Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahahaha unakwepa hoja mkuu

Hoja ni ipi hapo.

Wewe unasema Ati huyo Suleiman Aliua. Unashindwa kuelewa majukumu ya Mfalme mpaka unaongea kama mtoto. Nami nikakujibu kuwa hakuna mfalme ambaye hajawahi ua. Labda wewe unitajie unayemjua.

Kuhusu Historia au Vitabu vya dini naomba usiguse kwa maana unaonekana huna ujualo.
 
Hii id imekaa kwa Ku attack attack....bring back former ID na former Avatar....

OP: please hata kama unaonekana kupingana na watu wengi isikuingie akilini kuwa uko negative mpaka ukaanza kutengeneza mitazamo hasi watu wa Ku imagine kuwa uko hivi ktk maisha ya kawaida. Usiadili id ili ujenge negativity ktk mental picture za watu...One Love
Yan Huyu mwanamama anazidi ku prove yeye ni mdhaifu sana... Akili yake imejaa negative things.... Afu Anataka kuji compare na wenye mamlaka
 
Hehehehe naona hauna majibu umebaki unapuyanga tu yaani unaonekana kanisa ukweli unaujua ila hautaki kuukubali huo uovu ninaouongelea ni ule ulioainishwa kwenye vitabu vitakatifu hivyo nikisema uovu nadhani naeleweka halafu kuhusu swala la kukemea maovu kwenye jamii yaani hilo hata msiongee maana hapo wote wanaume na wanawake tumeshindwa kudhibiti maovu ya kila jinsia

Kwahiyo wote tukae kimya tu na ndicho nilichosema kwenye uzi kwamba wanaume muache kushupalia maovu yetu kama wanawake tulivyoacha kushupalia maovu yenu maana hata mkiyashupalia haisaidii kitu na haibadilishi ukweli kwamba mnapiga kelele tu kwahiyo ambia wanaume wenzio pamoja na wewe acheni kubadilisha vitu msivyoweza kubadilisha

Sasa wewe Mwanamke utatetea nini wakati hii dunia uliletwa kwa dharura.

Wanawake hamna haki ya kuongea lolote kwenye huu ulimwengu. Labda mtake kupoteza muda wenu tuu.

Mnachoweza kufanya ni kuharibu wala sio kujenga.

Unachoongea kina usahihi lakini kimesemwa na mtu asiyesahihi.

Kawaambie Wanawake wenzako huko au.watoto ndio watakuelewa. Tena hata wanawake wenzako watakudharau kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenzao. Huna utakalo waambia. Nyie wote ni watumwa wa mwanaume.

Bado hujui ni kwa sababu gani hata nyie wanawake wenyewe kwa wenyewe mnadharauliana.
 
Shaur yenu mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenu

Endelea kufanya uhanarakati wa usawa
Mtanyooka tuu

Mwanaume Sio Sawa na mwanamke
Mwenyewe Niko Denmark kwa Mtogole tuwasiliane aiseee
 
Huyu anataka kulinganisha bahari na ziwa [emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]
 
Mimi nimeshaolewa na mume wangu siyo sex maniac na hata yeye huwa ananiambia kuwa asinidanganye mtu dunia hii hakuna mwanaume asiyeweza kujizuia kufanya ngono KILA MWANAUME ana uwezo wa kujizuia kufanya ngono ila tu wanaume wanatumia tamaa zao kujiendekeza halafu wanatumia kama visingizio na labda wewe unaweza kunijibu mwanaume akikaa muda mrefu bila kufanya ngono anapata madhara gani makubwa?? Yaani yale madhara kama kuumwa au kufa ambayo mtu anaweza kuyapata asipokosa vitu kama chakula huwa mnayapata??
Madhara yanayoweza kutokea anaweza kuwa na akili za kitoto na kuchekacheka kama shoga.
 
Ndiyo maana nakwambia siku mkifanikiwa kuwarekebisha mtuambie
Tunawarekebisha mabinti wadogo, samaki mkunje angali mbichi. Mimi naanzaje kukurekebisha wewe uliyefikia umri wa kufunzwa na ulimwengu?
 
