Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahaahahh tena ht ukija ktk Qur'an Mungu anasema.
"Nataka nijaalie ktk ardhi (dunian) kiongozi mtawala".
Cha ajabu akaja mwanaume Captain Commander Jevdeet Adam.Kwann hakuja Hawa ama Eve bali Eve alitokea baadae ubavuni mwa kushoto mwa Adam????!!!!!
Mkuu hawa ndugu zetu tukiwaambia kuwa utandawazi unawaharibu hawakai wakaelewa kabbisa.
Na ndio maana uhuru wanaopigania ni ule wa (be free from slavery for another slavery).
Kuwa huru ktk utumwa kwaajili ya utumwa mpya.
Wanaume tunawakataza wasifanye kazi watahudumiwa ipasavyo wanagoma oooh sikusoma nije nipike maharage.
At the end anaanza kazi ktk makampuni boss akimmendea na alivyo na akili fupi hasemi ili kulinda kazi yake atakua mtumwa wa kingono wa boss.
Yani anajikuta katoka ktk utumwa wa mfumo dume na kuwa mtumwa wa uhuru aloutaka wa kaz kwa boss.
 
Reactions: Cyb
Umeanza mwenyewe kusema dkt rahabu jinanamke...nayeye akasema dkt mwaka div 4...wewe ukaanza Sasa kum attack.
Mh dada kwa kutetea hujambo mm nahisi kuna mawakili humu ndan ikiwemo ww maana duuuuh!!!!!!
Yeye kasema dkt Mwka ana div 4 .
Sijambeza kwa hilo neno.Yeye kasahau nn nilichomuuliza akaanza kupayuka kuwa mm nina zero IQ sijui hv vile Advocate Saint anne ni sawa hili!!!!????
 
Mbona hata wewe umemwambia ana upeo mdogo akakuvumilia(myopic)

Hio taaluma ya uwakili Wala Sina.
Nimeishia la 7..huo u advocate nmeuokotea wapi Mimi!!
 
Kuna uzi hukooo, wanaume wamesema wao ni Sawa na wa wanawake na wanataka usawa
Wanaume wa wapi? Si unajua wanaume wana brands?

Kuna kakundi kakubwa ka binadamu kutoka mikoa mbali mbali, wanatoka vijijini huko wanakuja mjini na kujisoftisha na makuku ya kisasa halafu wanajiita "wanaume wa Dar", hiyo kada ya hovyo sana.
 
Na inamchukua muda gani hadi yeye kupata hayo madhara??

Na je mwanaume akiwa na mwanamke mmoja anapata madhara gani??
  • Zile protein (nyeupe) zinazotengenezwa hazitakiwi kurundikana mwilini,kama kiwanda kinachozitengeneza hizo protein hakijaathiriwa.....uzalishaji wake unakuwa ni mkubwa sana na hulazimisha kutoka mwilini.Ndio maana me anashawishika kutafuta ke..hii ni kwa wale wenye afya njema 100%. Kuhusu muda,itategemea na afya ya muhusika.
  • Kwa mwenye afya njema..huitaji tendo mara kwa mara,kwa hiyo inategemea kama huyo ke mmoja anauwezo wa kumpatia mara kwa mara mfano mara 5 kwa siku n.k ...kama ataweza itakuwa ngumu mtu kuchepuka.
 
Mbona hata wewe umemwambia ana upeo mdogo aekuvumilia(myopic)

Hio taaluma ya uwakili Wala Sina.
Nimeishia la 7..huo u advocate nmeuokotea wapi Mimi!!
Ah tunadanganyana humu ndan kwa Id fake kumbe wengi wasomi.TENA ESPECIALLY WEWE NA MARIANAH MNAONEKANA MMEMALIZA DEGREE ZOTE KABBISA MAANA MNA UELEWA MPK MNAKERA.
Baada ya yeye kuniita Zero IQ nami nikaamsha makengeru kumjibu yuko myopic.
 
Ah tunadanganyana humu ndan kwa Id fake kumbe wengi wasomi.TENA ESPECIALLY WEWE NA MARIANAH MNAONEKANA MMEMALIZA DEGREE ZOTE KABBISA MAANA MNA UELEWA MPK MNAKERA.
Baada ya yeye kuniita Zero IQ nami nikaamsha makengeru kumjibu yuko myopic.
Kumbe Basi usinilaumu kwa kumtetea.

Mkuu Mimi nimeishia la 7b.
Labda marianah
 
Haiitwi rushwa hadi kuwa na watu wawili au zaidi. Mtoaji na mpokeaji.
 
Write your reply...utaandika Sana ila sisi ni wanaume bwana watawala siku zote tuko juu tuko sahihi siku zote ndo maana huwez kuskia maovu yetu yakikemewa kwa Sana

tunaita mfumo dume we jaribu kuzoea Kama bibi zenu walivyozoea
Basi na ninyi endeleeni kushupalia maovu ya wanawake halafu mtatuambia mmefikia wapi!!
 
Wewe unajuaje kama hakuna mchango wa mwanamke?? Unajua tukiingia ndani zaidi utaona kabisa kuwa kuna mchango wa mwanamke hapo??
Mkuu bila hizo mbegu hakuna mimba.. Hata kama siyo sawa na kunyonyesha lakini tayari kuna mchango wa mwanaume. Lakini kwenye kupandisha injini ya gari hakuna mchango wa mwanamke...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…