Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Usifananishe ngono na vitu kama chakula na maji mtu asipopata chakula na maji hata ajizuie vipi atakufa tu ila sijawahi kusikia mtu amekufa kwa sababu ya kukosa ngono hayo mateso mnayosema mnayapata ni visingizio tu vya kuhalalisha maovu yenu!!

Na kama kweli hamuwezi kuvumilia je kwanini muumba alikataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote kwahiyo ninyi mnajijua sana kuliko yeye aliyewaumba anavyowajua kiasi kwamba akaamua kuweka sheria na amri zake na kutaka zifuatwe na watu wote bila kujali jinsia??
ha ha ha ukiona unahitaji kitu halafu huwezi kukipata au unajizuia usipate ni mateso.Ni sawa na upate kiu ya kunywa maji halafu ujizuie.....nadhani umenisoma mkuu.
 
Wanayo makosa lakini hayo makosa yamechagizwa na nyie.
For the way you behave or live is the way people treat you.
Ebu badilisheni mienendo ya maisha halafu muone je tutafanya tuwafanyiayo????!!!!!
Na kwanini msubiri hadi wanawake waanza kubadilika halafu ninyi ndiyo mfuate kwanini kila jinsia isibadilike kwa nafasi yake?? Halafu wanaume si ndiyo mnajinadi kila siku kuwa ninyi ndiyo mnaanza kwenye kila kitu sasa kwanini kwenye maswala ya kurekebisha maovu napo msianze kubadilika kama mnataka sisi ndiyo tuanze??
 
Kwahiyo wanaume hamuwezi kuacha kuwanunua wanawake wanaojiuza??

Wala hamuwezi kuacha kuwatongoza wanawake hovyo bila kuwa na nia ya dhati??
Nimesoma thread vizuri km itakikanavyo.
Dada makosa mengi uloyataja yanachagizwa na ninyi wanawake.
Ninyi ndio mnaochagiza haya yote yatokee.
1)Hivi mkikosa kutuuzia nyuchi zenu nan atayenunua na kufanya umalaya???
2)Hivi mkijisitiri vema nani atayetamani maungo yenu mpk wengine kupelekea kuwabaka eidha kwa lazima ama kwa kuwaekea madawa???
3)Mkijiheshimu hata kama mko nje ya ndoa nan atayewatumia masingle mama na kuwabeza???

Yani ninyi ndio the root of all evils.
Mkitengemaa basi jamii itatengemaa mkiharibika basi jamii imeoza.
Maana mkijirahisisha mwishowe mnapata mimba zisizotarajiwa kuna eidha mutowe hzo mimba ama muzae watoto haram.
Pasi na ninyi kujirahisisha basi haya yasingetokea.
Ndio maana masuala kama haya ya ninyi kutoa utu kisa pesa,kutaka wanaume wa pesa ndio muwape kila kitu wengine wanakwambia "km una hela mapenzi utapata ht tigo utapewa" akili hzi zinafanya tuwaweke ninyi kuwa muna inferior mindset kinadharia hadi kivitendo.
Ebu badilikeni muone kama hii itakuwepo.
 
Noop haitupi sisi sifa hiyo bali katika maovu ulotaja mengi kama sio asilimia mia yanachagizwa nanyi wanawake.
Kwani wanaume mkianza kurekebisha maovu yenu kuna wanawake wataendelea na maovu yao??
 
Nina mashaka na hicho kiswahili ulichosema umekisomea na umebobea, rudi tena darasani.
Do you know the meaning of waste a time.

Kupoteza muda ni kupigania kitu alafu kisitimie. Kama wewe unavyohangaika hapa. .
 
