Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi sifa za wanaume wa kweli ni zipi??
Wanaume wa wapi? Si unajua wanaume wana brands?

Kuna kakundi kakubwa ka binadamu kutoka mikoa mbali mbali, wanatoka vijijini huko wanakuja mjini na kujisoftisha na makuku ya kisasa halafu wanajiita "wanaume wa Dar", hiyo kada ya hovyo sana.
 
  • Zile protein (nyeupe) zinazotengenezwa hazitakiwi kurundikana mwilini,kama kiwanda kinachozitengeneza hizo protein hakijaathiriwa.....uzalishaji wake unakuwa ni mkubwa sana na hulazimisha kutoka mwilini.Ndio maana me anashawishika kutafuta ke..hii ni kwa wale wenye afya njema 100%. Kuhusu muda,itategemea na afya ya muhusika.
  • Kwa mwenye afya njema..huitaji tendo mara kwa mara,kwa hiyo inategemea kama huyo ke mmoja anauwezo wa kumpatia mara kwa mara mfano mara 5 kwa siku n.k ...kama ataweza itakuwa ngumu mtu kuchepuka.
Kwahiyo kuna mtu asipofanya mara tano kwa siku anaumwa au anakufa??
 
Ah tunadanganyana humu ndan kwa Id fake kumbe wengi wasomi.TENA ESPECIALLY WEWE NA MARIANAH MNAONEKANA MMEMALIZA DEGREE ZOTE KABBISA MAANA MNA UELEWA MPK MNAKERA.
Baada ya yeye kuniita Zero IQ nami nikaamsha makengeru kumjibu yuko myopic.
Mkuu bora hata huyo aliyeishia la saba mimi ndiyo kabisa hata shule sijaenda yaani hata kusoma na kuandika nilikuja kufundishwa na mume wangu kwenye ndoa na english course nilijifunza vizuri kwa ras simba
 
Kwahiyo kuna mtu asipofanya mara tano kwa siku anaumwa au anakufa??
ha ha ha ukiona unahitaji kitu halafu huwezi kukipata au unajizuia usipate ni mateso.Ni sawa na upate kiu ya kunywa maji halafu ujizuie.....nadhani umenisoma mkuu.
 
aisee haiwezekan hao sio wanaume tunatakaje usawa wakati sisi ni matawala na tuna enjoy kuwatawala

naomba unitag nikashuhudie hao michicha mwiba
Sifa za mwanaume halisi ni zipi??
 
Hatujilinganishi ila ndiyo tunasema muache kujihalalishia maovu eti kwa sababu tu ya hizo tofauti za kimaumbile mengine yote yanabaki kuwa kama yalivyo ila hapo kwenye maovu kwa kweli hapana hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi
Hamna anayelazimisha, ni suala la itifaki ya kimaumbile ndio maana mwanaume mmoja ana uwezo wa kugawa mimba 22 na zaidi ndani ya mwezi, lkn huwezi kubeba mimba za wanaume wawili kwa wakati mmoja. Sihalalishi mtu mmoja kuwa na wake kumi lakini nataka nikuondolee hii nadharia ya ulinganifu maana inakinzana na hata maagizo ya Mungu juu ya wanadamu.
 
kama ujumbe unawafkia waache wamiishupalie

asili yetu ubabe hatupend kushindwa mijadala Kama hii haiwez isha hamuwez kuwa sawa na sisi acheni ligi nyie viumbe mmeumbwa dhaifu kwetu nyie mmeumbwa na mbavu yetu moja
Kwahiyo hiyo ndiyo sababu ya ninyi kutenda maovu mnavyojisikia na kujihalalishia kabisa??
 
Kwani vitu wanavyovifanya wanawake vina utofauti gani na vitu wanavyovifanya wanaume?? Haujasoma uzi vizuri??
Hujamuelewa jamaa vema dada.
Amesema sisi tunayasema maovu yenu sana ili kutengeneza inferior mindset kwenu na mbaki chini yetu .
Hiko ndicho tunachokifanya sisi.
Vitu mvifanyavyo nyie vinaonesha inferiority kabbisa hususan ktk mtazamo wa kifikra mwishowe tunaendelea kuwaeka chini kinadharia na kivitendo pia.
 
Nimekuelewa sana mkuu lakini naomba nikuulize swali je hao wanaume wanaofanya wanawake waishi hivyo hawana makosa??
Dada unasoma pasi na kuelewa nini kimezungumzwa ama kukusudiwa.
Hapo mim nawabeza wale wanaosema kuwa nyie jinsia ke na sisi jinsia me tuko 50/50 kwasababu siku hizi mmejipigania uhuru.
Kwa point yangu mm nilimaanisha bora tu mngebaki kukaa km babu zetu walivyoendesha maisha yao na bibi zetu huko nyuma kuliko kujifanya mnataka usawa ktk dunia ya sasa ya utandawazi ilhali usawa ama uhuru mnaoupigania hamuufaham mwishowe unawagharimu hususan heshima yenu.

Mathalan ktk kufanya kazi mwanaume alishafikiria kuwa kuna changamoto zitakupata ww mwanamke uking'ang'ania kutafuta hela zako mwenyewe mwishowe utaja kuwa mtumwa bila hata kutaka huko utaftapo pesa.Na dunia ya sasa wanawake wenyewe mnashikilia kutafuta pesa mwishowe mnatumika vibaya kutangaza nguo za nusu uchi,kutumika ktk video queen yan mtu unavaa chupi na sidiria ktk nyimbo ya diamond ilhali yeye kavaa suti eti unasema unatafta hela una uhuru wako na uheshimiwe.
Nani ataekuheshimu kwa kukatika ktk video za muziki ukiwa na chupi na sidiria???
Je hata mwanao anaja ona ulichofanya atafurahia????
Uhuru mnaoupigania eti nanyi mnataka mtafute kama sis na mshike pesa km sisi unawafanya muwe watumwa kwa namna nyingine ambayo mmeshindwa kuing'amua na hamkuitarajia.

