwa kila kitu kwahiyo chochote mtakachokisema tukikataa mnasema hatutaki kukubali ukweli
 
Usishindane na mwanaume, utapoteza muda wa kufanya mambo yako.
 
Unaamini katika utatu mtakatifu?
Kwenye biblia huo ndio uliotumika kila penye wingi wa Mungu.
Hebu nipe notes za kiarabu nisome hapo "sisi" inapomaaanisha ni umoja.

Siamini katika Utatu sababu ni USHIRIKINA,nakuuliza swali huu utatu mtakatifu nani wa kwanza kuuzungumza na kuufundisha ?
 
Oohh jana ndiyo nimemjua kwa mara ya kwanza na ninadiriki kusema yuko vizuri kwa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Basi hujawahi kumbahatisha..ana michango iliyosimama humu.
 
Tatizo wanaume mnajiona mko sahihi kwa kila kitu kwahiyo chochote mtakachokisema tukikataa mnasema hatutaki kukubali ukweli

Sio kweli sisi ni bindamu na tunakosea pia hilo halina ubishi na hakuna atakae kataa hili isipokuwa yeye ni mjinga.

Wanawake wengi wao wamekaririshwa kuwa wanaonewa kwa kila jambo,basi wao maisha yao yote wanakuwa na kuwaza kushindana na sisi.
 
Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…