Na kwanini msubiri hadi wanawake waanza kubadilika halafu ninyi ndiyo mfuate kwanini kila jinsia isibadilike kwa nafasi yake?? Halafu wanaume si ndiyo mnajinadi kila siku kuwa ninyi ndiyo mnaanza kwenye kila kitu sasa kwanini kwenye maswala ya kurekebisha maovu napo msianze kubadilika kama mnataka sisi ndiyo tuanze??
Narudia tena mkuu,katika masuala uliyoyaelezea kule juu yanachagizwa nanyi.
Hivyo basi mwatakiwa mubadilike ninyi kwanza.
Maana hata sisi tukigoma kununua nyuchi zenu still kuna ushawishi mkubwa ni vigumu kutokana na kuwa ninyi jinsia yenu ina maumbile ya ushawishi.
Sijui umenielewa dada???!!!!
Mathalan kwa sasa uliyoyaelezea ktk hii thread mkianza kujiheshimu basi wanaume wengi wetu tutajiheshimu na kuwaheshimu.
Kuna dhambi na dhambi.
Kuna dhambi zinachagizwa na hasira,kuna dhambi zinachagizwa na mawazo,kuna dhambi zinachagizwa na pesa na kuna dhambi zinachagizwa nanyi wanawake.
Ww umezungumzia dhambi mnazozichagiza ninyi hvyo basi mwatakiwa muanze badilika nasi hatutafanya bidada.
 
Unaona sasa ambavyo wewe mwenyewe ndiyo unashindwa kunielewa halafu unalazimisha kwamba mimi sijui sasa wapi nimesema kwamba Adam hakuumbwa kutawala kabla ya andiko??

Aliumbwa kutawala lakini je Mungu aliwaambia kwamba ndivyo inavyotakiwa iwe na bila kuwaambia unadhani wangejuaje??

Na kama huyo Adam angekuwa anayajua hayo mamlaka yake angekubali kushawishiwa na huyo Evah kula tunda??

Nijibu hayo maswali yangu yote na usilazimishe kwamba mimi sijui maana hata mimi vile vile naweza kusema wewe haujui kitu kuhusu maandiko na kila mtu akajiona yuko sahihi kwa upande wake so just stick to the topic!!
Huna ujualo mkuu. Ndio maana unahangaika humu.

Wewe hilo ndilo ujualo. Kama hujaelewa kitabu cha Mwanzo hutaelewa vitabu vingine.

Sijui nikikupa usome The Book of Enoch utasemaje au si ndio utachanganyikiwa. Sijui nikikupa kitabu cha The Book of Asher utaongea nini humu.

Kwa kifupi habari za vitabu vya Dini huna unalojua ndio maana unahangaika.

Nakudhauri jifunze kwanza Elimu ya dini ndio uje humu kuelezea habari kama hizi.

Upo Limited sana. Akili yako haina magombo mengi ndio maana unaoata tabu.

Ati Adamu hakuambiwa Amtawale mke wake kabla ya anguko. Duuh!
 
Narudia tena mkuu,katika masuala uliyoyaelezea kule juu yanachagizwa nanyi.
Hivyo basi mwatakiwa mubadilike ninyi kwanza.
Maana hata sisi tukigoma kununua nyuchi zenu still kuna ushawishi mkubwa ni vigumu kutokana na kuwa ninyi jinsia yenu ina maumbile ya ushawishi.
Sijui umenielewa dada???!!!!
Mathalan kwa sasa uliyoyaelezea ktk hii thread mkianza kujiheshimu basi wanaume wengi wetu tutajiheshimu na kuwaheshimu.
Kuna dhambi na dhambi.
Kuna dhambi zinachagizwa na hasira,kuna dhambi zinachagizwa na mawazo,kuna dhambi zinachagizwa na pesa na kuna dhambi zinachagizwa nanyi wanawake.
Ww umezungumzia dhambi mnazozichagiza ninyi hvyo basi mwatakiwa muanze badilika nasi hatutafanya bidada.
Mkuu naomba niletee andiko linalosema kuwa mwanamke anatakiwa aanze kubadilika kisha mwanaume ndiyo afuate kubadilika maana mnayoyaongea ni tofauti na yale mliyoagizwa na Mungu!!
 
Kwahiyo wanaume hamuwezi kuacha kuwanunua wanawake wanaojiuza??