Sijui utakua umenielewa dada angu??!!!!!
 
Hapo kwenye aya ya tatu ndiyo umeongea ukweli
Ulishawahi kujiangalia kwenye kioo harafu kioo kijione chenyewe na kijikosoe

Yaaani badala yakuja na nyapu kututunuku unatuletea balaa

Sisi tutawasema no huruma mpaka mjirekebishe na nyie tusemeni tu mpaka tuyaache msiyoyapenda kwetu

Siku nyingine usiache kuja kututunuku kakojoleo mama
 
Sasa hilo ulitakiwa umwambie huyo jokajeusi anayehusisha maswala ya kula tunda na utawala eti anasema Evah alikula tunda na kumshawishi Adam ale tunda kwa makusudi eti ili ampindue Adam kwenye nafasi yake na akae yeye yaani unaona kabisa mtu kama huyu jinsi gani ambavyo kaishiwa hoja sasa kaamua kuja na uongo ili mradi tu asikose namna ya kuwakandamiza wanawake
Dada labda km ww ukiwa mkristo lakn km muislam Mungu alitaka kumuumba mtawala wa dunia ndio maana akaanza kumuumba Adam wakiume kesha Eve.
Kuhusu suala la kula tunda hayo ni masuala ya ushawishi haihusiani na uongozi.
 
Nimekuelewa sana mkuu lakini naomba nikuulize swali je hao wanaume wanaofanya wanawake waishi hivyo hawana makosa??
Wanayo makosa lakini hayo makosa yamechagizwa na nyie.
For the way you behave or live is the way people treat you.
Ebu badilisheni mienendo ya maisha halafu muone je tutafanya tuwafanyiayo????!!!!!
 
Kwani vitu wanavyovifanya wanawake vina utofauti gani na vitu wanavyovifanya wanaume?? Haujasoma uzi vizuri??
Nimesoma thread vizuri km itakikanavyo.
Dada makosa mengi uloyataja yanachagizwa na ninyi wanawake.
Ninyi ndio mnaochagiza haya yote yatokee.
1)Hivi mkikosa kutuuzia nyuchi zenu nan atayenunua na kufanya umalaya???
2)Hivi mkijisitiri vema nani atayetamani maungo yenu mpk wengine kupelekea kuwabaka eidha kwa lazima ama kwa kuwaekea madawa???
3)Mkijiheshimu hata kama mko nje ya ndoa nan atayewatumia masingle mama na kuwabeza???

Yani ninyi ndio the root of all evils.
Mkitengemaa basi jamii itatengemaa mkiharibika basi jamii imeoza.
Maana mkijirahisisha mwishowe mnapata mimba zisizotarajiwa kuna eidha mutowe hzo mimba ama muzae watoto haram.
Pasi na ninyi kujirahisisha basi haya yasingetokea.
Ndio maana masuala kama haya ya ninyi kutoa utu kisa pesa,kutaka wanaume wa pesa ndio muwape kila kitu wengine wanakwambia "km una hela mapenzi utapata ht tigo utapewa" akili hzi zinafanya tuwaweke ninyi kuwa muna inferior mindset kinadharia hadi kivitendo.
Ebu badilikeni muone kama hii itakuwepo.
 
Kwahiyo ninyi kuwa watawala ndiyo kunawapa hati miliki ya kutenda maovu mnavyojisikia??
Noop haitupi sisi sifa hiyo bali katika maovu ulotaja mengi kama sio asilimia mia yanachagizwa nanyi wanawake.
 
Hata kama ndiyo ningekuwa nimefikia hatua hiyo ya kupiga tu soga na wanajukwaa basi nisingepiga hilo soga na watu kama wewe yani I also wish I had that much time to waste like you but I don't have it


Do you know the meaning of waste a time.

Kupoteza muda ni kupigania kitu alafu kisitimie. Kama wewe unavyohangaika hapa. .
 
Aliumbwa baada ya mwanaume na kutokana na mwanaume lakini hakujua kuhusu hayo maswala ya utawala na yote yaliyomo ndani yake na Shetani ndiye aliyemshawishi Evah na kisha Evah kumshawishi Adam

Na ndipo Mungu alipoamua kuweka wazi kuwa mwanaume ndiyo atakuwa mtawala kwa mwanamke ila kabla ya hapo hakusema lolote ulitegemea wangejuaje?? Vitu vingine vinahitaji kutumia common sense tu!!


Huna ujualo mkuu. Ndio maana unahangaika humu.

Wewe hilo ndilo ujualo. Kama hujaelewa kitabu cha Mwanzo hutaelewa vitabu vingine.

Sijui nikikupa usome The Book of Enoch utasemaje au si ndio utachanganyikiwa. Sijui nikikupa kitabu cha The Book of Asher utaongea nini humu.

Kwa kifupi habari za vitabu vya Dini huna unalojua ndio maana unahangaika.

Nakudhauri jifunze kwanza Elimu ya dini ndio uje humu kuelezea habari kama hizi.

Upo Limited sana. Akili yako haina magombo mengi ndio maana unaoata tabu.

Ati Adamu hakuambiwa Amtawale mke wake kabla ya anguko. Duuh!
 
Back
Top Bottom