Yeah wakati naandika hiyo comment nilikuwa sijaiona hiyo comment yako ya social constructs ndiyo ni kweli jamii ndiyo imeshakuwa hivyo na imeshajua kwamba inakosea sasa tena kwanini wanatafuta sababu za kuendelea kulinda na kutetea hayo makosa??
tatizo lako unasoma comments juu juu bila kutaka kuelewa. hizo treatments zimekua injected kwa wanaume kutokana na mafundisho ya kijamii. ndo mana mkurya atapiga mwanamke akihisi ndio njia sahihi ya kumnyoosha, na mwanamke wa kikurya ameshaaccept hio kitu. tunarudi kule kule kwenye social constructs.
 
Social constructionism is a theory of knowledge in sociology and communication theory that examines the development of jointly constructed understandings of the world that form the basis for shared assumptions about reality.

Mifano ya social constructs (mambo tuliyojijengea na kukubali kama social standards katika jamii)

1. mwanamke akiwa na wanaume wengi anaitwa malaya, mwanaume anaitwa kidume, na unakuta hata mamaake anafurahia moyoni. na sometimes unakuta mama mzazi anawaambia rafiki zake "huyu akikua atakuja kuwasumbua wadada, kisha wanacheka"

2. binti haruhusiwi kukaa nje kadi usiku, mtoto wa kiume anaweza kukaa hadi saa tano usiku, akarudi nyumbani bila kufanywa kitu chochote.

3. mtoto wa kiume anajengewa chumba chake cha nje, mtoto wa kike lazima akae kwenye main house

4. mtoto wa kike akipata mimba ataadhibiwa na anaweza akafukuzwa kabisa nyumbani, mtoto wa kiume akimtia binti mimba hawezi kufukuzwa nyumbani

hata wewe ukizaa mtoto wa kiume utaziendeleza hizi standards. amini usiamini. usipoziexpress wewe, ulimwengu utamfundisha how things run in the world.

kumbuka, sihalalishi uovu wowote, naelezea tu source ya haya yote.
Umeongea vizuri sana.
Ila Hiyo point ya kwanza (1) ...Kama Kuna mzazi anafurahia mwanae wa kiume kuwa na wanawake wengi Basi Ni mzazi wa hovyo kupata kutokea.
 
Hahahaha atakayedhani kuwa niko hivi kwenye maisha halisi eti kwa sababu ya id au avatar na nyuzi zangu au maoni yangu humu JF basi anahitaji msaada wa kisaikolojia
Hii id imekaa kwa Ku attack attack....bring back former ID na former Avatar....

OP: please hata kama unaonekana kupingana na watu wengi isikuingie akilini kuwa uko negative mpaka ukaanza kutengeneza mitazamo hasi watu wa Ku imagine kuwa uko hivi ktk maisha ya kawaida. Usiadili id ili ujenge negativity ktk mental picture za watu...One Love
 
Nilichotaka kukuonesha ni kwamba huo mfano ni irrelevant ila kwamba kampuni itayumba au haitayumba mimi hayo sijui na pia wala sijasema kwamba eti kwa sababu kuna kampuni zenye CEO wawili au zaidi basi na kwenye ndoa iwe hivyo hivyo hapana mimi sijapinga hoja yako ila nilitaka nikurekebishe hapo kwenye mfano tu kwamba ulitakiwa utafute mfano mwingine ili kuitetea hoja yako
Hivi unajua challenges zinazopata hizo kampuni zenye 2 CEOs? kukiwa na conflicts ambazo two CEOs can not agree on something huwa kunahitajika mtu atakaetoa final say.

sasa huyo CEO mwenye uwezo wa kutoa final say ili conflict iishe ndo Dominant CEO, na ndo mana nasema CEO atabaki kuwa mmoja tu, fanya delegation ufanyavyo ila there will always be someone who has a final say. na ndo hivyo hivyo kwenye familia
 
Kwani Nyenyere kaingia lini??
Tofauti Yao hawa.
Lizarazu huwa anabisha kwa facts...ila yule jamaa aisee...sometimes anabisha tu kwa kulazimishia mambo[emoji23][emoji23][emoji23].
Mnafiia mwisho Mara anarudi katikati Mara anaenda mwanzo mnaanza upya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom