Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Nilimuona tangu mwanzo. Sijui kwanini inakuwa ngumu kwao kufanya majadiliano bila kuingiza hisia. Anatakiwa ajifunze kwa marianah jinsi ya kufanya majadiliano bila ya kuingiza ad hominem attacks...
Yani msinipangie maisha Mimi ni cariha kichambo mtakula sana I won't change mbona sijawapangia eti nijifunze Kwa nani loh
 
Hahahaha mimi nimeshasema hata muongee nini siachi kusema ukweli hata siku moja maana sijui umejihisi ni nani yaani kuongea hivyo yaani umeongea utafikiri labda una impact yoyote kwenye maisha yangu duuh
Yan Huyu mwanamama anazidi ku prove yeye ni mdhaifu sana... Akili yake imejaa negative things.... Afu Anataka kuji compare na wenye mamlaka
 
Ki uhalisia mkubali lawama kwamaana nyie ndo mna tulea.
Wamama wakiwaona binti zao wakiachia paja wazi ilikua ni vifinyo kwa sasa ndo kwanzaa hata chupi hamvai tutakaa sawa kweli?
Kwa hiyo kama sisi tunawaletea na haiwafurahishi kwa nini mnanunua?
Wanaume hamjaacha tuu kujitetea kwa kumsingizia mwanamke.

Kule bustanini adamu kapewa tunda na akalila (alikuwa na uwezo wa kulikataa) alipoulizwa kwanini kala na wakati waliambiwa wasile, utetezi wake ulikuwa "ni huyu mwanamke kaniletea".
.
Ni sawa na utetezi wenu eti ni kwa sababu sisi tunawaletea na nyie mnaamua kununua.
Lakini jiulize kule bustani ya Eden Mungu alitoa adhabu kwa Eva tuu kwa sababu yeye ndio alipeleka tunda au alitoa adhabu kwa wrote? Hiyo inamaanisha mpelela tunda na mla tunda wote walitenda dhambi.
.
Sasa nyie nunueni wanaojiuza halafu uone hao ndio wana dhambi nyie hamna.
 
Mwanaume hujiamini loh kutwa kuponda wanawake yakikushinda unakimbilia kusifia loh I'd.iot
@SAINTANNE I am fvcking sick and tired of your incessant biased diplomatic game. Hope you read this comment below .. You better stay on the sidelines from now.
 
Yani huu mjadala umebaki Ku mention sijui non creature hahaaa Mara Niko confused eeeh umgestick kwenye mjadala achana na hizo defend mechanism Mara nachaganya uko weak sana, calling different names won't change what I'm thinking towards what I believe loh
Saying something is nonsense without even confuting how that nonsense is nonsense, it just makes you to look nonsensical creature.

Hivi kuna hoja gani kwanza ya maana uliyoitoa hapa wewe tangu umeanza kuchangia huu uzi?
 
Tupo wired tofauti. Tuna roles tofauti kulingana na nature. Tuna roles tofauti kulingana na dini, mila na desturi zetu.

There is one rule about life; don't fuuck with motherfuckker nature.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Inferiority complex inakusumbua pia hujiamini wanaume walio vizuri kiuchumi na kila sector hawako bitter na wanawake wewe ni dhaifu tu, eti hamna mwanamke mjanja ndo waliokuumiza moyo wameua spirit yako kabisa
Kutokujiamini..... Kitokujiamini.... Kutokujiamini... Blah blah blah!! Another line please this one is getting boring!!

Hakuna mwanamke mjanja mbele yangu hasa kwa nyie wa zama hizi mnaojiona sijui mmeelimika na mnazitambua haki zenu.

Wengi wenu mimi nawaona ni wajinga sana na vithibitisho vipo ukitaka nakupa kwanini nawaita nyie wanawake wa millennials ni wajinga na elimu zenu ndio zimezidi kuwatia ujinga.

Huyo jamaa yako tayari umesha mmanipulate basi kwa akili yako unatamani kila mwanaume awe manipulated kama yeye.
 
Sasa wewe Mwanamke utatetea nini wakati hii dunia uliletwa kwa dharura.

Wanawake hamna haki ya kuongea lolote kwenye huu ulimwengu. Labda mtake kupoteza muda wenu tuu.

Mnachoweza kufanya ni kuharibu wala sio kujenga.

Unachoongea kina usahihi lakini kimesemwa na mtu asiyesahihi.

Kawaambie Wanawake wenzako huko au.watoto ndio watakuelewa. Tena hata wanawake wenzako watakudharau kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenzao. Huna utakalo waambia. Nyie wote ni watumwa wa mwanaume.

Bado hujui ni kwa sababu gani hata nyie wanawake wenyewe kwa wenyewe mnadharauliana.
Mbona unaleta nadharia kwenye uhalisia?? Halafu aliyekwambia mwanamke ni mtumwa kwa mwanaume ni nani?? Kwani kuwa mtawaliwa maana yake ndiyo kuwa mtumwa hivi unajua maana ya utumwa?? Ni hivi mwanamke siyo mtumwa kwa mwanaume ila mtu mweusi ndiyo mtumwa kwa mtu mweupe!!

Na mimi bado ninashikilia pale pale kuwa hata wanaume hiyo kazi ya kutubadilisha imeshindikana kwahiyo hata ninyi acheni kupoteza muda kuongelea maovu ya wanawake tena mimi naona wanaume ndiyo kwa kiasi kikubwa wanabadilika na kuanza kuishi kwenye dunia ya sasa kuliko wanawake tunavyobadilika kurudi kwenye dunia ya zamani kwahiyo mnaweza mkaona wenyewe ni kwa namna gani hayo mnayoyaongea yanazidi kuwa nadharia tu na siyo uhalisia
 
Wewe ulivoanza mambo ya bleed ndio ilionyesha ujinga wako dume zima unafikiri mambo ya bleed, unaita mwanaume mwenzako half man, ulishawahi kumpa ukaona, choose ur battle wisely otherwise you will suffer consequences neno moja unalilia
Cariha anajinasibu kuwa amestaharabika wakati hana ustaharabu wowote, amejawa na mihemko tu na mdomo mchafu
 
Madhara yanayoweza kutokea anaweza kuwa na akili za kitoto na kuchekacheka kama shoga.
Na inamchukua muda gani hadi yeye kupata hayo madhara??

Na je mwanaume akiwa na mwanamke mmoja anapata madhara gani??
 
Hii siijui ni vyema ukanijuza.
Halafu hatukumalizana kwenye ile "sisi".
Ile sisi iliisha kuanzia katika matumizi ya lugha mpaka kwenye ku "reconcile" maandiko yanakupa jibu moja la kuwa pale kujitukuza kwa Mola na kuonyesha hadhi yake na mwanadamu akawa ameumbwa katika umbile bora la kwake mwenyewe kwa dhati yake.
 
Wewe ndo childish acha Ku attack jibu hoja hafu kutumiq maneno magumu ya English ni ushamba flani wengine tulitumia kwenye debate form one ili tuonekane vipanga
And you will still brag kuwa "una jielewa" with all these childish tantrums display?
 
Back
Top Bottom