Sio kweli sisi ni bindamu na tunakosea pia hilo halina ubishi na hakuna atakae kataa hili isipokuwa yeye ni mjinga.
Wanawake wengi wao wamekaririshwa kuwa wanaonewa kwa kila jambo,basi wao maisha yao yote wanakuwa na kuwaza kushindana na sisi.
Ni nani mwingine zaidi ya Mungu?
Dhibitisha kwamba ni ushirikina.
NdiyoMimi na wewe tulishamalizana au umesahau bibie ?
Naumia sana ujue ?Hata mngekuwa kama kobe au vinyonga
SIO KWELI.Si kuna watu humu ni bendera fuata upepo kwa vile kitu kaongea Zurri basi hawabishi hata kidogo hata kama ni ujinga
Kwamba wanaume wameisha kabisa au[emoji3][emoji3][emoji3]Si kuna watu humu ni bendera fuata upepo kwa vile kitu kaongea Zurri basi hawabishi hata kidogo hata kama ni ujinga
Nimekwambia uke wenza siutaki hata nipewe hela
Ona sasa umemkera jembe kwa upendeleo wako...Sawa.
Sicomment Tena hata Kama nnawashwa kiasi gani.
Huyo anayeitwa cariha..Dada gani huyo kwanza?
Mkuu bila hizo mbegu hakuna mimba.. Hata kama siyo sawa na kunyonyesha lakini tayari kuna mchango wa mwanaume. Lakini kwenye kupandisha injini ya gari hakuna mchango wa mwanamke...Bila samahani hapa tunaelimishana tu lakini hata kama wanaume mna mchango utaweza kuulinganisha na wanayoyafanya wanawake yaani kweli kabisa ukafananishe kitendo cha kumwaga mbegu na shughuli ya kubeba mimba kuzaa na kunyonyesha??
Kwa ninavyoiona hii ni mechi Kali ya kijinsia ndiyo maana kuna washangiliaji kama saint Anne...He kumbe kuna watu humu mnachuana?? Basi mimi mwenzenu si nikadhani tunaelimishana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ona sasa umemkera jembe kwa upendeleo wako...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ninavyoiona hii ni mechi Kali ya kijinsia ndiyo maana kuna washangiliaji kama saint Anne...
Ulitaka tutoe reference mwilini mwako? Ok, fine. Kwa asili ya maumbile yetu, DUME moja kwa MAJIKE kadhaa ni sawa na ndio maana mnajitoa fahamu baadhi ya sehemu lkn when it comes to serious issues mnatumia akili vyema.Leo mnakumbuka vitabu vya mungu eeeeh, wanaume wanafiki sana
Haki ya Nani nimecheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
Jf haijawahi ziacha mbavu zangu salama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kapeace [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wewe kweli,!????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakumiss tu sisterHahahaa haki umejua kunifurahisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha angepatikana hata nusu mfalme Suleiman humu mbona tungetafutana lakini hawa hata sehemu ya kivuli chake tu hawana
Ni sawa na mie nijitutumue kujifananisha na kina Cleopatra, maria, au Easter
Hahahaha tunajitahidi tu hivyo hivyo mamaangu wataelewa tu mdo mdo