Wala hamuwezi kuacha kuwatongoza wanawake hovyo bila kuwa na nia ya dhati??
Kwasababu wanawake wa karne hii ndiyo wanataka wenyewe kutongozwa na wanakuekea mitego ya kila aina suala la kuacha kuwanunua ni vigumu.
Embu fuatilia wanawake wa miaka 1970s kushuka chini uone walivyo na maadili.We unakutana na hawa wanawake kuanzia miaka ya 1980s kupanda juu mwanamke anakukonyeza!!!!!!!!
Wanawake wa 70s kushuka chini wao ilikua kujistiri,macho chini na aibu nyingi.Ndio maana kipindi hiko uzinzi na uasherati haukuwa wa sana ni minimal mnoooo.
Asa kipindi cha kuanzia 1980s kuja now mwanamke anakutongoza,macho kodo,anakutega,usipotegeka anakulazimisha ima kwa madawa ama kwa hela ama kwa kwa vyovyote vile hata tako atakupa.
Kwa mtindo huu dada yangu hizi dhambi ulizozisema hapo juuu zitaishaje ikiwa ninyi ndio chanzo??!!!!
 
Usifananishe ngono na vitu kama chakula na maji mtu asipopata chakula na maji hata ajizuie vipi atakufa tu ila sijawahi kusikia mtu amekufa kwa sababu ya kukosa ngono hayo mateso mnayosema mnayapata ni visingizio tu vya kuhalalisha maovu yenu!!

Na kama kweli hamuwezi kuvumilia je kwanini muumba alikataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote kwahiyo ninyi mnajijua sana kuliko yeye aliyewaumba anavyowajua kiasi kwamba akaamua kuweka sheria na amri zake na kutaka zifuatwe na watu wote bila kujali jinsia??
ha ha ha ha unaamini vipi hivyo vitabu viliandikwa na muumba, haujui kuwa ile ni mitazamo ya watu katika kutawala dunia?
 
Mkuu naomba niletee andiko linalosema kuwa mwanamke anatakiwa aanze kubadilika kisha mwanaume ndiyo afuate kubadilika maana mnayoyaongea ni tofauti na yale mliyoagizwa na Mungu!!
Karma umeelewa nn nazungumzia ????!!!!
Au umeelewa nn tunazungumzia???!!!!!
Kutokana na madhambi ulioyataja kule juu ambayo mengi kama sio yote ni kutokana na uzinzi yanachagizwa na ninyi wanawake.
Mkitaka tusiwatumie na uzinzi upungue jiheshimuni kwanza badilikeni ninyi kwanza dada elewa hapo.
Ndio maana nikasema kuna madhambi yanachagizwa na pesa,kuna yanaochagizwa na mawazo,kuna yanaochagizwa na hasira na kuna madhambi yanaochagizwa na ninyi wanawake.

An-Nur 24:2

ٱلزَّانِيَةُ وَٱلزَّانِى فَٱجْلِدُوا۟ كُلَّ وَٰحِدٍ مِّنْهُمَا مِا۟ئَةَ جَلْدَةٍۖ وَلَا تَأْخُذْكُم بِهِمَا رَأْفَةٌ فِى دِينِ ٱللَّهِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِٱللَّهِ وَٱلْيَوْمِ ٱلْءَاخِرِۖ وَلْيَشْهَدْ عَذَابَهُمَا طَآئِفَةٌ مِّنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

The [unmarried] woman or [unmarried] man found guilty of sexual intercourse - lash each one of them with a hundred lashes, and do not be taken by pity for them in the religion of Allah, if you should believe in Allah and the Last Day. And let a group of the believers witness their punishment.

