Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Mimi nilifurahi Sana.
Maana nyie watu hamjawahi Kaa mkapiga story.
Na haitakaa ijirudie maana hata mimi sitaki kupiga naye story I don't seek any kind of reconciliation with him abaki na mitazamo yake nami nibaki na mitazamo yangu
 
Ya ajabu halafu imechage ghafla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hadi inanipa shida kutag
Izoee tu mama halafu nahisi hii ndiyo nitakaa nayo kwa muda mrefu kuliko zote
 
Huyu zurri tangu ajue baadhi ya maneno ya kiswahili yalitoholewa kwenye kiarabu basi anaona kisa kasoma madrasa ndio ana master's degree in Swahili.
Na huku anayo nyingine kabisa ambayo sio ya lugha Wala Nini...
Sijui niitaje[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si kuna watu humu ni bendera fuata upepo kwa vile kitu kaongea Zurri basi hawabishi hata kidogo hata kama ni ujinga

Nimekwambia uke wenza siutaki hata nipewe hela
Wakina nani hao Wananisikiliza kwa kila kitu ? Kama kweli mbona hamtaki niwe wake zangu namba 3 na 4 bado ziko wazi.
 
Atakwambia hawajui yeye ndiyo anajua tena na hivi ni wakristo ndiyo kabisa
 
Udhibitisho ulioutoa ni ule wa kwenye kitabu cha Mwanzo "Mungu akasema, na tumuumbe....." Na nilikuambia Mungu alikuwa anajadiliana na nafsi zake ambazo ni Yesu na Roho mtakatifu.
Ulitoa udhibitisho mwingine upi?
Sasa ndio unipe andiko linalo onyesha kwamba Yesu alikuwepo hapo.
 
sio kidogo mummy. leo naona umeamka vizuri. Jana usiku ulikua na mapepo.

Welcome back
Basi tuko vice versa yale mapepo sasa yamehamia kwako maana naona wewe leo ndiyo umeamka vibaya siyo mbaya lakini tunapokezana tu na wewe ukilala ukiamka yatakuwa yamehamia kwa mwingine maisha ni kusaidiana tu
 
Yani
Huyu zurri tangu ajue baadhi ya maneno ya kiswahili yalitoholewa kwenye kiarabu basi anaona kisa kasoma madrasa ndio ana master's degree in Swahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…