Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Majukumu ya mwanaume ni pamoja na kukutawala. Na wewe jukumu lako ni kutawaliwa.

Hayo ya mwanaume kufanya uovu sio wajibu wako wewe mtumwa kuuliza habari za Bwana wako.
Hata ninyi wanaume siyo jukumu lenu kushupalia maovu yetu wanawake na kama lingekuwa ni jukumu lenu basi mngeshafanikiwa halafu aliyekwambia mimi ni mtumwa kwa mume wangu ni nani??

Unadhani kila mwanaume hajielewi kama wewe labda kama mke wako ndiyo mtumwa kwako na ninampa pole sana maana kapata galasa haswa japo hapa utajifanya kusema eti anayafurahia hayo maisha lakini wapi!!
 
[emoji23][emoji23]mmhh Saint anne mbona sijawahi kuambiwa haya yote directly mimi jamani?? Kweli ujio wa huyu dada ume unleash mambo mengi yaliyojificha!![emoji1787][emoji1787]
Hahahaha..
Hawezi akakwambia...Maana huwa mpo kwenye mabishano siku zote.
Siku nzuri ya kukuambia haya ilikuwa siku ile tunapiga story na yule shimba ya buyenze..
Kwa Mara ya kwanza ukawa unapiga story na Lizarazu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23]hako nako sijui hakajielewi

[emoji1787][emoji1787]kwanini aisee
Sijui ana matatizo gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu naye unakuta anajitutumua kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji14]
Na asili zake za maneno...ameshikilia Hadi Basi.
 
Asante sana huu ni mwanzo mzuri tu wa lengo langu kutimia nimebadili id makusudi sababu naona ile nyingine lile jina lilivyo zuri plus ile avatar watu walianza kutengeneza imaginations zao wenyewe kwamba mimi ni mzuri kama Ariana Grande wakati mimi ni mbaya kama Ogre

Nikaona sasa huku wanakoelekea siko ngoja nitafute id inayotisha halafu avatar nisiweke picha ya mdada mzuri ili wafute hizo imaginations sasa na wewe ulivyosema kwamba id hii ya sasa ni mbaya nimefurahi maana sasa hatimaye nitaacha kuattract watu for nothing!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya Nani akili zako unazijua mwenyewe.
 
Umeongea vizuri sana.
Ila Hiyo point ya kwanza (1) ...Kama Kuna mzazi anafurahia mwanae wa kiume kuwa na wanawake wengi Basi Ni mzazi wa hovyo kupata kutokea.
wapo. mtoto wa kiume atapewa condoms, mtoto wa kike atafungiwa ndani.
 
Ndiyo kwenye maovu wote sawa tu na hata maandiko ndivyo yanavyosema na hata huko mashuleni pia kuwa prefect siyo ticket ya kufanya makosa na kutarajia asikosolewe
Kwani kasema tusikosolewe? Ila nyie mnataka 50/50 ambayo haipo.
50/50 tupeane huku kazini, kumiliki mali, et al sio huku mitaani tunakojenga familia. Huku hakuna 50/50 vote.
 
una uhakika gani maovu ya wanawake yakiongelewa haisaidii?
Hakuna mabadiliko yoyote ukilinganisha na nguvu mnazotumia tena zaidi mimi naona wanaume ndiyo wanabadilika kwa kiasi kikubwa sana dunia ya sasa wanaume wengi wanatoka kwenye unyanyasaji wanaenda kwenye uongozi wa haki ila kwa upande wa wanawake naona spidi ya kwenda mbele ndiyo inazidi kuwa kubwa

Wala haturudi nyuma eti kuwa kama mabibi zetu na wala hatutakaa turudi yaani tena ndiyo kwanza utafikiri tumefungiwa turbo nyuma vile hata mseme nini ila mind you nafasi ya mwanaume itabaki pale pale kuwa mtawala na nafasi ya mwanamke itabaki pale pale kuwa mtawaliwa ila hayo mengine hatuna budi kuyaacha tu kwa kweli hii dunia sasa imeshatoka huko tutake tusitake
 
Kwanini nyinyi msiungane kupinga kuuza. Sisi tunanunua kwa sababu zipo zinauzwa.
Sasa muuzaji na mnunuaji wote ni mala.ya.
Sasa kwanini mnakuwa mnasema vibaya wanaouza na wakati nyie ni loyal customers?
Ni sawa iwe muuza pombe ndio asemwe vibaya na wewe unaonunua pombe unalewa hadi unaanguka kwa mitaro uonekane mjanja.
 
Umeumizwa na kitendo cha mimi kubadili id na avatar yangu??
Unazidi kuonyesha upumbavu wako yani hujiamini, na unajihisi hisi et umebadili I.D ili Tufute imagination... We kwel umejawa ujinga mwingi.. Unatafuta namna ya kuonyesha uwepo wako Kupitia upumbavu wako.
..
 
Sio "Usiku wa manane" sahihi ni "Usiku wa Manaani"
Ni "Maanani" chief.
Ohoo..kumbe hata yeye amekosea[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hebu mchukue Kaka yako huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaqaa acha kujificha kwenye chaka la argument za cute na Marian maana umeshindwa mjadala sasa unaji defend ulivo tahira hujui kila mtu ni unique Kwa njia zake mwenyewe eti wana ni shinda Jf ni platform huru ya mawazo na sio mashindano, grow up Niko vzuri sana hapo kimoyoni una admit stupid boy like you wenye self esteem lazima wanyooshwe. Jiamini mwanaume Leo umekubali kusifia wanawake eeeh umekuwa affected na jamii yako uncivilized towards women's.

Ulianza matusi yako ya reja reja na Mimi nikakupa taste ya dawa chungu ya mseto nasema tu if my man ni half man ka ulivokimbiliq mpe hilo takroooo lako uone.

Siku nyingine yakikushinda uache matusi reja reja sawa.
Hao wawili niliowataja wanakuzidi mbali sana kiupeo.

Hata jinsi wanavyo shiriki mijadala tu hawako kama wewe. Akili zao zimetulia sana

Hawako too sensitive and emotional kama wewe.

Hawana argumentation chains mbovu mbovu kama ulivyo wewe ambaye karibia kila hoja unarudia maneno yale yale tu na huku ukijibu kwa mkato mkato hata pale unapotakiwa kutoa ufafanuzi wa kina.

Hawana kawaida ya kutoa majibu yaliyo njee ya mantiki, tofauti na wewe ambaye karibia kila jibu unalotoa linakuwa out of context ya kile ulichoulizwa.

Wanajua kujenga hoja na kuitetea tofauti na wewe ambaye haujui hata kuitetea hoja yako mwenyewe, unatoa hoja kisha baadae unakuja una ji contradict mwenyewe.

Hawana midomo michafu na kuandika andika matusi ovyoo mitandaoni mithili ya chokoraa kama ulivyo wewe.

Angalau wanajua hata wanachosimamia na kukitetea tofauti na wewe ambaye hata haujui unasimamia wapi halafu unajikuta mjuaji.

Kiufupi hao wawili wako smart kwenye majadaliano, hoja zao wanazojenga zina nguvu na zinafikirisha na wala sio nyepesi mithili ya karatasi ambazo nimeziona wewe ukiziandika hapa.

Mwisho kabisa jitahidi ukue bado una utoto mwingi sana wa kupayuka payuka tu na panick za ajabu ajabu.
 
kitu chochote kikishakua socially acceptable ni ngumu kukiondoa. watu watatafuta tu njia ya kukihalalisha na kukitetea.

ndo mana leo hii utasikia ukioa mkurya usipompiga anaona kama humpendi.
Yeah wakati naandika hiyo comment nilikuwa sijaiona hiyo comment yako ya social constructs ndiyo ni kweli jamii ndiyo imeshakuwa hivyo na imeshajua kwamba inakosea sasa tena kwanini wanatafuta sababu za kuendelea kulinda na kutetea hayo makosa??
 
Hivi wewe mwenzetu unasoma biblia gani kwani?? Aliyekudanganya kwamba Suleiman aliua baada ya kuwa mfalme ni nani?? Ona unavyozidi kudhihirisha kwamba huna ujualo halafu eti unakazania kwamba mimi ndiyo sijui!! Hebu nenda kasome maandiko vizuri ndiyo urudi kubishana na mimi maana siyo kazi yangu kuanza kukuelezea maandiko upya wakati biblia zipo!!
Hoja ni ipi hapo.

Wewe unasema Ati huyo Suleiman Aliua. Unashindwa kuelewa majukumu ya Mfalme mpaka unaongea kama mtoto. Nami nikakujibu kuwa hakuna mfalme ambaye hajawahi ua. Labda wewe unitajie unayemjua.

Kuhusu Historia au Vitabu vya dini naomba usiguse kwa maana unaonekana huna ujualo.
 
Back
Top Bottom