get Quran App:https://goo.gl/w6rESk

HILI ni andiko la Quran kuwa mzinifu wa kike na mzinifu wa kiume wachapwe viboko mia kila mmoja.Unaweza kujiuliza kwanini Mungu hapo alianza na mzinifu wa kike???
Ni kutokana na hiyo dhambi mchagizaji ni ww mwanamke.Na ndicho mnachokifanya sasa mnatumia miili yenu kuleta ushawishi kwetu mpk tuwanunue na tuwazini.
Wenyewe mnasema biashara matangazo.
Msipobadilika na kuacha kututega na kuacha kutumia miili yenu ninyi wenyewe kwa kujiheshimu je sisi umalaya wa kuwanunua tutaufanyaje ilhali mnajiheshimu????
Ebu tizama dhambi ulizoziorodhesha kule juu ni za nn halafu urejee hapa uone nn namaanisha.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwasababu wanawake wa karne hii ndiyo wanataka wenyewe kutongozwa na wanakuekea mitego ya kila aina suala la kuacha kuwanunua ni vigumu.
Embu fuatilia wanawake wa miaka 1970s kushuka chini uone walivyo na maadili.We unakutana na hawa wanawake kuanzia miaka ya 1980s kupanda juu mwanamke anakukonyeza!!!!!!!!
Wanawake wa 70s kushuka chini wao ilikua kujistiri,macho chini na aibu nyingi.Ndio maana kipindi hiko uzinzi na uasherati haukuwa wa sana ni minimal mnoooo.
Asa kipindi cha kuanzia 1980s kuja now mwanamke anakutongoza,macho kodo,anakutega,usipotegeka anakulazimisha ima kwa madawa ama kwa hela ama kwa kwa vyovyote vile hata tako atakupa.
Kwa mtindo huu dada yangu hizi dhambi ulizozisema hapo juuu zitaishaje ikiwa ninyi ndio chanzo??!!!!
Sasa mkuu kama ninyi mnaona ni vigumu kuacha maovu yenu kwa sababu ya vishawishi vyao mnadhani wao kwao ndiyo rahisi kuacha maovu yao bila kujali vishawishi vyenu??
 
Kwahiyo wanaume hakuna dhambi mnayoisababisha hata moja??
Karma umeelewa nn nazungumzia ????!!!!
Au umeelewa nn tunazungumzia???!!!!!
Kutokana na madhambi ulioyataja kule juu ambayo mengi kama sio yote ni kutokana na uzinzi yanachagizwa na ninyi wanawake.
Mkitaka tusiwatumie na uzinzi upungue jiheshimuni kwanza badilikeni ninyi kwanza dada elewa hapo.
Ndio maana nikasema kuna madhambi yanachagizwa na pesa,kuna yanaochagizwa na mawazo,kuna yanaochagizwa na hasira na kuna madhambi yanaochagizwa na ninyi wanawake.

An-Nur 24:2

ٱلزَّانِيَةُ وَٱلزَّانِى فَٱجْلِدُوا۟ كُلَّ وَٰحِدٍ مِّنْهُمَا مِا۟ئَةَ جَلْدَةٍۖ وَلَا تَأْخُذْكُم بِهِمَا رَأْفَةٌ فِى دِينِ ٱللَّهِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِٱللَّهِ وَٱلْيَوْمِ ٱلْءَاخِرِۖ وَلْيَشْهَدْ عَذَابَهُمَا طَآئِفَةٌ مِّنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

The [unmarried] woman or [unmarried] man found guilty of sexual intercourse - lash each one of them with a hundred lashes, and do not be taken by pity for them in the religion of Allah, if you should believe in Allah and the Last Day. And let a group of the believers witness their punishment.

get Quran App:https://goo.gl/w6rESk

HILI ni andiko la Quran kuwa mzinifu wa kike na mzinifu wa kiume wachapwe viboko mia kila mmoja.Unaweza kujiuliza kwanini Mungu hapo alianza na mzinifu wa kike???
Ni kutokana na hiyo dhambi mchagizaji ni ww mwanamke.Na ndicho mnachokifanya sasa mnatumia miili yenu kuleta ushawishi kwetu mpk tuwanunue na tuwazini.
Wenyewe mnasema biashara matangazo.
Msipobadilika na kuacha kututega na kuacha kutumia miili yenu ninyi wenyewe kwa kujiheshimu je sisi umalaya wa kuwanunua tutaufanyaje ilhali mnajiheshimu????
Ebu tizama dhambi ulizoziorodhesha kule juu ni za nn halafu urejee hapa uone nn namaanisha.
 
Back
Top Bottom