Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahahaha unadhani ukisema hivyo ndiyo nitaogopa kwamba eti utaniona sijui?? Hata mimi kuna mambo google huwa siiamini ila kwenye mambo mengine hadi niiamini nakuwa nimeshafuatilia vya kutosha kwenye sources nyingine nyingi tu

Ila nisingeweza kumletea huyo zote hapa kwa sababu angejichanganya bure sasa kama wewe eti unadhani kwa vile sijakuthibitishia basi ndiyo sijui pole na endelea kuwaza hivyo hivyo ila msimamo wangu uko pale pale kwamba sikuthibitishii chochote kwa huo ubishi wako usio na mantiki unadhani nitapoteza muda wangu?? Nahi Karungi, Kabhi Nahi.
Huna uwezo wa kuthibitisha bibie.
 
Kwahiyo Zurri wewe mtu akikataa chochote ulichomwambia basi maana yake hataki ukweli?? Yaani kwamba wewe mwenzetu unataka tuamini kila unachotuambia siyo??
Hutakiwi kukataa kijinga na kwa ubishi. Kataa jambo kielimu.

Unajua ukisema kwamba wewe sio muajemi wakati ukweli ni muajemi halafu huna hoja ya kukataa kwamba wewe sio muajemi,unaoenakana wewe unakataa ukweli kwa makusudi na kwa maslahi yako.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwahiyo wewe unachosema ni kwamba watu wote wa hizo nchi ulizozitaja ni wapersia si ndiyo??
Afghanistan,Pakistan,Iraq,Turkimenistan,Azerbaijan wote wahajemi wakiwa na baba yao Iran.
Km hujaelewa karudie article nilokupa.
 
Sawa mwaya mimi sijaenda shule na wala hata sijui what is geography wala atlas yaani sijui chochote!!

Yaani wanaume kukubali ukweli kutoka kwa wanawake ni kama Shetani kutubu na kurudi kwa Mungu!!
Oooh oooh karma unafika mbali.
Huko mm sikufika.Nimekupa hint katafute tu ili usadikishe nilichokwambia maana mm huniamin na ww unakazania ukisema Iran peke yao ndiyo wahajemi ilhali sio ukweli.
Fanya nilivyokwambia kautafute ukweli mwenyewe maana hadi wikipedia umewapinga asa sijui nan hataki kuukubali ukweli kat yangu na yako.
Naona turudi kwenye mada dada angu ila nakusisitiza kasome history of persia and related ethnic groups halafu ulete mrejesho then useme mm na ww nan alikua mbishi.
 
Haya
Hutakiwi kukataa kijinga na kwa ubishi. Kataa jambo kielimu.

Unajua ukisema kwamba wewe sio muajemi wakati ukweli ni muajemi halafu huna hoja ya kukataa kwamba wewe sio muajemi,unaoenakana wewe unakataa ukweli kwa makusudi na kwa maslahi yako.
 
Mleta thread aitwe kwenye kamati ya maadili.... Anaeshinda vita ndiyo anaeandika histori so always mwanaume ndiyo mshindi na ndiyo tunao andika historia
 
Nikatafute mara ngapi mkuu?? Mimi hadi naongea hivi maana yake hayo mambo nimeyasomea na nimeyafuatilia na pia baadhi ya hizo nchi nimezitembelea sasa sijui unataka niendelee kutafuta nini tena mkuu mimi nayatafuta ambayo siyajui tu!!
Dada karma hahaahahhaha nakuomba kaa na mtu halafu usome nayo hayo maelezo;

There are several ethnic groups and communities that are either ethnically or linguistically related to the Persian people, living predominantly in Iran, and also within Afghanistan, Tajikistan, Uzbekistan, the Caucasus, Turkey, Iraq, and the Arab states of the Persian Gulf . [85]
The Tajiks are a people native to Tajikistan, Afghanistan, and Uzbekistan who speak Persian in a variety of dialects. [17] The Tajiks of Tajikistan and Uzbekistan are native speakers of Tajik , which is the official language of Tajikistan, and those in Afghanistan speak Dari , one of the two official languages of Afghanistan.
The Tat people , an Iranian people native to the Caucasus (primarily living in the Republic of Azerbaijan and the
Russian republic of Dagestan ), speak a language (Tat language ) that is closely related to Persian. [86] The origin of the Tat people is traced to an Iranian-speaking population that was resettled in the Caucasus by the time of the Sasanian Empire. [87][88][89][90][91][92][93]
The Lurs, an ethnic Iranian people native to western Iran, are often associated with the Persians and the Kurds . [94] They speak various dialects of the Lurish language , which is considered to be a descendant of Middle Persian. [95

Soma kwa umakini tafadhali.
 
Azerbaijan ndiyo kuna wapersia ila hizo nchi nyingine ndugu yangu tutabishana hadi mwakani!!

Ila nikuulize swali kwahiyo umesema kwamba hao raia wa hizo nchi ulizozitaja (ukitoa Azerbaijan) ni wapersia kwa sababu wanaongea kipersia si ndiyo??
Ahahahaha dah dada angu ulikataaa kuwa Iran peke yake ndiyo wahajemi naona sasa unaanza kukubali mdogo mdogo maana hadi maelezo ya Azerbaijan uliyakataa kuwa sio hajemi sasa unakubali.
Unapoambiwa ethnic related group unaelewa nini???
Ethnic related groups shares language and ethnicity.
Yani wanachangia asilia na lugha pia.

There are several ethnic groups and communities that are either ethnically or linguistically related to the Persian people, living predominantly in Iran, and also within Afghanistan, Tajikistan, Uzbekistan, the Caucasus, Turkey, Iraq, and the Arab states of the Persian Gulf . [85]
The Tajiks are a people native to Tajikistan, Afghanistan, and Uzbekistan who speak Persian in a variety of dialects. [17] The Tajiks of Tajikistan and Uzbekistan are native speakers of Tajik , which is the official language of Tajikistan, and those in Afghanistan speak Dari , one of the two official languages of Afghanistan.
The Tat people , an Iranian people native to the Caucasus (primarily living in the Republic of Azerbaijan and the
Russian republic of Dagestan ), speak a language (Tat language ) that is closely related to Persian. [86] The origin of the Tat people is traced to an Iranian-speaking population that was resettled in the Caucasus by the time of the Sasanian Empire. [87][88][89][90][91][92][93]
The Lurs, an ethnic Iranian people native to western Iran, are often associated with the Persians and the Kurds . [94] They speak various dialects of the Lurish language , which is considered to be a descendant of Middle Persian. [95

HII imeandikwa na hao hao huko google ebu dada soma kwa umakini Tajikistan,Afghanistan,Uzbekistan wanajulikana km Tajiks ambao ni zao la wahajemi pia kilugha na kiasili.
 
Back
Top Bottom