cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Huna hoja hapa kujadeal ka kitu ka previous post ni wastage of time
Ulitoa maana nzuri kiasi ya kufikiri nje ya box,lakini nikakupa mfano uonyeshe namna ya kufikiri nje ya box,ukashindwa nikahitimisha ya kuwa unafahamu maana tu ila uhalisia hauko nao.
Huwa tunasema hivi "Ukitaka kuruka hakikisha umeagana na nyonga" na husemwa hivi "Tengeneza kiti chako kwanza kisha ndio ukipambe"
Nipo .....